Kuahirishwa kwa kesi Mdude ni kielelezo cha kiburi cha Watumishi wa Umma Tanzania

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Mahakama inapanga tarehe ya kusoma hukumu ya mtuhumiwa, tarehe inafika na mtuhumiwa anafika mahakamani the mahakama inadai hukumu haijakamilika na mtuhumiwa kurejeshwa rumande kwa zaidi ya siku 14.

Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.

Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.

Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.

Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.
 
Sisi ni Mateka wa CCM,Mungu atukomboe kutoka kwenye makucha ya hili jinamizi la Kijani
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
 
Hao itakuwa ni mahakimu mabaki wa yule jamaa ,sasa wanasaboteji tu ili wamtwishe lawama Raisi mpya mwenye harufu ya kuanza kupendeza.
 
Hakuna unachokijua kuhusu Mahakama na Mahakimu na mfumo mzima wa utoaji haki wewe tuliza mshono wako. Kuna Hakimu gani anayeandika hukumu moja kwa mwezi. Unazijua job description za Mahakimu, unajua uwajibikaji wao ukoje?. Ushawahi kufika Mahakamani ukaona jinsi Mawakili na wadaawa wanavyochelewa kesi kwa kuomba maahirisho yasiyo kuwa na kichwa wala miguu, kubishana kwa vitu visivyo na maana na bado Mahakama inawavumilia!?

Unadhani kuandika hukumu ni Kama kuropoka hapa kama ulivyofanya wewe, hujui hapo kama ni kuamua juu ya hatima ya uhuru wa mtu, future ya mtu na mengineyo mengi kutegemea na aina ya kesi, unadhani ni jambo jepesi kama kumvulia chupi mmeo.

Hii Nchi imekuwa ya hovyo kweli kiasi hata darasa la saba anapata ujasiri wa kumkosoa Prof. Mtu mwenye Bachelor ya kilimo Cha matango anaweza kuja hapa na kubwabwaja mambo yahusuyo sheria eti kisa kafika chuo kikuu.

Siasa imeharibu kila kitu, Sasa kila mtu Nchi hii ni mbobezi tena kwa kila nyanja, siasa, uchumi, sheria n.k. hata kama amesomea ufugaji nyuki. Anapata wapi hiyo credibility!? Unabaki unashangaa.

Ukitaka kujua wewe ni ta kwa kumnukuu Manara, Mdude ana Wakili/Mawakili, lakini huwezi kusikia Mawakili/ wakili wa Mdude analamikia hii kuahirishwa kwa kesi, kwa sababu ni professional na anajua ni Jambo la kawaida na linaweza kutokea wakati wowote na kuahirishwa huko lazima sababu itolewe.

Halafu mbuzi jike mmoja wewe, anajiskia tu kuhara hapa na watu wanakuona wa maana.
Mbona inaonekana kama umekerwa sana na mwenzio kutumia uhuru na haki yake ya kutoa maoni juu ya mahakama in connection na kesi hii ya Mdude Nyangali..??

Katika maelezo yako yooooote haya, hoja yako ni nini hasa hapa...?

Maana mimi binafsi naona unafoka tu na kumrushia maneno yasiyo na staha (matusi) mtoa hoja mwanzo mwisho kiasi cha mtu asomaye kujua moja kwa moja (labda) una mental problem a.k.a kuchanganyikiwa ...!!
 
Mbona inaonekana kama umekerwa sana na mwenzio kutumia uhuru na haki yake ya kutoa maoni juu ya mahakama in connection na kesi hii ya Mdude Nyangali..??

Katika maelezo yako yooooote haya, hoja yako ni nini hasa hapa...?

Maana mimi binafsi naona unafoka tu na kumrushia maneno yasiyo na staha (matusi) mtoa hoja mwanzo mwisho kiasi cha mtu asomaye kujua moja kwa moja (labda) una mental problem a.k.a kuchanganyikiwa ...!!
Asante kwa kumuelimisha! Amenikera mno kwa mtindo wake wa uwasilishaji wa hoja japo sijaiona hoja yake ilipo!
 
Mahakama inapanga tarehe ya kusoma hukumu ya mtuhumiwa, tarehe inafika na mtuhumiwa anafika mahakamani the mahakama inadai hukumu haijakamilika na mtuhumiwa kurejeshwa rumande kwa zaidi ya siku 14.

Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.

Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.

Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.

Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.
Unyanyasaji,kuna watuhumiwa wanatolewa rumande usiku bila Remove Order ila kuna ambao wanapangiwa hukumu mwezi kabla ila mahakimu mwezi unaisha na hukumu bado haijakamilika kuandikwa!Injustice acts from Judicial staffs.
 
Mbona inaonekana kama umekerwa sana na mwenzio kutumia uhuru na haki yake ya kutoa maoni juu ya mahakama in connection na kesi hii ya Mdude Nyangali..??

Katika maelezo yako yooooote haya, hoja yako ni nini hasa hapa...?

Maana mimi binafsi naona unafoka tu na kumrushia maneno yasiyo na staha (matusi) mtoa hoja mwanzo mwisho kiasi cha mtu asomaye kujua moja kwa moja (labda) una mental problem a.k.a kuchanganyikiwa ...!!

Huo sio uhuru. Uhuru kama angejitukana mwenyewe kwa Siri. Lakini ukiair pumba hapa lazima unyoshwe. Tofautisha uhuru na uropokaji. Unapogusa rights za wengine ndo break ya uhuru wako.
 
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
vip wewe uliyetoa mimba ya Mbowe kumbe ndo maana karibu kila posti yako lazima umtaje unahasira naye,mdude anateseka kwa ajili ya kumkosoa mwendazake hakuna lingine
 
Mahakama inapanga tarehe ya kusoma hukumu ya mtuhumiwa, tarehe inafika na mtuhumiwa anafika mahakamani the mahakama inadai hukumu haijakamilika na mtuhumiwa kurejeshwa rumande kwa zaidi ya siku 14.

Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.

Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.

Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.

Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.
Mtoa mada hujitambui. Hujui kuna muda ambao unatakiwa usipite bila hukumu kusomwa? Miezi tatu ndio muda wa mwisho
 
Mahakama inapanga tarehe ya kusoma hukumu ya mtuhumiwa, tarehe inafika na mtuhumiwa anafika mahakamani the mahakama inadai hukumu haijakamilika na mtuhumiwa kurejeshwa rumande kwa zaidi ya siku 14.

Hakimu Kama huyu analipwa pesa na serikali na hakuna sehemu utasikia viongozi wake wakilalamika kuhusu aina hii ya watoa maamuzi. It's like normal to them, Ni Kama wamehukumu tayari na hawaoni Tena nafasi ya mtuhumiwa kuhesabiwa huru Hadi siku ya hukumu.

Najiuliza Hawa mahakimu wapo busy kiasi hicho? Hakimu kwa siku anasikiliza kesi moja au akiamua kwa wiki nzima anaingia mahakamani kuahirisha kesi Kisha anaendelea na majukumu binafsi. Hawa mahakimu wetu wamejengwa kuwa miungu watu, na wananchi tusipowaelekeza kubadilika wataendelea na mtindo huu huu wakukandika hukumu moja kwa mwezi mzima au ziadi.

Lakini pia mahakama upo uwezekano inaingiliwa na kikundi Cha watu wanaopenda wananchi wanyanyasike. Sidhani Kama hukumu hii haipo tayari ila wapo reviwers nje ya judicial wanafanyia kazi.

Lini mahakama mtajiweka huru? Angalieni wenzenu KENYA mjifunze.
Baadhi ya Mahakama za Tanzania zinatumika kama sehemu ya mateso kwa baadhi ya watuhumiwa.
 
Back
Top Bottom