Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

Nimeacha kabisa kumwamini Mwanamke hata kidogo

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,323
Reaction score
23,238
Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi.

Wamefanikiwa kupata watoto watatu saSA. Katika watoto watatu hao mmoja tu ndo wa jamaa wawili wa mtu mwingine.

Jamaa kagundua kube demu akitaka kubeba mimba anaenda kujegedwa na mwanaume mmoja white. Maana ndo demu anavyomuita kwenye sms.

Anasema mtoto wa kwanza alitoka black halafu ni wa kike. Hakupenda. So akawa ametafuta mshkaji white ampatie mbegu white. Hayo jamaa kayakuta kwenye sms demu akimsifia jamaa kuwa kamsaidia kupaka rangi maana nyumbani kwa mumewe ni weusi.

Jamaa akaamua kupima DNA ndo kugundua wake mmoja tu wa kwanza.wale wawili ni kazi ya kiuno cha mtu mwingine. Jamaa ameondoka kwake toka alhamis ajarudi kwake. Leo ndo jamaa ananiambia kuwa amekataa tamaa kabisa hakutegemea jinsi ambavyo mke wake alikuwa anamsifia.

Mwanaume tolu na mweusi kumbe anawaza ushenzi. Na demu mwenyewe kumbe weupe wa kununua so ni People in Black wote wawili.

Hapo nimechoka sana. Nataka nipate demu zeru zeru kabisa ili mimi weusi wangu usije kuwa kikwazo na nitamwambia kabla sijamuoa kuwa kilamtoto tutapina DNA asije leta mambo ya kisengeeh kama ya uyu wa jamaa.

Sitotaka muamini tena muanamke ktk hal huu wacha tutegane yu.
 
IMG-20260726-WA0384.jpg
 
Hio ipo sana tu, kuna mwana katafutwa na mke wa mtu age ni za 21-23 kati ya mume,mke na huyu jamaa. Mke huyo wa mtu kampigia mwanetu anamwambia siri za mume wake kuwa hamfurahii hata anampa tu game basi tu!

Anamuomba mwana aende ampe mtoto, dah nikamwambia huyu jamaa acha kucheza na wake za watu, sifurahishwi kabisa we cheka cheka ila hizo mambo sio.
 
Uyu dada namfaham sabab alisoma nami shule Level nlimwacha kidogo madrasa. Akaja olewa na mshkaji ambaye tulikuwa naye ofisi moja. Kwenye harakati za mtu mweusi.

Wamefanikiwa kupata watoto watatu saSA. Katika watoto watatu hao mmoja tu ndo wa jamaa wawili wa mtu mwingine.

Jamaa kagundua kube demu akitaka kubeba mimba anaenda kujegedwa na mwanaume mmoja white. Maana ndo demu anavyomuita kwenye sms.

Anasema mtoto wa kwanza alitoka black halafu ni wa kike. Hakupenda. So akawa ametafuta mshkaji white ampatie mbegu white. Hayo jamaa kayakuta kwenye sms demu akimsifia jamaa kuwa kamsaidia kupaka rangi maana nyumbani kwa mumewe ni weusi.

Jamaa akaamua kupima DNA ndo kugundua wake mmoja tu wa kwanza.wale wawili ni kazi ya kiuno cha mtu mwingine. Jamaa ameondoka kwake toka alhamis ajarudi kwake. Leo ndo jamaa ananiambia kuwa amekataa tamaa kabisa hakutegemea jinsi ambavyo mke wake alikuwa anamsifia.

Mwanaume tolu na mweusi kumbe anawaza ushenzi. Na demu mwenyewe kumbe weupe wa kununua so ni People in Black wote wawili.

Hapo nimechoka sana. Nataka nipate demu zeru zeru kabisa ili mimi weusi wangu usije kuwa kikwazo na nitamwambia kabla sijamuoa kuwa kilamtoto tutapina DNA asije leta mambo ya kisengeeh kama ya uyu wa jamaa.

Sitotaka muamini tena muanamke ktk hal huu wacha tutegane yu.
My friends ladies and gentlemen,

binafsi nashauri wadau wote wa JF kumuamini Mungu pekee ili kuepukana na changamoto za kisaikolojia kama hizo maishani 🐒
 
Hio ipo sana tu, kuna mwana katafutwa na mke wa mtu age ni za 21-23 kati ya mume,mke na huyu jamaa. Mke huyo wa mtu kampigia mwanetu anamwambia siri za mume wake kuwa hamfurahii hata anampa tu game basi tu!

Anamuomba mwana aende ampe mtoto, dah nikamwambia huyu jamaa acha kucheza na wake za watu, sifurahishwi kabisa we cheka cheka ila hizo mambo sio.

Hiii inaweza fanya watu wasioe
 
Ukweli ni huu wanaume weupe wanapondwa mdomoni sana mwa wanawake etii wanaume hawana nguvu za kiume wa baridi nk. Lakini hao hao huwatafuta na kutaka kuzaa nao wenyewe ikibidi hata Kwa gharama zao.

Binafisi ni yuhuda wa hili ukimuachana ukweli kuwa huwezi toka na mke wa mtu anakuambia sihitaji mahusiano na wew permanent Bali nahitaji TU nizae nawewe nk

Haya huwezi kuyaamini ila ukitaka kufanya research basi ji crime wew mwanaume Kisha nenda mahali usipojulikana utaona si mabinti si wake za watu watakufata wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom