kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. R

    Kenya wanapata first consignment ya covid 19 vaccine 2/3/2021

    Hii ni kwa mujibu wa mahojiano na Mkuu wa kikosi kazi cha kupambana na covid yaliyofanyiika leo na Citizen Tv jioni hii. Priority ya kwanza ni health workers. Priority ya pili ni wafanyakazi wanashughulika na makundi ya watu kama polisi, walimu etc. Na Priority ya tatu ni watu wenye pre...
  2. M

    How do solar panels work on rainy and cloudy days in Kenya?

    Common questions prospective clients ask before making the switch to solar in Kenya: Can solar panels work without direct sunlight? Will the solar panels work on cloudy days? Will the solar panels work on rainy days? Do solar panels work at night? Although solar technology isn’t new, many...
  3. MK254

    Kenya kurusha vyombo viwili zaidi angani kutokea kituo cha Malindi

    Ikumbukwe tayari tuna chombo angani, na sasa tupo kwenye maandalizi ya kurusha viwili zaidi. Vyombo angani husaidia sana kwenye kudadavua ardhi kwenye nchi na kubaini uwepo wa raslimali na mengineyo. The Kenya Space Agency (KSA) is set to launch two mini-rockets from the Malindi Space Centre...
  4. J

    Zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige kuendelea kesho Kilimanjaro, rubani aliyetelekeza ndege na kurudi Kenya kufuatiliwa!

    Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya. Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho...
  5. Niwahi_Kibangi

    IXAfrica breaks ground on data center campus in Nairobi, Kenya

    IXAfrica has broken ground on an 18MW data center in Nairobi, Kenya. Speaking during the ground breaking ceremony, IXAfrica chairman Guy Willner said that the data center will be IXAfrica’s first after years of delays and is on track to be East Africa’s largest ‘hyperscale-ready’ campus. The...
  6. J

    Balozi Simbachawene: Watanzania mnaokuja Kenya hakikisheni mmepima Corona ndani ya saa 72 na mna vyeti

    Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dr. John Simbachawene amewataka Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo kuhakikisha wanafuata masharti ya nchi hiyo kwa wageni. Masharti hayo ni pamoja na kupima Corona katika muda usiozidi saa 72 na kuwa na vyeti vya uthibitisho. Chanzo: ITV habari Maendeleo...
  7. Tony254

    Kenya is becoming a global hub of fintech innovation

    Kenya Is Becoming a Global Hub of FinTech Innovation A Safaricom employee displays the M-Pesa money transfer service on a smartphone inside a mobile phone care centre in Nairobi on November 22, 2018. SIMON MAINA/AFP via Getty Images Summary. For more than half a century, the U.S. was the...
  8. MK254

    Tunawaambia kila siku, Tanzania drops 11 spots in Africa e-commerce score, meanwhile Kenya remains among the highest-ranked country

    Kung'ang'ania mshindane na Wakenya mtaishia kupasuka misamba, sisi tupo kwenye ligi nyingine.... Dar es Salaam. The latest United Nations Conference on Trade and Development’s Business-to-Consumer (B2C) E-commerce Index 2020 has seen Tanzania’s ranking drop by 11 spots to currently rank at 110...
  9. MK254

    Massive Project to Make Electricity Cheaper in Kenya

    The Suswa High Voltage Direct Current Converter Substation. TWITTER Kenyans are set to enjoy cheaper electricity rates in the coming months following the completion of Ksh50 billion Suswa Substation, the biggest of its kind. The project undertaken by Kenya Electricity Transmission Company...
  10. SEASON 5

    Msaada: Nauli na taratibu za kwenda Kenya kutoka Tanzania

    Habari zenu ndugu zangu, nilikua naomba mwenye ufahamu wa taratibu za kufata za mtu kutoka Dar kwenda Nairobi ni mahitaji gani yanahitajika ili niweze fanikisha safari yangu. Nauli ni kiasi gani? Nategemea kusafiri na watoto wangu wawili mapacha kwahiyo sitokuwa mwenyewe. Watoto wana miaka mi...
  11. Bowie

    Kenya wana Katiba nzuri na kuna ufisadi mkubwa

    Ni jambo la kushangaza sana taifa la Kenya kuwa na katiba bora Afrika Mashariki lakini Ufisadi ni mkubwa sana. Asilimia kubwa ya budget ya serikali inaishia kwenye mifuko ya viongozi wa majimbo. Tumeona pia kuelekea uchaguzi mkuu mwakani hali ya kisiasa ikizidi kuchafuka na chuki za kisiasa...
  12. 2

    SEE: RUTO's Wheel Barrows Rejected in Nyandarua, TangaTanga MPS almost beaten!

    Ruto’s TangaTanga side had a shock of their lives when residents of Ol Kalou in Nyadarua County chanted the down and denied them a chance to “insult Uhuru Kenyatta”. The crowd told Ruto to come visit them with the president beside him if he wants them to listen. For every word Ruto said, the...
  13. J

    Spika Ndugai: Vyuo vikuu vianze kufundisha Ujasiriamali kama vile vya Kenya vijana wasisubiri ajira ambazo hazipo!

    Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo. Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao...
  14. 2

    Here's Archbishop Harrison Ng'ang'a prophecy to Kikuyus

    HERE'S ARCHBISHOP HARRISON NG'ANG'A PROPHECY "Currently, the best businesses are owned by Kikuyus. The biggest churches, best cars, most successful and educated people, and even the president, are from our land. It rains more in Mt Kenya region than in any other place But, if you don't change...
  15. S

    Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya kulikoni?

    Habari wakuu, Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia. Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka. Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi. Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi...
  16. Erythrocyte

    Uchebe atua AFC Leopard ya Kenya

    Habari zaidi zitafuata
  17. MK254

    Kenya Railways picks 260 Kenyans to run country operations

    Kenya Railways has unveiled 260 Kenyans who would enhance its countrywide operations. In an event, on Friday, February 5, the Metre Gauge Railway (MGR) trainees will be deployed to various stations after completing various competency-based courses. The recruits completed courses in locomotive...
  18. pingli-nywee

    Mwanaharakati na mkosoaji mkubwa wa Rais Museveni, Dkt. Stella Nyanzi akimbilia Kenya, aomba hifadhi ya kisiasa

    Nana angedhani kwamba ipo siku nchi ya Kenya ndio itakuwa hifadhi la wakimbizi wa kisiasa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki? Aliyekuwa mgombea ubunge jijini Kampala(Woman Mp Seat) na Research Fellow kwenye Chuo Kikuu cha Makarere, mwanaharakati wa kisiasa nchini Uganda, Dr Stella Nyanzi...
  19. The Palm Tree

    Rwanda, Kenya, Uganda, DR Congo na jirani wengine waanza kupokea chanjo ya COVID 19. Burundi na Tanzania - NO DATA YET

    Katika nchi za Afrika Mashariki, inaonesha kuwa ni Burundi na Tanzania pekee ndiyo hazina virusi vya korona na kwa hiyo hawahitaji chanjo ya COVID 19. HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo.... IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na...
Back
Top Bottom