Ebu umiza kichwa kidogo?

Ebu umiza kichwa kidogo?

Nikiwa chuo niliona ujinga kutengeneza GPA basi nikajikita kwenye kujifundisha Guitar wenzangu wanasoma.....
Boom nkanunulia magitaa wenzangu wanakula bata
Leo miaka kadhaa mbele nmegraduate nina ka ajira ka hapa na pale...lakini hamna pesa naifurahia kama nayopata kwenye Gigs...ni tamu alafu unalipwa unaenjoy
Nataka kusemaje?
Naishi maisha simple sana maana Elimu yangu niliitumia kujifundisha namna ya kulipwa kufanya jambo naloenjoy
Kuhusu kutengeneza ajira nipo mbioni kufungua saloon niajiri mtu hii pia ni kwa sababu napenda kudeal na issue za utanashati...
Kwisha ...Ajira ninayo talent ninazo nchi bado kubwa hii
 
Mm sio Mzee. Ila kuna namna naisifu Elimu ya Mkoloni.

Kulikuwa na watu wa fani mbalimbali (ufundi stadi) na watu wa taaluma white collar Job.

Sasa hapa katikat kama taifa hawakuipa kipaumbele Taaluma ya fani mbalimbali na wakaona fani sio mwelekeo sahihi. Wakaelekeza kwenywe wasomi na kutengeneza watu weng wa white collar job ambao pia kazi hazipo za kuwasitiri wote.

Kuna mtu anamaliza SUA.
Ila anasubiria aajiriwe.
Wakat mfano kama amesomea Livestock alitakiwa
Awezeshwe afuge na aelimishe jamii inayomzunguka maana anajua mifugo kwa undan . Na ataleta tija kwa jamii na taifa.

Ila sasa mtu kama huyo anataka aajiriwe. Inafikirisha.
Ila ni kwasababu ametaarishwa hivyo.
 
Mm sio Mzee. Ila kuna namna naisifu Elimu ya Mkoloni.

Kulikuwa na watu wa fani mbalimbali (ufundi stadi) na watu wa taaluma white collar Job.

Sasa hapa katikat kama taifa hawakuipa kipaumbele Taaluma ya fani mbalimbali na wakaona fani sio mwelekeo sahihi. Wakaelekeza kwenywe wasomi na kutengeneza watu weng wa white collar job ambao pia kazi hazipo za kuwasitiri wote.

Kuna mtu anamaliza SUA.
Ila anasubiria aajiriwe.
Wakat mfano kama amesomea Livestock alitakiwa
Awezeshwe afuge na aelimishe jamii inayomzunguka maana anajua mifugo kwa undan . Na ataleta tija kwa jamii na taifa.

Ila sasa mtu kama huyo anataka aajiriwe. Inafikirisha.
Ila ni kwasababu ametaarishwa hivyo.
Tatizo linaweza kuwa nini? mitaala ya elimu haikidhi mtu kujiajiri au?
 
Tatizo linaweza kuwa nini? mitaala ya elimu haikidhi mtu kujiajiri au?

Mitaala.
ngoja tuone hii mipya.

Wanafunzi wa Ulaya unafikiri wanasoma Maji maji war. Au kinjekitile gware?. Au Nchi za Afrika zimepata uhuru lini?.

Kwanini sisi tunafundisha kuanzia form 1 hadi 6. Ni kukariri tu mambo ya kwao.

Unakariri hadi Panzi.
Haya umepatia sehem zote za panzi. Atakusaidia nini ukimaliza form 6?.
 
Back
Top Bottom