kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Analogia Malenga

    Walimu Kenya wataka kupatiwa bunduki ili kujilinda dhidi ya wahalifu

    Chama cha walimu nchini Kenya (KUPPET) kinaitaka serikali kutoa mafunzo ya usalama kwa walimu na kuwapa silaha wale wanaopelekwa kufundisha kwenye maeneo yaliyo ya hatari. Kaimu Katibu Mkuu wa KUPPET Moses Nthurima amesema kuwapa walimu silaha si kuwa tu kutawaogopesha watu wanaowashambulia...
  2. MK254

    Barabara ya kutokea Kenya kwenda Sudan Kusini full mtelezo kwa raha tu yaani

    Ukanda huu tunazidi kuufungua. Uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana, ni mwendo wa biashara na amani sasa. ===== Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan. The South Sudan Link road project is being undertaken...
  3. GREAT VISIONAIRE

    Kenya yaingia katika recession; GDP yapungua, watu milioni 3 wakosa ajira

    Madhara ya covid 19 yameishambulia kenya na kuwa nchi ya kwanza kwa sub saharan africa kuingia katika recession tokea miaka 30 iliyopita. Miezi mitatu ya mwisho october mpaka december 2020, GDP ya Kenya ilishuka kwa 5.5% na uzalishaji katika sekta za usafirishaji, viwanda, biashara vilishuka...
  4. Geza Ulole

    Middle income Kenya seeks G20 $298m debt holiday extension

    Kenya seeks G20 $298m debt holiday extension Kenya may receive additional debt relief from the Paris Club of international creditors to help ease Covid-19 related financial distresses. The country has already received Ksh32.9 billion (about $298.6 million) loan repayment break which it would...
  5. J

    Maaskofu wa KKKT waitaka Kenya kuiga mbinu za Tanzania katika kuikabili Corona na kuitokomeza!

    Maaskofu wa KKKT waliokutana jijini Arusha wamewaomba maaskofu kutoka Kenya kuishauri serikali yao iige mbinu za Tanzania ili iweze kudhibiti Corona na hatimaye kuitokomeza. Source ITV habari Maendeleo hayana vyama!
  6. KDF-BabaYao

    Kenya Police Special Forces waangamiza gaidi huko Mandera

    SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border. Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh. Njooni tuwape...
  7. sky soldier

    Wakenya, nikiwa mtanzania je naweza kuagiza gari lifikie kenya ila nilitumie Tz, huku hali imekuwa mbaya

    Hali ya Tz kwa sasa, Ukaguzi wa gari unafanyika hapa hapa Tanzania na sio kufanyikia kwenye nchi unayoagizia gari kama japan. sheria mpya ni kwamba gari halikaguliwi kwenye nchi linapotoka, linakaguliwa likifika hapa tz. Sasa mimi nataka gari ikaguliwe huko huko japan, sitaki gari niliyoagiza...
  8. Chizi Maarifa

    Safi sana. Hata Kenya na Msumbiji naona wakipitisha Mizigo yao Bandari ya Dar Es Salaam

    Mambo yamepamba moto kweli kweli ufanisi umeongezeka. Baada ya South Africa kuanza pitisha mizigo ya TZ sasa itafuatia Kenya, Msumbiji, Somalia n.k tuendelee kufanya kazi kwa style hii hii.
  9. MK254

    Dadadeki!!!! Noma hii!!!! Kenya Secures Ksh3 Trillion Starter Pack to Revive Economy

    President Uhuru Kenyatta on Friday, January 22, unveiled a Ksh 3 trillion United Nations Industrial Development Organization (UNIDO) mechanism to help stimulate Kenya’s manufacturing sector. The initiative dubbed Programme for Country Partnership (PCP) Starter Pack, is a model for accelerating...
  10. T

    Kenya tops Africa by a mile in internet penetration

    Kenya recorded the highest internet penetration rate in Africa in the year 2020. This is according to a ranking by Internet World Stats (IWS), showing that 87.2 percent of the country’s population was connected to the internet. Figures from the Communication Authority (CA) indicate that in...
  11. T

    Kenya leads in Africa as Favourite Investment Destination

    Kenya beat Nigeria, South Africa, Egypt and Ghana in 2020 in attracting investment for its startups. This is according to a report by Startuplist Africa, a data-driven platform that provides insights to the African Startup Ecosystem. The report based its findings on publicly disclosed funding...
  12. T

    Kenya and Iran join force to launch world’s biggest tech hub in Nairobi

    Iran has joined the list of foreign nations trying to tap into the abundance of opportunities in Africa’s tech space. The Middle East country has built a rare tech hub named ‘Iran House of Innovation and Technology (IHIT)’ in Nairobi, Kenya’s capital. The hub has been described as the “first of...
  13. T

    Construction of new overpasses(Upperhill viaduct) in Nairobi gathers momentum

    The government of Kenya through the Kenya Urban Roads Authority (KURA) has begun the process of constructing two overpasses and a series of road interchanges linking Upper Hill to the Nairobi Central Business District (CBD).
  14. Hisha Sorel

    Does Kenya have a colourism Problem as Tanzania?

    PS. I am Tanzanian Tanzanians may be the most racially insecure and racially ignorant black people on this planet. a few days ago a prominent Tanzanian celebrity posted a picture a a black Kenyan lady. The amount of disgusting colourist (racially) charged comment simply shameful. Even...
  15. Mapank

    Ni nini kinafanya Kenya (KRA) kukusanya mapato zaidi ya Tanzania (TRA)?

    Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza "Ni nini kinafanya Kenya kukusanya mapato zaidi ya Tanzania?" Kwa muda nimekuwa mfuatiliaji wa Budget wa nchi za Jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI. Katika ufuatiliaji huo nimekutana na maswali ambayo nimekuwa siyapatii majibu. Kwa kutumia nchi mbili KENYA na...
  16. MK254

    China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

    Wamekubali kusubiri kwanza tudundulize hela za kutosha Kenyan President Uhuru Kenyatta (Left) and Chinese President Xi Jinping prior to a bilateral meeting in Beijing, China in 2018. PSCU China has revealed that it is ready to suspend Kenya's debt nearly a week after the country received the...
  17. Tony254

    Kumbe wanasayansi wa Kenya wanaweza kusoma vinasaba vya virusi vya Corona

    Nchi chache za Afrika zina wanasayansi wanaoweza kusoma vinasaba (RNA) vya virusi vya corona. South Africa, Nigeria na Kenya ni baadhi ya nchi chache Africa ambazo zina maabara ya kisasa na wanasayansi waliobobea wanaoweza kudecode RNA ya virusi vya corona. Wanasayansi wa Kenya wamegundua kuwa...
  18. Ikaria

    Mchungaji ahukumiwa kifungo miaka 140 kwa kuwabaka watoto wake wawili

    Mchungaji mmoja wa kanisa la Akorino, kwa jina Gichina, kutoka Ndiaa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka 140, baada ya kukiri kuwabaka binti zake wawili na kila mmoja akashika mimba. Akitoa hukumu hiyo Hakimu Anthony Mwicigi amesema hukumu dhidi ya mshukiwa...
  19. Ikaria

    Mwanamitindo maarufu Naomi Campbell atangazwa balozi wa 'Magical Kenya International'

    Mwanamitindo bingwa duniani Naomi Campbell sasa ndiye balozi wa ‘Magical Kenya International’, Wizara ya Utalii imethibitisha. Makubaliano ya kuwa balozi yamefanikishwa na Mhe. Waziri wa Utalii Najib Balala leo jijini Mombasa. Kenya inatazamia kujinadi kama sehemu na nchi bora zaidi ya kutalii...
Back
Top Bottom