Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mahakama inapanga tarehe ya kusoma hukumu ya mtuhumiwa, tarehe inafika na mtuhumiwa anafika mahakamani the mahakama inadai hukumu haijakamilika na mtuhumiwa kurejeshwa rumande kwa zaidi ya siku 14.
Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.
Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.
Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.
Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.
Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.
Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.
Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.
Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.