kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

    Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa...
  2. Kasomi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TANZANIA - KENYA Relationship: Economic Diplomacy To Strengthen Bilateral Trade

    TANZANIA - KENYA RELATIONSHIP: ECONOMIC DIPLOMACY TO STRENGTHEN BILATERAL TRADE Tanzania and Kenya, two East African nations with indistinguishable ecological environment, cultural and historical background, are measured blossoming in their bilateral relations. Our two countries have unique...
  3. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Kenya zimetia saini makubaliano ya kuondoa vikwazo vya kibiashara

    Waziri wa Viwanda na Biashara wa Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo alisema kuwa utiaji wa makubaliano hayo ni mojawapo ya jitihada za kuwezesha mahusiano ya biashara na nchi jirani kufuatia ziara iliyofanywa nchini Kenya Alisema jumla ya vikwazo 37 vilijadiliwa katika mkutano wa pande zote hapo...
  4. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya signs 7 deals with Burundi

    President Uhuru Kenyatta (right ) and visiting Burundi Head of State Evariste Ndayishimiye address the press at State Lodge, Kisumu on May 31, 2021. PSCU President Uhuru Kenyatta and his Burundian counterpart Evariste Ndayishimiye on Monday, May 31 addressed the media at State House Kisumu...
  5. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania kuwakilishwa na wanariadha 3 Olympic kule Tokyo, huku Kenya ikiandaa kutuma zaidi ya 100

    Ndugu zetu wa Kusini haya mambo yamewashinda kabisa, wameambulia vigodoro tu. Hehehe ======= Only three athletes to represent Tanzania at Tokyo Olympic games Tanzania will be represented by only three athletes in the Tokyo’s Olympic Games after three runners failed to secure qualifying marks...
  6. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeme na Nishati - Kenya

    Nimeamua kuanzisha uzi huu wa umeme na nishati kwa sababu huwa nina habari nyingi kuhusu sekta hii ila huwa nakosa mahali pa kupost habari hizo.
  7. Geza Ulole

    JamiiForums Tanzania Tanasha Donna has officially got a substitute...

  8. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii wachezaji wengi wa mpira watakimbilia TZ, Mkataba mpya (114,272,966.78 USD) wasainiwa kuboresha ligi

    Asante Azam Media, Kampuni ambayo imechochea san aukuaji wa soka Tz, Mechi zote huzionyesha kwenye tv bila kujali ukubwa wa timu wala eneo 114,272,966.78 USD kwa miaka 10 97,284,020.03 USD baada ya government taxes. Kwa msimu wa 2021/22 mpaka 2023/24 mgao kwa kila timu kwa kila mwezi utakuwa...
  9. Linguistic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gospel singer Guardian Angel proposes to girlfriend

    Msanii maarufu wa nyimbo za Injili nchini Kenya Guardian Angel mwenye umri wa miaka 30, amemvalisha Pete ya uchumba mpenzi wake Esther Musila mwenye umri wa miaka 51, Bi Esther Musila ni Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa UN wa kipindi kirefu Esther Musila yupo kama Kijana tu, anafanya sana...
  10. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyatta afanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saud Arabia

    Rais wa Kenya Mhesh Uhuru Kenyatta leo Mei 26, 2021 katika Ikulu ya Nairobi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saud Arabia Mwana Mfalme Faisal Bin Farhan AlSaud Viongozi hao walijadili na kukubaliana kuongeza ushirikiano wa nchi zao kwenye maeneo ya Ulinzi na...
  11. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Railways Gets New DMU Trains for Nairobi

    Kenya Railways (KR) has received the second batch of trains from Spain to increase its capacity in the Nairobi Metropolitan Area. The six trains arrived earlier in May 2021 as confirmed by KR chairman Omudho Awitta who stated that the corporation was now looking to increase the frequencies of...
  12. Sam Gidori

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kupokea chanjo ya Corona iliyorudishwa na Sudan Kusini

    Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX. Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
  13. Sherlock

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya to increase Internet speed by June

    Kenyans will from June start experiencing faster Internet speeds as the government completes plans to increase capacity by up to tenfold. ICT Principal Secretary Jerome Ochieng’, during a visit at the Telkom Kenya offices in Mombasa, said due to the increased Internet usage in the country, the...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

    Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya . Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha...
  15. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Wakati Watanzania wakibishana juu ya Bandari ya Bagamoyo, Kenya wafungua Bandari ya Lamu

    Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii...
  16. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Migori County Hybrid Solar System Installation( 5.76Kw)

  17. Mkikuyu- Akili timamu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Japanese working in kenya will no longer pay Taxes..Meanwhile more taxes added on kenyans

    Rasmi sasa: Ukoloni mambo Leo..Nchi ya kijinga
  18. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Partners With Amazon to offer training to Kenyan youth in Cloud Computing

    The Ministry of Information Communication and Technology has partnered with E-commerce giant Amazon to offer free training to Kenyan youth in Cloud Computing. The programme dubbed ‘Amazon Web Services re/Start’ was rolled out last year for countries in Africa. In collaboration with the Kenyan...
  19. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uganda yatia saini mkataba na China ili kuwezeshwa kuunga kwenye SGR ya Kenya

    Uganda has signed a Ksh5 billion deal with China Roads and Bridge Corporation (CRBC) in order to link Kampala with the Standard Gauge Railway (SGR) in Kenya. This is in a bid to enhance trade with Uganda as well as enable easier transport of goods via SGR from Kampala to Mombasa port...
  20. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Officials from Uganda and Kenya met to thrash out operational details on targeting DRC and South Sudan markets through railway

    With an eye on the Democratic Republic of Congo and South Sudan markets, there is renewed vibrancy on the Northern Corridor, as Uganda and Kenya join forces to push the rehabilitation and seamless connection of the old metre gauge railway line, over which the two countries’ officials met this...
Back
Top Bottom