Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Disclaimer: Let me make this clear, lockdown is an effective strategy to reduce the spreading speed of infection. Other measures like washing hands (running water for 20 seconds), social distancing and wearing N95 masks—are equally effective at reducing the capacity of an individual spread of...
Watu 8 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na COVID19 kwa siku ya Jumamosi na Jumapili na kufanya idadi ya waliofariki kwa COVID19 kufikia 1,763
Hadi sasa Kenya imerekodi jumla ya watu 100,773 ambao wamepata maambukizi ya Corona Virus tangu kuingia kwa ugonjwa huo, huku idadi ya waliopima...
Hili ni bandiko la WITO
Serikali za Jamhuri ya Kenya na Jamhuri ya Somalia zote ni huru kuendesha mambo yake ya ndani. Nchi moja kuingia nchi nyingine kwa kisingizio cha tishio la UGAIDI katika nchi vamizi ni uvunjifu wa haki za binadamu. Nchi ya Somalia haijawahi kuomba seriikali ya Kenya na...
Yaani wamebarikiwa sana na mwenyezi Mungu. Ukiangalia predicted rainfall patterns ya East Africa utagundua kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayopokea mvua katika kila corner ya Tanzania. Nchi zingine hazipokei mvua katika kila kona. Lakini 100% ya Tanzania inapokea mvua. Sasa ni kwa nini...
Devolution has led to the development of several regions in Kenya, with a focus on opening up counties to investors who would create employment opportunities and also aid in raising revenue.
One of the factors that attract investors is a good transport network. The Jubilee Government under...
Hizo huwa mnatutajia humu akina UDSM sijui UDOM hawapo hawatambuliki wala kusikika, ndugu zetu hata sayansi naona mnitelekeza kwa kauli za kuponda chanjo ya korona huku mkiendelea kupokea chanjo ya maradhi mengine kutoka kwa hao hao mabeberu.
The University of Nairobi has been ranked the top...
Chama cha walimu nchini Kenya (KUPPET) kinaitaka serikali kutoa mafunzo ya usalama kwa walimu na kuwapa silaha wale wanaopelekwa kufundisha kwenye maeneo yaliyo ya hatari.
Kaimu Katibu Mkuu wa KUPPET Moses Nthurima amesema kuwapa walimu silaha si kuwa tu kutawaogopesha watu wanaowashambulia...
Ukanda huu tunazidi kuufungua. Uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana, ni mwendo wa biashara na amani sasa.
=====
Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan.
The South Sudan Link road project is being undertaken...
Madhara ya covid 19 yameishambulia kenya na kuwa nchi ya kwanza kwa sub saharan africa kuingia katika recession tokea miaka 30 iliyopita.
Miezi mitatu ya mwisho october mpaka december 2020, GDP ya Kenya ilishuka kwa 5.5% na uzalishaji katika sekta za usafirishaji, viwanda, biashara vilishuka...
Kenya seeks G20 $298m debt holiday extension
Kenya may receive additional debt relief from the Paris Club of international creditors to help ease Covid-19 related financial distresses.
The country has already received Ksh32.9 billion (about $298.6 million) loan repayment break which it would...
Maaskofu wa KKKT waliokutana jijini Arusha wamewaomba maaskofu kutoka Kenya kuishauri serikali yao iige mbinu za Tanzania ili iweze kudhibiti Corona na hatimaye kuitokomeza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
Hali ya Tz kwa sasa, Ukaguzi wa gari unafanyika hapa hapa Tanzania na sio kufanyikia kwenye nchi unayoagizia gari kama japan.
sheria mpya ni kwamba gari halikaguliwi kwenye nchi linapotoka, linakaguliwa likifika hapa tz.
Sasa mimi nataka gari ikaguliwe huko huko japan, sitaki gari niliyoagiza...
Mambo yamepamba moto kweli kweli ufanisi umeongezeka. Baada ya South Africa kuanza pitisha mizigo ya TZ sasa itafuatia Kenya, Msumbiji, Somalia n.k tuendelee kufanya kazi kwa style hii hii.
President Uhuru Kenyatta on Friday, January 22, unveiled a Ksh 3 trillion United Nations Industrial Development Organization (UNIDO) mechanism to help stimulate Kenya’s manufacturing sector.
The initiative dubbed Programme for Country Partnership (PCP) Starter Pack, is a model for accelerating...
Kenya recorded the highest internet penetration rate in Africa in the year 2020. This is according to a ranking by Internet World Stats (IWS), showing that 87.2 percent of the country’s population was connected to the internet.
Figures from the Communication Authority (CA) indicate that in...
Kenya beat Nigeria, South Africa, Egypt and Ghana in 2020 in attracting investment for its startups. This is according to a report by Startuplist Africa, a data-driven platform that provides insights to the African Startup Ecosystem. The report based its findings on publicly disclosed funding...
Iran has joined the list of foreign nations trying to tap into the abundance of opportunities in Africa’s tech space.
The Middle East country has built a rare tech hub named ‘Iran House of Innovation and Technology (IHIT)’ in Nairobi, Kenya’s capital. The hub has been described as the “first of...
The government of Kenya through the Kenya Urban Roads Authority (KURA) has begun the process of constructing two overpasses and a series of road interchanges linking Upper Hill to the Nairobi Central Business District (CBD).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.