johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Spika wa bunge mh. Ndugai amesema Bunge la 11 ambalo yeye ndio analiongoza limebakiza mikutano miwili tu yaani Februari na Aprili 2020 kabla halijavunjwa rasmi na Rais Magufuli.
Spika Ndugai alikuwa anaweka uelewa sawa kwa wananchi ili tuweze kwenda pamoja kama kuna jambo limesahaulika basi tujue muda ni mchache uliobaki.
Maendeleo hayana vyama
cc: Daudi Mchambuzi wa Ufipa soma hiyo!
Spika Ndugai alikuwa anaweka uelewa sawa kwa wananchi ili tuweze kwenda pamoja kama kuna jambo limesahaulika basi tujue muda ni mchache uliobaki.
Maendeleo hayana vyama
cc: Daudi Mchambuzi wa Ufipa soma hiyo!