life

  1. starlightz

    JamiiForums Tanzania Hakuna jipya chini ya jua!

    Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania If you want to be happy in your life there are 6 things you should never do...

    Clay Banks Many times, I considered what it would take for me to be content. It’s so easy to be happy that you can’t believe it at first.. Many times, I tried so hard to be happy that I couldn’t be, and it was frustrating. And it wasn’t until much later that I came to the realization that in...
  3. starlightz

    JamiiForums Tanzania 16 ways to calm yourself when life is getting tough

    1. Walk: Walking helps clear your mind. It offers you a different perspective. 2. Indulge: Take a day off to spend a whole day doing exactly what you want. 3. Be Generous: Give something to a total stranger. Acts of giving make us feel warm and fuzzy inside. 4. Sit in a coffee shop or a busy...
  4. Masokotz

    JamiiForums Tanzania What is your Big WHY in LIFE (Life Investment Finance and Entrepreneurship)?

    Habari ya siku ya leo; Ni muda mrefu tangu nilipoandika makala yangu ya mwisho katika jukwaa hili ambalo nimelichagua kama sehemu ya mchango wangu kwa jamii yetu.Ninaamini kwamba pamoja na kwamba maandiko na maoni yangu hayana upekee wala ukoo wowote ila kwa kuwa ninatumia rasilimali muda na...
  5. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Life is about losing

    Nothing last As we get older We lose our Mothers We lose our fathers We lose our teeth We lose our hairs We lose our siblings Nothing is permanent
  6. Green Thoughts

    JamiiForums Tanzania There are no secrets in becoming too wealthy, you just need to be more than informed to reach where you always want to reach

    There are no secrets, just as there are no get-rich-quick schemes, so avoid purchasing any of them as well. You will be offered loads. All kinds of opportunities will present themselves to you as soon as your emphasis is on being successful. And they'll all promise to reveal the trade secrets...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Neolife hauna tofauti na Forever Living

    Kuna wadada wananishawishi sana nijiunge na hii NeoLife is a nutrition company that manufactures and sells superior quality whole food nutrition products, with a mission to make the world a healthier and happier place. NeoLife has been in business for 60 years, since 1958, and operating in over...
  8. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Scientists pinpoint how many planets in the Milky Way could host life

    Our galactic neighborhood may be bustling with other worlds, but a new study estimates that a mere 300 million of those 100 billion planets may have the right ingredients for life. The Milky Way contains at least 100 billion planets. And scientists are hell-bent on finding which ones might...
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!

    Wanabodi Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri. Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za...
  10. Green Thoughts

    JamiiForums Tanzania No matter how good you are, you will still be evil in someone’s story

    Throughout the journey, as we pass by, we come across hundreds and thousands of people. The way you live with one individual can either be the same or totally different from the way you live with another person, depending on the perception between each other. One can live a very peaceful life...
  11. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Viongozi wengi wa Tanzania hawajawahi kufanikiwa chochote maishani, hata tu ufaulu wa mitihani

    Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa. Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza...
  12. M

    JamiiForums Tanzania If you want your life to be meaningful you have to do two things

    Unsplash Take the time to ask your heart and think about what you want. It varies from person to person, and perhaps this is something we shouldn’t go to the bottom of. We come into the world irregularly, and no one emerges as the times require. Due to different life experiences, each has its...
  13. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Friday banger: Weekend ndiyo inaanza hivi asee (music is life)

    Wakati mfumuko wa bei ukiendelea kutuchapa kuna mengi pia ya kufurahia kwenye haya maisha.... Leo naanza weekend mapema kabisa, nikila ngoma moja ya hatari sana..... Aliyesema msemo MUSIC IS LIFE hakukosea kabisa.....
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wakili Pasco-A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part III-Final

    Wanabodi, Mwendelezo Kwa wasomaji wapya this is a true story of my life, nilitamani kuwa wakili kwa sababu ya Wakili Murtaza Lakha toka mwaka 1976, hatimaye sasa nimekuwa wakili, jee nitakuwa kama Lakha?. Wiki iliyopita, tuliishia Baba Mzee Andrew Mayalla ni miongoni mwa washtakiwa wa Kesi ya...
  15. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Life is not cool for everyone

    Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo? Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine...
  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

    Wanabodi, Nipashe ya leo, Story Inaendelea... Kwa Wasomaji wapya, hii ni stori ya safari yangu ya ndoto ya kuwa wakili, iliyonichukua iliyoanzia Mwanza mwaka 1976 takriban miaka 45 iliyopita, hatimaye nimekuwa wakili mwaka huu, hivyo kujiuliza jee sasa, bado naweza kuwa kama Wakili Murtaza...
  17. Stroke

    JamiiForums Tanzania Rais Samia this will haunt you for the rest of your life

    Kuwahamisha wamasai toka ardhi yao ya kurithi inaweza kuwa amri rahisi kabisa uliyowahi kuitoa ila jambo hili limeumiza wengi na litakuhusu kwa kipindi chako chote. Napenda nikuambie kwamba hili hukufanya sawa. Umekosea.
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi 100 ya kazi za Afisa Mauzo katika kampuni ya Sanlam Life Insurance LTD

  19. Architect E.M

    JamiiForums Tanzania What is the purpose of life? Kwanini tunaishi?

    Natumaini hamjambo waheshimiwa. Nimetafakari kwa muda mrefu sana, nini hasa maana ya maisha na kwanini tunaishi? Maisha hayako fair kabisa, wako watu wasio na hatia wala ubaya, wenye roho nzuri kupitiliza na wameishia kufa katika umri mdogo tena vifo vya kikatili mno. Wapo watu wenye roho...
  20. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania No situation is permanent in life

Back
Top Bottom