Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
Clay Banks
Many times, I considered what it would take for me to be content. It’s so easy to be happy that you can’t believe it at first.. Many times, I tried so hard to be happy that I couldn’t be, and it was frustrating. And it wasn’t until much later that I came to the realization that in...
1. Walk:
Walking helps clear your mind.
It offers you a different perspective.
2. Indulge:
Take a day off to spend a whole day doing exactly what you want.
3. Be Generous:
Give something to a total stranger.
Acts of giving make us feel warm and fuzzy inside.
4. Sit in a coffee shop or a busy...
Habari ya siku ya leo;
Ni muda mrefu tangu nilipoandika makala yangu ya mwisho katika jukwaa hili ambalo nimelichagua kama sehemu ya mchango wangu kwa jamii yetu.Ninaamini kwamba pamoja na kwamba maandiko na maoni yangu hayana upekee wala ukoo wowote ila kwa kuwa ninatumia rasilimali muda na...
There are no secrets, just as there are no get-rich-quick schemes, so avoid purchasing any of them as well. You will be offered loads. All kinds of opportunities will present themselves to you as soon as your emphasis is on being successful. And they'll all promise to reveal the trade secrets...
Kuna wadada wananishawishi sana nijiunge na hii NeoLife is a nutrition company that manufactures and sells superior quality whole food nutrition products, with a mission to make the world a healthier and happier place. NeoLife has been in business for 60 years, since 1958, and operating in over...
Our galactic neighborhood may be bustling with other worlds, but a new study estimates that a mere 300 million of those 100 billion planets may have the right ingredients for life.
The Milky Way contains at least 100 billion planets. And scientists are hell-bent on finding which ones might...
Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za...
Throughout the journey, as we pass by, we come across hundreds and thousands of people. The way you live with one individual can either be the same or totally different from the way you live with another person, depending on the perception between each other.
One can live a very peaceful life...
Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa.
Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza...
Unsplash
Take the time to ask your heart and think about what you want. It varies from person to person, and perhaps this is something we shouldn’t go to the bottom of. We come into the world irregularly, and no one emerges as the times require. Due to different life experiences, each has its...
Wakati mfumuko wa bei ukiendelea kutuchapa kuna mengi pia ya kufurahia kwenye haya maisha....
Leo naanza weekend mapema kabisa, nikila ngoma moja ya hatari sana.....
Aliyesema msemo MUSIC IS LIFE hakukosea kabisa.....
Wanabodi,
Mwendelezo
Kwa wasomaji wapya this is a true story of my life, nilitamani kuwa wakili kwa sababu ya Wakili Murtaza Lakha toka mwaka 1976, hatimaye sasa nimekuwa wakili, jee nitakuwa kama Lakha?.
Wiki iliyopita, tuliishia Baba Mzee Andrew Mayalla ni miongoni mwa washtakiwa wa Kesi ya...
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo?
Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine...
Wanabodi,
Nipashe ya leo, Story Inaendelea...
Kwa Wasomaji wapya, hii ni stori ya safari yangu ya ndoto ya kuwa wakili, iliyonichukua iliyoanzia Mwanza mwaka 1976 takriban miaka 45 iliyopita, hatimaye nimekuwa wakili mwaka huu, hivyo kujiuliza jee sasa, bado naweza kuwa kama Wakili Murtaza...
Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote.
Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa.
Umekosea.
Natumaini hamjambo waheshimiwa.
Nimetafakari kwa muda mrefu sana, nini hasa maana ya maisha na kwanini tunaishi?
Maisha hayako fair kabisa, wako watu wasio na hatia wala ubaya, wenye roho nzuri kupitiliza na wameishia kufa katika umri mdogo tena vifo vya kikatili mno. Wapo watu wenye roho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.