kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Hisha Sorel

    Does Kenya have a colourism Problem as Tanzania?

    PS. I am Tanzanian Tanzanians may be the most racially insecure and racially ignorant black people on this planet. a few days ago a prominent Tanzanian celebrity posted a picture a a black Kenyan lady. The amount of disgusting colourist (racially) charged comment simply shameful. Even...
  2. Mapank

    Ni nini kinafanya Kenya (KRA) kukusanya mapato zaidi ya Tanzania (TRA)?

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza "Ni nini kinafanya Kenya kukusanya mapato zaidi ya Tanzania?" Kwa muda nimekuwa mfuatiliaji wa Budget wa nchi za Jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI. Katika ufuatiliaji huo nimekutana na maswali ambayo nimekuwa siyapatii majibu. Kwa kutumia nchi mbili KENYA na...
  3. MK254

    China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

    Wamekubali kusubiri kwanza tudundulize hela za kutosha Kenyan President Uhuru Kenyatta (Left) and Chinese President Xi Jinping prior to a bilateral meeting in Beijing, China in 2018. PSCU China has revealed that it is ready to suspend Kenya's debt nearly a week after the country received the...
  4. Tony254

    Kumbe wanasayansi wa Kenya wanaweza kusoma vinasaba vya virusi vya Corona

    Nchi chache za Afrika zina wanasayansi wanaoweza kusoma vinasaba (RNA) vya virusi vya corona. South Africa, Nigeria na Kenya ni baadhi ya nchi chache Africa ambazo zina maabara ya kisasa na wanasayansi waliobobea wanaoweza kudecode RNA ya virusi vya corona. Wanasayansi wa Kenya wamegundua kuwa...
  5. Ikaria

    Mchungaji ahukumiwa kifungo miaka 140 kwa kuwabaka watoto wake wawili

    Mchungaji mmoja wa kanisa la Akorino, kwa jina Gichina, kutoka Ndiaa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka 140, baada ya kukiri kuwabaka binti zake wawili na kila mmoja akashika mimba. Akitoa hukumu hiyo Hakimu Anthony Mwicigi amesema hukumu dhidi ya mshukiwa...
  6. Ikaria

    Mwanamitindo maarufu Naomi Campbell atangazwa balozi wa 'Magical Kenya International'

    Mwanamitindo bingwa duniani Naomi Campbell sasa ndiye balozi wa ‘Magical Kenya International’, Wizara ya Utalii imethibitisha. Makubaliano ya kuwa balozi yamefanikishwa na Mhe. Waziri wa Utalii Najib Balala leo jijini Mombasa. Kenya inatazamia kujinadi kama sehemu na nchi bora zaidi ya kutalii...
  7. May Day

    Tuburudike na siasa za Kenya Uhuru vs Ruto, Siasa hata misibani Rais wa nchi na Amiri Jeshi anagombezwa hadharani naye yupo hapo hapo

    Hivi inawezekana vipi Rais na Makamu hamuelewani lakini mpo wote tu madarakani? Mimi sio Mtaalamu wa siasa lakini sioni kama kuna mwisho mwema hapa kwenye hili vuguvugu la Uhuru vs Ruto. Vijembe vinazidi kushika kasi kuelekea uchaguzi 2020. Uhuru anaulizwa ni nini kinamshinda kumtimua Ruto...
  8. N

    Uongozi wa Simba: Mmechafuliwa Kenya na Zambia chukueni hatua

    Jamani sven kasema lini kwenye interview haya maneno? Nimeamini utopolo wako vizuri kwenye propaganda ila uongozi wa sasa kama mazezeta hivi ..Chukueni hatua kwa huyu blogger haraka sana First ilkuw a page ya kikenya inaitwa african sports today wao walisema tu remarks zake hazikuupendeza...
  9. Sinister

    New video alert: Using uber's electric cab for the first!

    Electric taxis — a welcome drop in Nairobi's pool of emissions An electric taxi can travel 150 kilometers on full charge. As the Kenyan capital struggles with air pollution, electric taxis are an opportunity for cleaner transport and also a way to make money. Launched in Kenya in August 2018...
  10. Sherlock

    Kenya’s economy to grow fastest in Africa in 2021 - World Bank

    The World Bank predicts that Kenya’s economy will expand by 6.9% in 2021, the fastest growth rate in Africa, and a more ambitious prediction than the government’s estimate of 6.4% economic growth in 2021. Continued support from the international lender in terms of public health interventions and...
  11. FRANCIS DA DON

    Video: Kenya kuanza ujenzi wa daraja linaloelea baharini kuunganisha Mombasa na Likoni

    Nadhani hii idea inaweza kutumika hata pale ferry kuinganisha Dar na Kigamboni. Picha na video vina maelezo ya kina
  12. KDF-BabaYao

    Mtanzania alihusika katika shambulizi la Kambi ya Marekani huko Manda, Lamu

    Kundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya. Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana. Nimewaambia mara ngapi nyie bongo kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio...
  13. Tony254

    Mzungu Amekuja kutalii Kenya na akaamua kuja kutazama border kati ya Kenya na Tanzania

    Huyu mzungu anataka kujua the real authentic experience ya Africa. Yeye anataka kuja kwenye border ya Kenya na Tanzania ili aone jinsi border inavyofanana. Halafu kwenye video inaonyesha wazi kuwa baadhi ya watu wanavuka tu kupitia njia za mkato bila passport yao kuangaliwa. Sasa yule mbunge wa...
  14. MK254

    Uchumi wa Kenya kukua kwa asilimia 6.9%, licha ya changamoto zote tulizopitia

    Taasisi zote muhimu kama vile IMF na Benki kuu ya dunia wameyabashiri haya, tupo kwenye "raiti traki". ========== The economy is seen rebounding to a growth of between 4.7 and 6.9 percent in 2021 from barely a percentage growth this year, offering hope to millions of households which were...
  15. Sherlock

    Aviation companies setting up maintenance and overhaul facilities in Kenya

    Off late there has been an increase of Aviation companies setting up maintenance and overhaul facilities in Kenya. This has largely been attributed by the growth in the number of registered planes cementing Nairobi’s rising status as the region’s business and aviation hub. In addition, this...
  16. Tony254

    Kenya itajoin UN Security council kwanzia Kesho January 1 2021

    Baada ya Kenya kuchaguliwa kujiunga na Security council, Kenya itaanza kuwakilisha Afrika rasmi kwenye security council kuanzia Kesho. Asanteni Tanzania kwa kutuchagua. https://www.the-star.co.ke/opinion/2020-12-31-kenyas-two-year-tenure-in-united-nations-security-council-commences/...
  17. Sinister

    Lanet/Nakuru International Airport project execution in Kenya begins

    The execution of the Lanet/Nakuru International Airport project has begun following a groundbreaking ceremony held at the 81 Tank Battalion Barracks in Lanet. Speaking during the ceremony, Deputy Kenya Air Force Commander Brigadier John Omenda said that the military will provide necessary...
  18. sky soldier

    KWANINI WAUZA SEMBE KUTOKA TZ NA KENYA HAWASEMWI SANA AFRIKA KUSINI KAMA ILIVYO KWA WANAIJERIA

    Nimeoma huko sauzi kuna ile hali ya kuwaona wanaijeria ni wauza madawa, Je hali ipoje kwa watz na kenya wanaouza
Back
Top Bottom