Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwanza kabisa mtambue kuwa mnatumia kodi za Watanzania kufanya shughuli zenu. Kwa hiyo kufanya maigizo yasiyo na kichwa wala miguu sio jambo jema.
Sakata la Mbowe kujilipa bil 8 liliwekwa wazi na wanachama waliokuwa wanakatwa hizo pesa na mpaka leo mliishia maigizo ya kuhoji wanachama bila kuchukua hatua.
Sakata la Sabaya mpaka sasa lipo hewani, hatujasikia akisomewa charge Mahakamani. Leo hii tunasikia eti Manji nae mnashikilia na kumhoji.
Huku mitaani mnakomaa na walimu, manesi, makarani ,mahakimu na mapolisi kuwapandisha vizimbani. Lakini vigogo wakubwa hatusikii wakipanda kizimbani.
Kwani kufanya kazi mpaka muwe na maigizo kuwa mnawahoji watu bila kuwa kuwapeleka mahakamani?
Sakata la Mbowe kujilipa bil 8 liliwekwa wazi na wanachama waliokuwa wanakatwa hizo pesa na mpaka leo mliishia maigizo ya kuhoji wanachama bila kuchukua hatua.
Sakata la Sabaya mpaka sasa lipo hewani, hatujasikia akisomewa charge Mahakamani. Leo hii tunasikia eti Manji nae mnashikilia na kumhoji.
Huku mitaani mnakomaa na walimu, manesi, makarani ,mahakimu na mapolisi kuwapandisha vizimbani. Lakini vigogo wakubwa hatusikii wakipanda kizimbani.
Kwani kufanya kazi mpaka muwe na maigizo kuwa mnawahoji watu bila kuwa kuwapeleka mahakamani?