Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Hope ni wazima Wana JF,
Maisha ni fumbo, nilijua kuwa na unafuu wa maisha moyo wangu utakuwa na amani na furahi, lakini imekuwa sio hivyo. Nina kazi nzuri, ambayo inanipa mshahara wa kuweza kumudu gharama za maisha lakini sifurahii chochote kwa sasa.
Chazo sio familia nina mke na mtoto mmoja nawapenda sana na wao wananipenda sana mke wangu ni innocent girls
Baada ya kupata ushauri wa watu mbalimbali kuhusu hali yangu, wengi walinishauri nijichanganye kwenye groups za jogging au mijadala na niwe karibu na Mungu wangu, lakini haijanisaidia kitu. Kwenye moyo wangu kuna sonona kubwa sana.
It's mo mp5 mtoto wa kanali mtata.
Maisha ni fumbo, nilijua kuwa na unafuu wa maisha moyo wangu utakuwa na amani na furahi, lakini imekuwa sio hivyo. Nina kazi nzuri, ambayo inanipa mshahara wa kuweza kumudu gharama za maisha lakini sifurahii chochote kwa sasa.
Chazo sio familia nina mke na mtoto mmoja nawapenda sana na wao wananipenda sana mke wangu ni innocent girls
Baada ya kupata ushauri wa watu mbalimbali kuhusu hali yangu, wengi walinishauri nijichanganye kwenye groups za jogging au mijadala na niwe karibu na Mungu wangu, lakini haijanisaidia kitu. Kwenye moyo wangu kuna sonona kubwa sana.
It's mo mp5 mtoto wa kanali mtata.