kesi

Oliver Manjet Chambuso (born September 7, 1992), known as Oliver Kesi or just Kesi (stylised as KESI), is a Danish rap artist. He promoted himself through his own YouTube channel within the grime genre also cooperating with others, notably Kidd. He also made music with a group of Nørrebro-based rap artists BOC (abbreviation for Bars of Crack or Bombs Over Copenhagen or Bombs Over Centrum). Success on the Internet with particular debut song "Byen Sover" (meaning "The City Sleeps") led to a series of concerts and interest from established record labels, such that Kesi, at the age of 18 signed with Universal Records in July 2011.In August 2011 Kesi released his first official single "Slem dreng" (meaning bad boy). This brought in great visibility in the media and an appearance on TV 2 in a special feature Kesi also performed in a series of concerts, including at Roskilde Festival, Distortion-festivalen and festival Sounds. His follow-up single on Universal is the single "Født I Dag" (meaning born today) produced by Benny Jamz from BOC and also the single "Ku godt". His debut album Bomber Over Centrum was released in February 2012 followed by Ung hertug in 2013 and Barn af Byen in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU tupeni mrejesho wa kesi zote mlizokuwa mnashughulikia

    Kwanza kabisa mtambue kuwa mnatumia kodi za Watanzania kufanya shughuli zenu. Kwa hiyo kufanya maigizo yasiyo na kichwa wala miguu sio jambo jema. Sakata la Mbowe kujilipa bil 8 liliwekwa wazi na wanachama waliokuwa wanakatwa hizo pesa na mpaka leo mliishia maigizo ya kuhoji wanachama bila...
  2. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Huyu Head Teacher alinikosea sana kwa kumshukuru baba

    Ilikua mwaka 1992, sikuzile tukijiita LY. Sasa hatukua na mziki kwenye umaliziaji. Nikiwa kijana, nikijana nikajipiga kifua, baba alikua na radio santuri ya sahani mbili sikuzile. Nikicho kifanya ni kuzama store kwa mzee, na nikachukua baiskeli (swala) ya baba, kijana nikaifunga santuri kwenye...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa na Joseph Mbilinyi wafungua kesi ya Kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga unyanyasaji Magerezani

    Wamesema kwamba wanafungua kesi hiyo ili kulinda heshima ya Wafungwa wawapo Jela, ambako haki na utu wao unapuuzwa. Walalamikaji hao ambao pia ni wabunge wa Zamani na WAFUNGWA WASTAAFU wanadai kwamba Wafungwa wa Tanzania wawapo gerezani wanalazimishwa Kupima Ukimwi huku Majibu ya vipimo hivyo...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Tumwombee Mdude Nyagali, kesi yake inashabihiana na ya Yanga Omari Yanga ambaye amefungwa miaka 30 na Mahakama ya Rufaa

    Mdude Nyagali Chadema alibambikiwa kesi ya kukutwa/kufanya biashra ya madawa ya kulevya na hukumu yake nasomwa tarehe 14/6/2021. Ikumbukwe kuwa Yanga Omari Yanga wa Tanga alikuwa na kesi ya kutegeshewa na Jana Mahakama ya Rufaa Tanzania imetoa hukumu ya rufaa iki-confirm hukumu ya Mahakama...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Orodha ya kesi zitakazosikilizwa na CAS mwezi Juni hadi Julai

    Hizi hapa ni orodha ya kesi zilizopo CAS ambazo zitasikilizwa mwezi wa sita hadi tarehe 1 mwezi wa saba 02.06.21 CAS 2020/A/7582 Al Sadd Sports Club v. Parma Calcio 1913 srl (FC Parma) CAS 2020/A/7583 Parma Calcio 1913 srl (FC Parma) v. Al Sadd Sports Club CAS 2021/A/7760 André Onana v. UEFA...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa BAWACHA Rorya ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

    Mwenyekiti wa BAWACHA Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la CHADEMA leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja. Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe yuko ziarani mkoani Mara. Taarifa rasmi itawajia punde. Kazi Iendelee!
  7. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Mdada niliyewahi mkimbia lodge ndiye Hakimu kwenye kesi yangu leo

    Ni miaka 12 sasa, huyu mwali tulikutana kwenye usahili katika moja ya makampuni makubwa yaliyowekeza Tanzania. Kwa bashasha tulitokea kuelewana na tukafahamiana ndani ya muda mfupi, na vijana wana msemo kwamba binti alinielewa baada ya kuonesha kumjali kwa mambo kadhaa. Baada ya usahili...
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Manyara, Maisaka: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Bakari Khatibu Yangu ahukumiwa

    Hakimu mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya hakimu mkazi Manyara Mh. Simon Kobero mnamo tarehe 27/ 05/2021 amemhukumu kwenda jela kutumikia kifugo cha miaka 2 au kulipa faini ya sh. 300,000/= mwenyekiti wa tawi la Maisaka kati Wilayani Babati mkoani Manyara Bw, Bakari Khatibu Yangu. Bakari amehukumiwa...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Jacob Zuma akana mashtaka ya ufisadi mwanzoni mwa kesi yake

    Jacob Zuma alisema NAPINGA makosa yote 18 ya ulaghai, ufisadi, ulaghai, ukwepaji wa kodi na utakatishaji fedha haramu. Mashtaka hayo yanahusiana na matukio ya zaidi ya miongo miwili - katika siku za mwanzo za demokrasia ya Afrika Kusini - pamoja na mpango mkubwa wa silaha wenye utata. Bwana...
  10. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya urithi wa Marehemu Dkt. Mengi: Yaliyojiri Mahakamani

    MONDAY MAY 24 2021 Haijawahi kuwa rahisi kwa familia nyingi kumaliza mashauri ya mirathi kwa amani, hata pale inapotokea marehemu alionesha mgawanyo wa mali zake katika wosia aliouacha. Tafrani na hali ya kutoelewana huwa kubwa zaidi kama aliyefariki na kuacha ama kutoacha wosia alikuwa tajiri...
  11. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyo bambikwa Kesi ya Ubakaji mwanafunzi Wilayani Nzega

    JINSI NILIVYOBAMBIKWA KESI YA KUZAA NA MWANAFUNZI WILAYANI NZEGA MWAKA2009. Mwaka 2008 Kuna Binti (Bahati) alikuwa Form 4 Shule ya Sekondari Kiri-Nzega. Mdada huyo alibebeshwa mimba na mtu anayeitwa Pro akiwa kwenye mitihani ya kumaliza Form4. Mapadre wa shirika la SFS wakamwambia ang'ang'anie...
  12. M

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU haiwezi na haina mamlaka ya kubambikizia mtu kesi

    Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu. Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo. Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha...
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe yagundua kesi za kwanza za aina mpya ya virusi vya corona vya India

    Makamu rais wa Zimbabwe akiwa katika hospitali ya Wilkins kwa ajili ya chanjo ya kupokea chanjo ya Covid 19. Shirikisha Zimbabwe imegundua kesi za kwanza za aina mpya ya virusi vya corona ambavo vimeibuka nchini India, Makamu wa Rais Constantino Chiwenga alisema Jumatano, na kuongeza kuwa...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: TAKUKURU yashinda kesi dhidi ya Watuhumiwa wawili walioshitakiwa kumhonga OCD Moshi

  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Yanga tusicheze na Simba mpaka kesi zetu zitolewe uamuzi na TFF

    Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha. Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu. Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote. Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu...
  16. Mimi.

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

    Kesi Ya Mirathi ya ya Dr. Reginald Mengi: Former Miss Tanzania Jackline Ntuyabaliwe adondokea pua kwa Mara Ya nane tena katika Rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetoa uamuzi kuwa mtoto wa Marehemu Reginald Mengi;-Abdiel na kaka wa marehemu, Bw. Benjamin Mengi kuwa...
  17. kookolikoo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: TAKUKURU wamefuta kesi za kubambikizia 147, Polisi na nyie jitazameni

    Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika. ==== Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo...
  18. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania South Africa's ex-president says he is ready for graft trial

    kesi ya Jacob Zuma hiyo South Africa's ex-president says he is ready for graft trial JOHANNESBURG (AP) — Former South African President Jacob Zuma says he is ready for his trial on charges of corruption, racketeering, and money laundering. Zuma appeared at the Pietermaritzburg High...
  19. meningitis

    JamiiForums Tanzania Lengai Ole Sabaya ni nani hasa?

    Ndugu Ole Sabaya aliwahi kutuhumiwa kuwa na kosa la kujifanya afisa kipenyo.kesi ikaendeshwa akashinda na hatimaye akawa mkuu wa wilaya.leo hii kaanguka tena kwa kusimamishwa Ukuu wa Wilaya. Chadema na baadhi ya wanaccm wanemshutumu sana na kwa muda mrefu JE OLE SABAYA LENGAI NI MMASAI AU...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri; Hatimaye Mdude Nyagali atimiza Mwaka mmoja gerezani

    Huyu Kijana wa kutokea Mlowo Mbozi, Mkulima duni wa jembe la mkono ambaye kwa maelezo yake mwenyewe bajeti yake kwa mwezi haizidi shilingi Laki 1 za Kitanzania, na ambaye hajawahi kumiliki hati yoyote ya kusafiria. Leo hii anatimiza mwaka mmoja Gerezani kwa Tuhuma za uongo za kuuza madawa ya...
Back
Top Bottom