Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
PS. I am Tanzanian
Tanzanians may be the most racially insecure and racially ignorant black people on this planet.
a few days ago a prominent Tanzanian celebrity posted a picture a a black Kenyan lady.
The amount of disgusting colourist (racially) charged comment simply shameful.
Even...
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza "Ni nini kinafanya Kenya kukusanya mapato zaidi ya Tanzania?" Kwa muda nimekuwa mfuatiliaji wa Budget wa nchi za Jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI. Katika ufuatiliaji huo nimekutana na maswali ambayo nimekuwa siyapatii majibu. Kwa kutumia nchi mbili KENYA na...
Wamekubali kusubiri kwanza tudundulize hela za kutosha
Kenyan President Uhuru Kenyatta (Left) and Chinese President Xi Jinping prior to a bilateral meeting in Beijing, China in 2018.
PSCU
China has revealed that it is ready to suspend Kenya's debt nearly a week after the country received the...
Nchi chache za Afrika zina wanasayansi wanaoweza kusoma vinasaba (RNA) vya virusi vya corona. South Africa, Nigeria na Kenya ni baadhi ya nchi chache Africa ambazo zina maabara ya kisasa na wanasayansi waliobobea wanaoweza kudecode RNA ya virusi vya corona. Wanasayansi wa Kenya wamegundua kuwa...
Mchungaji mmoja wa kanisa la Akorino, kwa jina Gichina, kutoka Ndiaa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka 140, baada ya kukiri kuwabaka binti zake wawili na kila mmoja akashika mimba.
Akitoa hukumu hiyo Hakimu Anthony Mwicigi amesema hukumu dhidi ya mshukiwa...
Mwanamitindo bingwa duniani Naomi Campbell sasa ndiye balozi wa ‘Magical Kenya International’, Wizara ya Utalii imethibitisha.
Makubaliano ya kuwa balozi yamefanikishwa na Mhe. Waziri wa Utalii Najib Balala leo jijini Mombasa.
Kenya inatazamia kujinadi kama sehemu na nchi bora zaidi ya kutalii...
Hivi inawezekana vipi Rais na Makamu hamuelewani lakini mpo wote tu madarakani?
Mimi sio Mtaalamu wa siasa lakini sioni kama kuna mwisho mwema hapa kwenye hili vuguvugu la Uhuru vs Ruto. Vijembe vinazidi kushika kasi kuelekea uchaguzi 2020. Uhuru anaulizwa ni nini kinamshinda kumtimua Ruto...
Jamani sven kasema lini kwenye interview haya maneno? Nimeamini utopolo wako vizuri kwenye propaganda ila uongozi wa sasa kama mazezeta hivi ..Chukueni hatua kwa huyu blogger haraka sana
First ilkuw a page ya kikenya inaitwa african sports today wao walisema tu remarks zake hazikuupendeza...
Electric taxis — a welcome drop in Nairobi's pool of emissions
An electric taxi can travel 150 kilometers on full charge. As the Kenyan capital struggles with air pollution, electric taxis are an opportunity for cleaner transport and also a way to make money.
Launched in Kenya in August 2018...
The World Bank predicts that Kenya’s economy will expand by 6.9% in 2021, the fastest growth rate in Africa, and a more ambitious prediction than the government’s estimate of 6.4% economic growth in 2021. Continued support from the international lender in terms of public health interventions and...
Kundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya.
Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana.
Nimewaambia mara ngapi nyie bongo kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio...
Huyu mzungu anataka kujua the real authentic experience ya Africa. Yeye anataka kuja kwenye border ya Kenya na Tanzania ili aone jinsi border inavyofanana. Halafu kwenye video inaonyesha wazi kuwa baadhi ya watu wanavuka tu kupitia njia za mkato bila passport yao kuangaliwa. Sasa yule mbunge wa...
Taasisi zote muhimu kama vile IMF na Benki kuu ya dunia wameyabashiri haya, tupo kwenye "raiti traki".
==========
The economy is seen rebounding to a growth of between 4.7 and 6.9 percent in 2021 from barely a percentage growth this year, offering hope to millions of households which were...
Off late there has been an increase of Aviation companies setting up maintenance and overhaul facilities in Kenya. This has largely been attributed by the growth in the number of registered planes cementing Nairobi’s rising status as the region’s business and aviation hub.
In addition, this...
Baada ya Kenya kuchaguliwa kujiunga na Security council, Kenya itaanza kuwakilisha Afrika rasmi kwenye security council kuanzia Kesho. Asanteni Tanzania kwa kutuchagua.
https://www.the-star.co.ke/opinion/2020-12-31-kenyas-two-year-tenure-in-united-nations-security-council-commences/...
The execution of the Lanet/Nakuru International Airport project has begun following a groundbreaking ceremony held at the 81 Tank Battalion Barracks in Lanet. Speaking during the ceremony, Deputy Kenya Air Force Commander Brigadier John Omenda said that the military will provide necessary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.