JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Natafuta mwenza
Ni mara ya kwanza nakuja jukwaani hapa kutafuta mwenza. Litakuwa jambo jema kama nitampata mwenye kunififkiria na kuruhusu tuishi pamoja.
Kabla ya kuweka vigezo, naomba nieleze machache hapa chini:
Sijafanikiwa kuwa na kazi maalum ya kuniingizia kipato, kwa hiyo sina kazi kwa sasa japo...