kidogo

The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Eti yaliyotokea "yametutia doa kidogo." Damu za maelfu kumwagika ni doa kidogo? Unakosa utu kiasi hicho?

    Watu wamekufa kwa maelfu yeye anasema imetutia doa kidogo. Anajaribu ku minimize ukubwa wa skandali la mauaji. Hana utu hata kidogo. Na hili la kusema itabidi atumie rasimali za ndani ni janja janja ya kutuandaa ki saikolojia ili auze, agawe, na kuhondomola ardhi na migodi na misitu na mali...
  2. President of China

    JamiiForums Tanzania CCM ni kina kirefu sana. Wengi hawaijui vizuri (Kidogo kidogo tutaelewana tu, Mizizi yake ni mirefu mno) Bila CCM hakuna Tanzania

    Katika siasa za Tanzania, hakuna chama kilicho na historia, falsafa, na muundo uliojengeka kwa muda mrefu kama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ni chama kilichozaliwa mwaka 1977 kutokana na muungano wa vyama viwili vikubwa TANU kutoka Tanganyika na ASP kutoka Zanzibar. Lakini pamoja na ukubwa wake...
  3. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Ile video ya mochwari sio AI hata kidogo tuache kujiaibisha na kutia watu hasira haya yote ni kwasababu tu ya madaraka samia ? huyu lazima aende jela

    Ile video ya mochwari sio AI hata kidogo tuache kujiaibisha na kutia watu hasira haya yote ni kwasababu tu ya madaraka samia ? huyu lazima aende jela alafu heti hawa wizara ya afya wameipost ile video sio AI kuipost ni kujiaibisha kimataifa ile video sio AI kabisa wanaendelea kujivua nguo...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Diwani Athumani na Kapilimba Bungeni ni kama ulimchanganya kidogo

    Walipotambulishwa niliona kama pozi iliisha kidogo au ni macho yangu?
  5. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Tumuimbie kidogo kimama

    Tumuimbie kidogo. "Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo Achia ngazi bibi mchuma huo. . . . . Umechelewaaaa, naondoka naye umeishiwa nina dunda naye . Twaona mambo yapo huku taarabu himo taarabu himo. Twaona mambo yapo huku weeeeee Utaumiza roho yakoooo" Kwa niaba ya Nasma Khamisi Kidogo
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Tupate Burudani Kidogo: Tuonane Paradiso - Joshua Mlelwa

    Tukumbushane wote tutakufa. Hafu tutaonana tena afterlife. Either Peponi aubon fire. https://youtu.be/9ooC1a-oQjo?si=iiw-dEXyZwLK8nXY
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Huko CCM hakuna mwenye akili kidogo hata mmoja?

    Hivi huko CCM hakuna mwenye akili hata kidogo! Hata mmoja anayeweza kushauri mambo ya msingi na kuacha kufanya ujinga ambao unaliangamiza Taifa? Ndiyo, nawauliza nyie sababu Hatuna Serikali nchi imeshikwa na CCM pamoja na vyombo vyake vya dola ambavyo navyo vinatia shaka iwapo wapo watu wenye...
  8. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania APPRECIATION: Asanteni sana JWTZ walau kwa hicho kidogo mlichofanya

    Asiyeshukuru kwa kidogo ,hata apatapo kingi hakitomtosheleza. Kwa moyo wa dhati napenda niwashukuru wanajeshi wetu (JWTZ) hususani wale mliofanikisha ulinzi wa waandamanaji. Japo maumivu ya familia zetu ni makubwa na makali sana kutokana na kupoteza ndugu zetu, lakini binafsi naamini nyinyi...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Sisi wa kitambo hebu tujikumbushe kidogo hip hop ya zamani

    Wadau habari. Muziki wa hiphop wa sasa umebadilika sana.Lakini kwa sisi wenye kumbukumbu za zamani hebu tukumbushane. 1.Je unaikumbuka ngoma ya kwanza Unit aliimba Bugz Malone na D Rob.Bug alikuwa anachana kiingereza alafu D akapoga chorus ya Kiswahili iliyokuwa inaenda "kama hujui...
  10. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Mwenye nacho huongezewa asie kua nacho ata kile kidogo ni halali kukichukua

    japo sio watu wengi wana uelewa sana wa crypto ila huyu mzee amefanya kilicho kibaya sana wiki hii, binafsi kama 40% ya mtaji mzima umeenda, ni sahihi kabisa kumrushia mashtaka huyu mwamba
  11. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tucheke kidogo, mbona wapalestina wa Tanzania hawawasaidii wenzao wa Gaza?

    Japo ni utani, bado nashangaa kwanini wapalestiina wa Tanzania aka wamachame hawawasaidii wenzao wa Gaza?
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchungaji Amoni: Tangu mwaka 2019 hatujawahi kuwa na uchaguzi unaoeleweka hata kidogo

    Mchungaji Amoni Mwashitete Atoa Wito wa Kijasiri kwa Viongozi wa Dini na Wastaafu Katika hotuba yake ya hivi karibuni kupitia Mwanahabari digital Mchungaji Amoni Mwashitete alitoa wito mzito kwa viongozi wa dini nchini Tanzania, akisisitiza umuhimu wa kusimama kwenye misingi ya haki bila...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kosa uwe na kauwezo kidogo alafu umpite mbongo wa hali ya chini bila kumsalimia, aisee lazima utungiwe diss track na mtaa mzima watasikiliza

    🗣️"JAMAA ANAJIKUUUTA MWAMBA, WAKATI TUMEMUONA HAPA TANGU ANATAABIKA TUNASHINDIA NAE VISHETI KIJIWENI"
  14. S

    JamiiForums Tanzania Binafsi naona CRDB ndio inaanza kufa kidogo kidogo

    Huu ni mtazamo wangu: Kama ambavyo kiongozi wa nchi akifariki, wahusika huhitaji kujipanga kabla ya kutoa tamko kwa umma sababu ikiwa ni kuweka mambo sawa kabla ya kutangaza kifo cha Rais. Kwa msingi huo, hata taasisi Kama benki ambayo watu wengi wametunza fedha zao, inapokumbwa na tishio...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Sina imani hata kidogo na hii full house ya Yanga

    Jana, Yanga walitangaza kuwa tiketi 4,000 bado zilikuwepo kuuzwa, jambo ambalo linashangaza kwani si Rais wa Yanga kuuza tiketi 4,000 kwa muda mfupi sana. Leo, tukio limeonekana kama full house, na inadai kuwa tiketi hizo CCM wamezinunulia ili kuhakikisha watu wakawa wengi wanashuhudia mchezo...
  16. AKAN

    JamiiForums Tanzania Nani au gari ipi itaruhusiwa kupita/kuanza safari kwanza

    Nani au gari ipi itaruhusiwa kupita/kuanza safari kwanza... Mtizamo /mtazamo wangu : Presidential car (gari ya rais/kiongozi) Sababu :...... Sina
  17. nodetz

    JamiiForums Tanzania Tuelimishane kidogo kuhusu wadukuzi (Hackers)

    Habari wana jm. Juzi katika pitapita zangu uko youtube nilikutana na video moja ya jaamaa anaitwa () ni mbongo mwenzetu alikua akielezea zofauti ya IT na cybersecurity ase niliumia sana🥲🥲. Kilicho niumiza zaidi ni upande wa comment ase pale ndo niligundua watu wanapenda sana kujua udukuzi ni...
  18. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Tupate burudani kidogo kutoka kwa mkaka wa Dar.

    Kwahiyo wanaume wa Dar siku hizi mnatembea na pochi kama wanawake?
  19. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Vijana; leo nawaibia siri kidogo kuhusu ugumu wa maisha mnaopitia

    Leo siwapi kila kitu ila nitaendelea kutoa kila nikipata muda 1. Zinaa ( kula/ kuliwa mzigo) ni chanzo no1 kinachokwamisha harakati zako. Kubali, kataa, pinga au andamana ila huo ndio ukweli. Zile hisia za kujilaumu unazozipata baada ya kufanya ngono ni Taarifa ya kukuonesha kuwa kuna kitu cha...
  20. M Hacker

    JamiiForums Tanzania Na wewe umechanganyikiwa au tusikilizie kidogo..?

    Sindano inachoma lakini ndo tunajifunza na ukiona mtu analalamika maisha magumu we mpige Kofi tu na oktoba tunatiki🤣🤣🤣
Back
Top Bottom