kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. MK254

    Massive Project to Make Electricity Cheaper in Kenya

    The Suswa High Voltage Direct Current Converter Substation. TWITTER Kenyans are set to enjoy cheaper electricity rates in the coming months following the completion of Ksh50 billion Suswa Substation, the biggest of its kind. The project undertaken by Kenya Electricity Transmission Company...
  2. SEASON 5

    Msaada: Nauli na taratibu za kwenda Kenya kutoka Tanzania

    Habari zenu ndugu zangu, nilikua naomba mwenye ufahamu wa taratibu za kufata za mtu kutoka Dar kwenda Nairobi ni mahitaji gani yanahitajika ili niweze fanikisha safari yangu. Nauli ni kiasi gani? Nategemea kusafiri na watoto wangu wawili mapacha kwahiyo sitokuwa mwenyewe. Watoto wana miaka mi...
  3. Bowie

    Kenya wana Katiba nzuri na kuna ufisadi mkubwa

    Ni jambo la kushangaza sana taifa la Kenya kuwa na katiba bora Afrika Mashariki lakini Ufisadi ni mkubwa sana. Asilimia kubwa ya budget ya serikali inaishia kwenye mifuko ya viongozi wa majimbo. Tumeona pia kuelekea uchaguzi mkuu mwakani hali ya kisiasa ikizidi kuchafuka na chuki za kisiasa...
  4. 2

    SEE: RUTO's Wheel Barrows Rejected in Nyandarua, TangaTanga MPS almost beaten!

    Ruto’s TangaTanga side had a shock of their lives when residents of Ol Kalou in Nyadarua County chanted the down and denied them a chance to “insult Uhuru Kenyatta”. The crowd told Ruto to come visit them with the president beside him if he wants them to listen. For every word Ruto said, the...
  5. J

    Spika Ndugai: Vyuo vikuu vianze kufundisha Ujasiriamali kama vile vya Kenya vijana wasisubiri ajira ambazo hazipo!

    Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo. Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao...
  6. 2

    Here's Archbishop Harrison Ng'ang'a prophecy to Kikuyus

    HERE'S ARCHBISHOP HARRISON NG'ANG'A PROPHECY "Currently, the best businesses are owned by Kikuyus. The biggest churches, best cars, most successful and educated people, and even the president, are from our land. It rains more in Mt Kenya region than in any other place But, if you don't change...
  7. S

    Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya kulikoni?

    Habari wakuu, Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia. Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka. Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi. Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi...
  8. Erythrocyte

    Uchebe atua AFC Leopard ya Kenya

    Habari zaidi zitafuata
  9. MK254

    Kenya Railways picks 260 Kenyans to run country operations

    Kenya Railways has unveiled 260 Kenyans who would enhance its countrywide operations. In an event, on Friday, February 5, the Metre Gauge Railway (MGR) trainees will be deployed to various stations after completing various competency-based courses. The recruits completed courses in locomotive...
  10. pingli-nywee

    Mwanaharakati na mkosoaji mkubwa wa Rais Museveni, Dkt. Stella Nyanzi akimbilia Kenya, aomba hifadhi ya kisiasa

    Nana angedhani kwamba ipo siku nchi ya Kenya ndio itakuwa hifadhi la wakimbizi wa kisiasa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki? Aliyekuwa mgombea ubunge jijini Kampala(Woman Mp Seat) na Research Fellow kwenye Chuo Kikuu cha Makarere, mwanaharakati wa kisiasa nchini Uganda, Dr Stella Nyanzi...
  11. The Palm Tree

    Rwanda, Kenya, Uganda, DR Congo na jirani wengine waanza kupokea chanjo ya COVID 19. Burundi na Tanzania - NO DATA YET

    Katika nchi za Afrika Mashariki, inaonesha kuwa ni Burundi na Tanzania pekee ndiyo hazina virusi vya korona na kwa hiyo hawahitaji chanjo ya COVID 19. HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo.... IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na...
  12. chrome

    Corona: Wahudumu wa maabara Kenya watishia kugoma

    Sekta ya afya nchini Kenya inakabiliwa na msukusuko kutokana na mfululizo wa migomo ya wahudumu wa afya katikati ya janga la virusi vya corona. Muungano wa wahudumu wa maabara nchini Kenya umetoa muda wa hadi Januari 4 mwaka unaokuja kwa serikali kushughulikia madai yao au wajiunge na wauguzi...
  13. T

    Kenya legendary politician Simeon Nyachae dies aged 88.

    Born in 1932 to the legendary colonial-era chief Musa Nyandusi, Nyachae belonged to the first crop of British-trained African administrators who also made it big in business. He attended Torquay College, UK, between 1957 and 1959 and later Churchill College, Cambridge. He rose through the...
  14. Hisha Sorel

    Rwanda Should be a Lesson to African Leaders: The West has No Allies, They have Interest! Kenya should take notes, Focus on your Strategic Interest

    Disclaimer: Let me make this clear, lockdown is an effective strategy to reduce the spreading speed of infection. Other measures like washing hands (running water for 20 seconds), social distancing and wearing N95 masks—are equally effective at reducing the capacity of an individual spread of...
  15. Analogia Malenga

    Kenya: waliokufa kwa Covid19 wafikia 1,763

    Watu 8 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na COVID19 kwa siku ya Jumamosi na Jumapili na kufanya idadi ya waliofariki kwa COVID19 kufikia 1,763 Hadi sasa Kenya imerekodi jumla ya watu 100,773 ambao wamepata maambukizi ya Corona Virus tangu kuingia kwa ugonjwa huo, huku idadi ya waliopima...
  16. Intelligence Justice

    Serikali ya Kenya ondoeni Majeshi yenu huko Somalia kisha imarisheni ulinzi mkali na ndani

    Hili ni bandiko la WITO Serikali za Jamhuri ya Kenya na Jamhuri ya Somalia zote ni huru kuendesha mambo yake ya ndani. Nchi moja kuingia nchi nyingine kwa kisingizio cha tishio la UGAIDI katika nchi vamizi ni uvunjifu wa haki za binadamu. Nchi ya Somalia haijawahi kuomba seriikali ya Kenya na...
  17. Tony254

    Angalia Jinsi hapa Afrika Mashariki Tanzania ndio imebarikiwa kupata mvua nyingi kushinda Kenya, Uganda

    Yaani wamebarikiwa sana na mwenyezi Mungu. Ukiangalia predicted rainfall patterns ya East Africa utagundua kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayopokea mvua katika kila corner ya Tanzania. Nchi zingine hazipokei mvua katika kila kona. Lakini 100% ya Tanzania inapokea mvua. Sasa ni kwa nini...
  18. MK254

    Hivi viwanja vya ndege kuibadilisha Kenya daima

    Devolution has led to the development of several regions in Kenya, with a focus on opening up counties to investors who would create employment opportunities and also aid in raising revenue. One of the factors that attract investors is a good transport network. The Jubilee Government under...
Back
Top Bottom