kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Slowly

    Mchekeshaji tokea Kenya Crazy Kenar namkubali Sana

    Haka kajamaa na crew yake very funny Sana , wakenya kwenye Commedy wametuzidi tuwe Tu wa kweli. Huyu jamaa page yake ya insta ukipitia inakuondolea stress aisee. Wabongo now sio wabunifu kabisa wanaenda Tu na trending na ubishoo bas. Akina Jaymond, Idris, Dullvan, Mr beneficial & Mjeshi...
  2. C

    Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

    Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa...
  3. MK254

    Dah! Uganda waipita Kenya kwenye mataifa yenye furaha, huku Tanzania ikiendelea kushikilia nafasi ya wanunaji na wenye dhiki

    Uganda has overtaken Kenya to become the happiest country in East Africa in the 2020 World Happiness Report released in March 2021. The survey conducted in 2020 placed Uganda at position 83, followed by Kenya at 86 which is a drop from the previous year, and Tanzania ranking at position 94...
  4. Replica

    Kenyatta aihutubia Kenya msiba wa Magufuli, atangaza siku saba za maombelezo na bendera nusu mlingoti

    Leo Rais wa Kenya amelihutubia Taifa la Kenya juu ya kifo cha Rais Magufuli na kutoa pole kwa mama Janeth Magufuli na watanzania. Amesema anakumbuka ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya na kwa pamoja wakafungua barabara inayoitwa 'Seven Bypass' na kwake binafsi anaikumbuka heshma kubwa...
  5. kidadari

    Kenya wanafanya propaganda chafu kwenye msiba wa Rais Magufuli

    Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha. Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa. Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station...
  6. Snowden E

    Kenya ‘haiwezi kukabidhi bandari’ kwa China kama njia ya kulipa deni la SGR

    bbcCopyright: bbc Waziri wa Afya nchini Kenya Ukur Yatani amekanusha taarifa kuwa nchi hiyo iko katika hatari ya kupoteza bandari yake kubwa kwa China ikiwa itashindwa kulipa deni lake kwa nchi hiyo, ambalo pesa zake zimetumika kwa ujenzi wa reli mpya. Reli hiyo yenye umbali wa kilomita 472...
  7. Analogia Malenga

    Zuio la mahindi kuingia Kenya, ni kwasababu makamu wa Rais anataka soko la mahindi yake

    Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, amedaiwa kuwa na shamba la mahindi hekari 500,000 nchini DR Congo, ambapo ametumia nguvu yake kisiasa kupata uhakika wa soko la mahindi yake Baadhi ya wabunge wa DRC wamethibitisha hilo. Ili kupata soko la mahindi alilazimika kuzuia mahindi kutoka Tanzania...
  8. Mkikuyu- Akili timamu

    Democracy index 2021: Kenya lags behind Tanzania

    Sijui mijitu itajificha wapi leo https://www.the-star.co.ke/news/2021-03-15-kenya-ranked-95-in-democracy-index/
  9. Geza Ulole

    Kenya clears air on toxic maize ‘ban’ after EAC partners condemn action

    Trucks with imported maize from Tanzania waiting to offload outside Mombasa Maize Millers in Mombasa in this picture take in August 2019. PHOTO | FILE | NMG Summary The Agriculture and Food Authority in a letter dated March 5 said maize from the two countries have revealed high levels of...
  10. Analogia Malenga

    Raila Odinga akutwa na COVID-19

    Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida za mapafu lakini...
  11. T

    Je, Serikali imeanza mbinyo kwa vyombo vya habari kutoka Kenya?

    Je, hali hii inatokana na taarifa zilizotolewa na chombo hiki kuhusiana na afya za viongozi wa Tanzania? Wenye Azam Tv angalieni channel namba 331
  12. Analogia Malenga

    Tanzania yaipita Uganda na Kenya kwa kuwa na wanawake wengi bungeni

    Ripoti ya 2021 ya Inter Parliamentary Union imeaonesha Tanzania inongoza kwa kuwa na wabunge wanawake ukilinganisha na Kenya na Uganda. Tanzania ina wanawake 36.7% ya bunge hivyo iko nafasi ya 34 kidunia. Aidha Uganda imeonekana kuwa na wabunge wanawake 34.9% na iko nafasi ya 37 kidunia huku...
  13. Geza Ulole

    Wahamiaji haramu toka Kenya watiwa mbaroni Tanzania

    Vyombo vya Kamati ya Usalama Wilaya ya Rombo vimewakamata wahamiaji haramu kutoka nchi jirani ya Kenya ambao wameingia Nchini bila kufuata utaratibu kwa maana ya hawakupitia boda iliyo rasmi na hawakuwa na nyaraka zozote za kiuhamiaji Wamekamatwa kupitia msako halali, na imeelezwa walikuwa watu...
  14. Analogia Malenga

    Kenya: COVID19 yaonyesha dalili mpya

    Kenya inahofia kuwa inakumbwa na wimbi la tatu la CoronaVirus baada ya madaktari kugundua dalili mpya kwa wagonjwa wa COVID19. Dalili zilizooneka kwa wagonjwa ni pamoja na kifua kuuma, kuharisha, vidole kubadilika rangi na kuvimba macho. Madaktari wanadhani ya kwamba kirusi kinajibadilisha...
  15. Tony254

    Kenya ime-deport mzungu mmoja aliyeshiriki vurugu huko Marekani katika Capitol riots ya Jan 6th

    Kuna mzungu mmoja mjinga kwa jina la Isaac Sturgeon alienda kufanya fujo katika Jan 6th capitol insurrection in Washington DC ambapo supporters wa Trump walienda kuzuia Joe Biden kuwa confirmed kama rais wa Marekani. Baada ya kufanya fujo na kushindwa kuzuia Biden kuwa confirmed kama rais mpya...
  16. N

    Kwa huu uzushi Serikali ipige marufuku mahindi kwenda Kenya, badala yake mahindi ya ziada yatumike kuzalisha vyakula vya mifugo

    Hivi karibuni kumetolewa madai na kenya kuhusu mahindi yetu kuwa na sumu kuvu. Swala la milipuko ya watu kuugua na kufa kwa kula mahindi yenye viwango vya juu vya aflatoxin limekuwepo nchini kenya tangu mwaka 1981. Mfano, mwaka 2004 wakenya 317 waliugua na 125 walifariki kutokana na kutumia...
  17. M

    A Grandma's Perspective On The Benefits of Going Solar in Kenya

    A Grandma's Perspective On The Benefits of Going Solar in Kenya
  18. J

    Mahindi tani 260 kutoka Tanzania yakwama mpaka wa Holili upande wa Kenya

    Takribani tani 260 za mahindi kutoka Tanzania yamekwama katika mpaka wa Holili upande wa Kenya yakihofiwa kuwa na sumu kuvu Meneja wa TRA kituo cha Holili amesema mahindi hayo yamepimwa upande wa Tanzania na kuonekana ni salama kwa chakuka lakini yapofika Kenya yalizuiwa na kuchukuliwa sampuli...
  19. Ikaria

    "Unatutia aibu Gigy!" Watanzania wakerwa na tabia za Gigy Money huko Kenya

    Watanzania wengi katika mitandao ya kijamii hususan instagram wameonekana kukerwa na msanii Gigy Money kwa namna alivyokuwa akicheza densi isiyo ya kistaarabu huku ameshika bendera ya taifa mkononi, katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya. Kwenye video hio Gigy anaonekana akicheza...
  20. Miss Zomboko

    Malori 25 ya Mahindi yazuiliwa kuingia Kenya

    Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS) Yusufu Ngenya, pamoja na mkuu wa kitengo cha Afya ya mimea, katika mpaka wa Namanga, ambapo kwa pamoja wameonekana kushangazwa kwa kuzuiliwa kwa malori 25 ya shehena ya Mahindi kutoka Tanzania. Hata...
Back
Top Bottom