kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Abattoirs: Kenya vs Tanzania

    Sumbawanga Saafi meat
  2. Shadow7

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa shule za Sekondari Kenya walala uwanjani lockdown ya Corona

    Wanafunzi waliomalizi kidato cha nne wamelala katika viwanja vya Uhuru Park jijini Nairobi baada ya kukamilisha mitihani yao ya mwisho. Hii ni baada ya kushindwa kuendelea na safari yao ya kuelekea nyumbani baada ya muda wa amri ya kutotoka nje kuwapata wakiwa bado hawajaondoka mjini humo...
  3. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya is modernising its trading markets

    Video nzuri sana hii inaonyesha soko mpya ambazo zimejengwa katika kila kona la taifa hili. Soko zingine pia zinakuwa renovated.
  4. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Hata katika lugha ya Kiswahili, Kenya wametudhibiti kimataifa

    Na Elius Ndabila 0768239284 Ni kweli kuwa lugha ya Kiswahili pamoja na historia yake kubwa, lakini ni ukweli kuwa inazungumzwa sana pwani ya Afrika Mashariki. Na Tanzania ndiyo nchi ambayo ni Mama wa Kiswahili. Tulimushuhudia Rais wa awamu ya Tano akitumia kila jitihada za kukuza na kueneza...
  5. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania One insurance company in Kenya made a profit four times larger than the combined profit made by top 8 insurance companies in Tanzania.

    Kenya is still miles ahead of Tanzania. Jubilee insurance ksh4.09B profit 8 top insurance companies in Tanzania Ksh 900M The Standard - Breaking News, Kenya News, World News and Videos The Standard - Breaking News, Kenya News, World News and Videos ☰ Jubilee Insurance cuts costs to post Sh4.09...
  6. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa NTV ya Kenya, Amina Abdi afiwa na bibi yake baada ya kupewa chanjo ya COVID-19

    - Mengi yanaendelea kuhusu chanjo ya covid ambayo ilitolewa ndan ya miezi michache tu na tukalazimishwa kuchanjwa wote bila kuuliza maswali, sasa taarifa nnayotoka kuskiliza apa ni kwamba achana na wale wa blood clotting, sasa hivi imepiga hatua zaidi izi taarifa zimfikie mbowe
  7. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuagiza vitu kutoka Kenya

    Habari za muda huu ndugu zangu? Ukweli ushamba mzigo kumbe kenya wanabei ndogo ya simu kuliko aliexpress? Juzi nilikuwa nataka simu aliexpress nilikuwa na laki 8 niliona ngoja nitafute xiamon maana kunawatu walikuwa wanazisifia sana nilipata xiamo note 10 pro kwa bei ya laki 8 niliongea na yule...
  8. Ikaria

    JamiiForums Tanzania Passport ya Kenya na Tanzania zaorodheshwa namba 8 na 9 mtawalia kwenye Passport zenye nguvu zaidi barani Afrika

    Kwa mujibu wa Ripoti ya Henley Passport index. • Pasipoti ya Kenya ni ya 8 yenye nguvu zaidi barani Afrika. • Pasipoti ya Tanzania ni ya 9 kwenye orodha. ✓Pasipoti ya Ushesheli🇸🇨 ni ya kwanza barani Afrika, ikifuatiwa na ya Afrika kusini🇿🇦.
  9. Mkikuyu- Akili timamu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya now top exporter of charcoal in the region

    Hivi jangwa kama Kenya linapata miti ya kuchoma makaa wapi? Tukiwaabia muwache wizi wa makaa ya somalia hamsikii. Haya somalia sasa wamechukua bahari lenu..Pwangu kapata pwanguzi! -------- https://nation.africa/kenya/business/kenya-overtakes-somalia-main-exporter-charcoal-region-3361282
  10. U

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki alifunga ndoa na Lucy Muthoni 1962

    Picha imeambatanishwa
  11. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ongoing projects in Kenya

    There is a reason why Uhuru is the best performing President in East Africa when it comes to infrastructure. There's no President both past and present in the entire region that can stand shoulder to shoulder with Uhuru in this sector. Below are top 20 list of ongoing NATIONAL PROJECTS in Kenya...
  12. The Dictator

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Music Industry: Kenya Vs Tanzania

    Kwenye nyanja mbalimbali kenya wametuacha sana lakini nini tatizo kubwa linalofanya muziki wa Kenya usifanye poa kuliko wa Tanzania kwenye mziki wao? Tz pamoja na kutumia zaidi Swahili katika nyimbo zetu tofauti na majirani Kenya wenye kutumia lugha zaidi ya moja; bado angalau katika soko la...
  13. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania is more corrupt than Kenya

    Going by the report which CAG just released. I can only say that Uhuru's government was infant in the game of corruption compared to Magufuli's Govt. The only reason Kenya appeared to be more corrupt than Tanzania was because Kenyan media exposed all the dirty deals conducted by the government...
  14. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo

    Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.
  15. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya Kenya kumwaga ugali, UK amekuja akitembea kwa magoti

    Baada ya UK kumwaga mboga, Kenya iliamua kumwaga ugali. Hawa wazungu wanastahili wakikupiga kofi kwenye shavu, usiwape shavu la pili, rudisha nawe kofi au ngumi ili wapate funzo. Sasa foreign minister wa UK na foreign minister wa Kenya wamepigiana simu na kukubali kusitisha vita hivi. Wataunda...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Lockdown yasabibisha uhalifu kuongezeka, Marekani yatahadharisha raia wake

    Marekani imetahadharisha Raia wake wasisafiri kipindi hichi cha #COVID19 kuingia Kenya kwa kuwa matukio ya kihalifu yameongezeka mara dufu. Onyo limetolewa kuwa kuna ongezeko la ugaidi, utekaji watu, na utekaji magari pia masuala ya afya na ujambazi ambayo ni pamoja na kuvunjiwa nyumba. Maeneo...
  17. Ikaria

    JamiiForums Tanzania Lupita Nyong'o awajibu wakenya wanaomponda kwa kuipenda Tanzania zaidi ya Kenya

    Muigizaji wa filamu ya ’12 years a Slave’ na mshindi wa tuzo za Oscar Lupita Nyong’o, ameonekana kuwajibu waliomponda kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kwa kuposti picha akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti Tanzania. Wengi walionekana kumkosoa kwa kulitangaza na kulisifia taifa...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: 279 waliopata madhara baada ya kupata astrazeneca, sasa wapo katika hali ya kawaida

    Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya #Kenya imesema watu 279 walioripotiwa kupata madhara baada ya kupata chanjo ya Astrazeneca 272 walipata nafuu baada ya muda mfupi Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi PPB...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

    Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki. Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021. Kaimu Mkurugenzi wa PPB...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Ajali ya mabasi yaua 15

    Watu 15 wameripotiwa kufariki dunia nchini Kenya baada ya mabasi mawili kugongana maeneo ya Kizingo katika barabara Kuu ya Malindi kwenda Mombasa. Majeruhi wamepelekwa hospitali ya Malindi Kamishna Kutswa Olaka wa Kilifi amesema basi la Muhsin lilipoteza uelekeo na kuligonga gari la Sabaki...
Back
Top Bottom