Mchungaji Msigwa: Tujikumbushe kidogo

Mchungaji Msigwa: Tujikumbushe kidogo

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,827
Reaction score
101,013
"Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala.

Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala.

Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
IMG-20260420-WA0013(3).jpg
 

Attachments

  • 1752388517880.png
    1752388517880.png
    1.3 MB · Views: 18
"Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala.

Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala.

Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
View attachment 3576098

Hapo ndipo kajiharibia zaidi. Kwa jinsi Maza alivyo asahau kabisa.
 
calm down gentleman,
just focus on motion and let our mothers not be part of ongoing conversations especially when you are pointless, okey?
Sijui kama atakuwa amekuelea maana ma CHADEMA huwa hayana uwezo wa kuelewa lugha ya malkia maana mengi yalikimbia shule . Ndio maana yamejaa matusi utafikiri Vichaa au wendawazimu
 
"Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala.

Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala.

Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
View attachment 3576098
Mbona hiyo picha ni kama zile wanazoweka kwenye makaburi mtu anapokufa.

Kwani kuna mtu kafariki?
 
"Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala.

Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala.

Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
View attachment 3576098
Masikini Msigwa na shati lake jipya wala halina makunyanzi kama ya wenzake.
 
Back
Top Bottom