MountFX
New Member
- Mar 13, 2021
- 2
- 1
samahani sana wana jf nilikua nahitaji msaada wenu kidigo kwa yoyote anaye jua,
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu swala la NSSF.
mimi nilikua mfanya kaza katika company furani hapa dar es salaam na nimetumikia hapo kwa miaka miwili mwaka wa kwanza sikuingizwa katika system ya nssf lakini nilivyosaini mwaka mwingine wa pili nikaingizwa kwenye huduma ya NSSF.
nilijaza lile kalatasi la ngano nikapeleka pale ubungu plaz walinipa mda kidogo baada ya week mbili wakanitumia namba yangu ya nssf kupitia simu yangu nikaiwakilisha ofisini na michang yangu yote ikaingizwa huku.
ulipita mwezi nilienda pale ubungu plaza kuulizia kadi yangu ya nssf lakini waliniambia watanitumia sms ilikua kila nikienda wananiambia watanijulisha mpaka ukapita mwaka mmoja sijapata kadi yangu
MSAADA WANGU UPO HAPA SASA.
mwaka umepita na namba tu sina kadi ya NSSF na nilipokua nafanya kazi nimeacha baada ya mkataba wangu kuisha kwaiyo pale NSSF namchangu wangu wa mwaka mmoja na nikiangalia kwenye system yao naona pesa zangu zipo kabisa hivi je naweze kuenda kufatilia mafao yangu bila kua na kadi kwamaana hapa na namba tu kadi sina naweza kufanikiwa kupata mafao yangu kweli.
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu swala la NSSF.
mimi nilikua mfanya kaza katika company furani hapa dar es salaam na nimetumikia hapo kwa miaka miwili mwaka wa kwanza sikuingizwa katika system ya nssf lakini nilivyosaini mwaka mwingine wa pili nikaingizwa kwenye huduma ya NSSF.
nilijaza lile kalatasi la ngano nikapeleka pale ubungu plaz walinipa mda kidogo baada ya week mbili wakanitumia namba yangu ya nssf kupitia simu yangu nikaiwakilisha ofisini na michang yangu yote ikaingizwa huku.
ulipita mwezi nilienda pale ubungu plaza kuulizia kadi yangu ya nssf lakini waliniambia watanitumia sms ilikua kila nikienda wananiambia watanijulisha mpaka ukapita mwaka mmoja sijapata kadi yangu
MSAADA WANGU UPO HAPA SASA.
mwaka umepita na namba tu sina kadi ya NSSF na nilipokua nafanya kazi nimeacha baada ya mkataba wangu kuisha kwaiyo pale NSSF namchangu wangu wa mwaka mmoja na nikiangalia kwenye system yao naona pesa zangu zipo kabisa hivi je naweze kuenda kufatilia mafao yangu bila kua na kadi kwamaana hapa na namba tu kadi sina naweza kufanikiwa kupata mafao yangu kweli.