Serikali yanunua ndege ili kuutangaza utalii wa nchi yao

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,853
141,776
Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na Serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii.

Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na Serikali tofauti na hapo awali zilipokuwa chini ya sekta binafsi.

Chanzo: Citizen TV

My take: Maono ya Rais Magufuli yamewafungua macho viongozi wengi wa Afrika na sasa wanajifunza kwake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii.

Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na serikali tofauti na hapo awali zilipokuwa chini ya sekta binafsi.

Source Citizen tv

My take; Maono ya Rais Magufuli yamewafungua macho viongozi wengi wa Afrika na sasa wanajifunza kwake.

Maendeleo hayana vyama!

..na Tz tumefuata maono ya Raisi Kagame.

..Kagame hajawahi kupata faida tangu ajiingize mazima ktk biashara ya usafiri wa anga.

..nahisi ununuzi wa ndege ni KICHAKA CHA ULAJI / UPIGAJI.

..Vinginevyo nini kinawasukuma kujiingiza ktk mradi ambao wanajua watapata hasara?
 
..na Tz tumefuata maono ya Raisi Kagame.

..Kagame hajawahi kupata faida tangu ajiingize mazima ktk biashara ya usafiri wa anga.

..nahisi ununuzi wa ndege ni KICHAKA CHA ULAJI / UPIGAJI.

..Vinginevyo nini kinawasukuma kujiingiza ktk mradi ambao wanajua watapata hasara?
Ndege zinalitangaza taifa bwashee....... Na faida yake si lazima ionekane kwa kipimo cha fedha!
 
Na baba yako ameacha kitu gani kwenye Familia yenu au ndio watoto mnamsaidia?
Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii.

Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na serikali tofauti na hapo awali zilipokuwa chini ya sekta binafsi.

Source Citizen tv

My take; Maono ya Rais Magufuli yamewafungua macho viongozi wengi wa Afrika na sasa wanajifunza kwake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Maana yake ndege zetu zitapata taabu kupata abiria wa Uganda.
Kuna waganda wengi wanaokuja Tanzania kuliko Watanzania wanaoenda Uganda, hivyo ndege zao ndio zinafaidika
 
On average in Europe stats show 90% of business start -up fail to make it to their 4th year and only 5% of all business startups last for more than 10 years.

Tatizo kubwa ni poor marketing audit and business planning.

Juzi sijui jana mkurugenzi wa ATCL amejitokeza na kukiri awakufikia goals zao za awali by far, serikari imebidi iingilie kuwasaidia sio kununua ndege tu bali kulipa na madeni yao mengine pia.




Unajiuliza ndege zote walizonazo ata kulipa madeni shida, ni wazi serikari aipati hela yake pia ya manunuzi mpaka muda huu kama awawezi lipa madeni yao mengine.

Hili sio swala la kuku na yai kipi kimetangulia kati ya investment au business plan, the answer is simple the latter. Sasa tena mkurugenzi anapotoka na kusema they dint conduct their marketing plan thoroughly na ndio maana walifeli solution yake ni kwamba wapewe ndege zingine za nyongeza huu sasa ni utani mmbaya.

The bottom line Magu ana mazuri na mabaya but hana analolijua kuhusu maswala ya biashara anachojua yeye kaazimia kuona Tanzania inakuwa na ndege zake, busara ni watu kumuweka chini na kumpa ukweli live anachezea vibaya pesa za walipa kodi na zinahitajika mahala kibao tu kwenye huduma za jamii.

Huyo CEO wa ATCL ukimsikiliza unaona kabisa pale hamna mfanyabiashara.
 
Kwahiyo Zambia ni Tanzania bwashee?!

Mzambia gani asiyeijua Tanzania anasubiri aone ndege ndio aijue? Halafu akishaona hiyo ndege ndio atakuja Tanzania? Ni kipi kilichoko Tanzania ambacho hakiko Zambia mpaka mzambia aje kisa kaona ndege?
 
Hivi hiyo Uganda ana hata mbuga za wanyama au hivi viswala vinavyotoroka huku kwetu ndio wanavikamata nao wamefungua mbuga.
 
Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na Serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii.

Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na Serikali tofauti na hapo awali zilipokuwa chini ya sekta binafsi.

Chanzo: Citizen tv

My take; Maono ya Rais Magufuli yamewafungua macho viongozi wengi wa Afrika na sasa wanajifunza kwake.

Maendeleo hayana vyama!
Hv Uganda kuna utalii
 
Back
Top Bottom