mafao

  1. Ossy167

    JamiiForums Tanzania Mapadri wakizeeka wanapewa mafao ya kujikimu?

    Hello habari Ndugu Nina swali . Hivi mapadre wakikatoliki pale wanapokuwa wazee je wana mafao yeyote ya kuwasaidia kujikimu? Au je pale waumwapo wakati wa uzee wao ni Kanisa linatakiwa kuwahudumia ama inakuwaje! Au wanakuwa wanaishi wapi ?
  2. beth

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Walimu wapandishwa kizimbani kwa kughushi nyaraka ili kupata mafao NSSF

    TAKUKURU Mkoani humo imewafikisha Mahakamani Goldina Peter Minja, Rose Koshuma Msangi na Nicodemus Felician Kavishe. Goldina aliwasilisha nyaraka zenye maelezo ya uongo ya "Ukomo wa Ajira yako" Rose aliwasilisha nyaraka zisizo za kweli ili alipwe mafao ilihali bado ni mtumishi, na Nicodemus...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Madiwani na wabunge walioacha nafasi zao na kurejea CCM walilipwa mafao kamili kwa kodi za Serikali?

    Lipo zoezi lililoendeshwa na Dkt. Bashiru na Polepole kwa udhamini wa mwenyekiti lililopewa jina la kuunga juhudi mkono. Zoezi lile lilijaa uhalifu ikiwemo matumizi ya vitisho kwa waliokataa kuunga juhudi mkono. Moja ya zawadi waliyopewa wale waliounga mkono juhudi ilikuwa ni kuakikishiwa...
  4. J33

    JamiiForums Tanzania Ni hatua gani mstaafu anatakiwa kufuata kama amepunjwa au amelipwa mafao chini ya kiwango anachostahili?

    Mstaafu aliyelipwa chini ya kiwango halisi anatakiwa kuchukua hatua gani ili kudai kiasi kilichobaki? Nimeuliza maana kuna ndugu yangu alilipwa kiasi asichostahili 2018 na tangu mwezi wa nne amekuwa akipokea simu kutoka kwa watu wanaojitambulisha kama wafanyakazi wa hazina wakimuomba rushwa ili...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ukiondoa wastaafu wanaosubiri mafao yao, ni kundi gani jingine linaisoma namba zaidi?

    Binafsi naona wastaafu ndio kundi pekee waliomaliza kuzisoma namba zote hapa duniani. Kuna wastaafu wengine wana miaka 2,3 n.k hawajalipwa stahiki zao. Kila siku wakienda PSSSF wanaambiwa bado hiki, wakikamilisha hiki wanaambiwa bado kile. Then hupewa kakenda ya kulipwa, hapo sasa shughuli...
  6. Kisoda James

    JamiiForums Tanzania Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

    Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya. Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha...
  7. Chief Kabikula

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

    Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao. ========= RAIS SAMIA...
  8. mkurya org.

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wote wa KIRIBO LTD mafao yetu hayaonekani kwa miaka 4, NSSF mlikuwa wapi?

    Wanajukwaa poleni Sana na Majukumu, Mimi hapa ni miongoni mwa wafanyakazi wa kampuni ya Kiribo Ltd iliyopo wilaya ya Tarime mkoa wa Mara. Kwa taarifa rasmi kuhusiana na kampuni yetu tulisimama kazi tangia mwaka Jana mwezi wa saba ila tangia tulivyosimama kazi hatujawahi pewa haki zetu au...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Wastaafu wawe wanaandaliwa kisaikojia kabla ya kukabidhiwa mafao

    Wastaafu wengi huumizwa na mafao ambayo yalilengwa kuwasaidia. Kuna mmoja alipata milioni 200, wapambe walimshauri awekeze kwenye uchimbaji mdogo wa dhahabu. Alikaa huko miezi 18. Amerudi nyumbani hana kitu bahati yake mke ni mhangaikaji ana mgahawa. Wahanga wa matukio haya ni wengi sana...
  10. Chui mnyama

    JamiiForums Tanzania Kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu chaanza kutumika rasmi

    Habari wana JamiiForums wenzangu Kwa wale mliofunga mfungo wa mwezi mtukufu salaam alaikum Leo nimekuja mbele yenu tujadili Kidogo mambo makuu mawili jambo la kwanza ni juu ya kikokotoo cha pension cha wastaafu na matumizi ya kikokotoo kipya. Ndugu wanaJamiiForums najua katika ukurasa huu kuna...
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Bulaya: Kikokotoo kipya cha Mafao ni kibovu na kinawapangia Wastaafu matumizi ya fedha zao

    Mbunge wa Viti Maalum, Esther Bulaya, amesema sio sawa kwa Mtumishi aliyeitumikia Tanzania kwa miaka mingi kumpangia matumizi ya fedha ya fedha yake kwa kumpa asilimia 25 huku asilimia 75 unasema utamlipa polepole. Bulaya amesema Uongozi wa Hayati Dkt. Magufuli ulilazimisha kuweka mfumo mbovu...
  12. MountFX

    JamiiForums Tanzania Naweza kupata mafao ya NSSF nikiwa na namba bila kadi

    samahani sana wana jf nilikua nahitaji msaada wenu kidigo kwa yoyote anaye jua, Nimekua nikijiuliza sana kuhusu swala la NSSF. mimi nilikua mfanya kaza katika company furani hapa dar es salaam na nimetumikia hapo kwa miaka miwili mwaka wa kwanza sikuingizwa katika system ya nssf lakini...
  13. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania Hivi Serikali hii mna tatizo gani kutolipa wastaafu mafao yao? Hii ni laana mtaua wazee wa watu kwa mawazo

    Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake? Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini...
  14. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Waziri anawezaje kuchelewesha mafao ya wastaafu?

    Wandugu. Inawezekana mm ndiyo sijaelewa. Raisi wa JMT leo alikuwa chuo cha mapolisi kurasini. Hapo alizindua majengo mengi. Kama kawaida. Awali kabla ya kuanza kuhutubia alitangulia means CCM mwenziwe naye ni bwana Simon Siro. Siro aliongea changamoto nyingi zinazowakabili mapolisi wakiwemo...
  15. Valenciaga

    JamiiForums Tanzania Kucheleweshwa kwa mafao na PSSSF

    Nilifungua madai mwaka Jana mwezi wa 5, nadai tu hela ndogo kama 2.7m lakini ni mizungusho tu, mara wanashughulikia za mwezi wa tatu mara bado inafanyiwa kazi, na hawajui ni lini fedha itatolewa kwa sababu walio fungua madai hapo ni wengi sana. Kiukweli hii serikali inaumiza sana raia...
  16. comte

    JamiiForums Tanzania Mafao na haki za Marais wastaafu wa Marekani ni balaa, wa kwetu hapa cha mtoto

    Reuters) - The impeachment proceeding against Donald Trump on a charge of inciting the Jan. 6 attack on the U.S. Capitol has fueled speculation online that he could lose some of the benefits extended to former presidents. But according to legal experts, under the laws currently in effect, Trump...
  17. waziri2020

    JamiiForums Tanzania Hai: DC Sabaya awataka Utumishi kueleza kwanini hawajapeleka majina ya Walimu waliostaafu Hazina

    Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amewapa siku tatu maafisa utumishi wilayani humo kuhakikisha wanatatua changamoto za waalimu wapatao 105 wanaodai malimbikizo ya fedha zao. Aidha amebainisha kuwa fedha hizo ni pamoja na malimbikizo ya kupandishwa madaraja mishahara na fedha za kustaafu...
  18. X-Agent

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Wazee waitikia wito wa uhakiki mafao

    Wazee wetu huko Mwanza wameitikia kwa nguvu kubwa ombi la serikali kuhakiki taarifa kwaajili ya malipo ya Mafao yao, Ushauri wangu ni wasiwasimamishe wazee wetu hivi kwa foleni waanzishe utaratibu ambao ni rafiki kwa afya na nguvu za wazee wetu.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Madai ya Hela za mafao wafanyakazi TRC

    Habari! Natumai mu wazima! Leo nataka kutumia jukwaa hili kuwakilisha kilio cha wastaafu wa shirika la reli Tanzania (TRC) ambao kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakifatilia mafao yao kwenye mashirika ya hifadhi za jamii bila ya mafanikio, sababu kubwa ikiwa ni kuwa shirika halikuwa likipeleka...
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mifuko ya hifadhi ya jamii yatakiwa kuacha janja janja ya kuwasumbua wanaohitaji mafao yao

    Serikali imeitaka mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kuacha ujanja ujanja badala yake ijikite kulipa mafao kwa wakati kwa wanachama wao wanaostaafu ama kuachishwa kazi. Imeitaka mifuko hiyo kutowazungusha na kuwapa usumbufu usiokuwa wa lazima wanachama wanaofuatilia mafao yao. Vilevile...
Back
Top Bottom