kuchimba kisima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoldDhahabu

    Ni sahihi kuchimba kisima maji kipindi cha masika?

    Ni sahihi kuchimba kisima cha maji kipindi cha mvua? Sikuwa na mpango wa kukichimba muda huu, lakini mtu anayelihudumia shamba langu kwa sasa kaniambia anaweza kukichimba kwa bei nafuu hadi ayakute maji. Nilipomwambia kuwa visima vianvyochimbwa nyakati za mvua zinaweza kuishiwa maji wakati wa...
  2. U

    Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

    Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer (mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar...
  3. E

    Mkataba wa kuchimba kisima

    Habari JF member. Tunakumbusha tena katika kipindi hiki chenye changamoto ya maji, ambapo kwa asilimia kubwa imeathiri uchumi haswa upande wa uzalishaji. Sasa watu wamehamka kuchimba visima, kutokana na haraka hii, wengi hawafanyi survey so wanachimba kwa kukadilia kina ambacho watapata maji...
  4. E

    INAUZWA Farmers and Garden lovers kuna vitu vyenu vizuri vinauzwa

    Salamu kwenu. Wadau wa kilimo, ufugaji na mazingira , napenda kuwaletea bidhaa zitakazo saidia kuongeza tija kwenye miradi yenu. #1 Sprinkler kwa umwagiliaji wa kisasa kwenye mashamba, bustani, n.k Zimetengenezwa kwa shaba, size yake ni robo tatu( 3/4). Inamwagilia kipenyo cha mita 29. Nunua...
  5. E

    Ni Gharama kiasi gani kuchimba kisima cha maji?

    Habari Jf members. Kichwa cha habari ni swali mahususi kwa kuanzia ili kupata baadhi ya maarifa kuhusu uchimbaji wa visima kulingana na uzoefu wangu wa zaidi ya miaka 5 katika biashara hii. Kwa wadau wa uchimbaji wa visima ni kawaida kukutana na swali la namna ya kutambua gharama za uchimbaji...
  6. M

    Kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwenye beach plots

    Habarini wakuu, Tafadhali naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwa beach plots ambazo zipo kama 400m toka beach. Asante.
  7. E

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Huduma zetu! KUCHIMBA VISIMA VYA MAJI. KUWEKA NA KUTENGENEZA BOMBA (PLUMBING SYSTEM) KWENYE MAJENGO YALIYO KWENYE UJENZI NA YATUMIKAYO. KUBADILISHA/ KUSAFISHA PIPE ZA MAJI SAFI/TAKA ZILIZOPASUKA/ KUZIBA. KUTENGENEZA (REPAIR) PUMPS ZA MAJI. 0759600809 Gerezani
  8. E

    INAUZWA pump za maji kwa miradi mbalimbali

    Kwa wenye miradi ya kibiashara au majumbani sasa unaweza kupata pump kulingana na matumizi yako. Zipo pump kwa ajili ya visima virefu na vifupi, mabwawa,majitaka, n.k Pump hizi zinatumia umeme wa kawaida, zipi zinazotumia umeme wa jua na zipo zinazotumia mikono au miguu(manual). Ukihitaji kujua...
Back
Top Bottom