Rais Samia Suluhu, tumia ziara yako nchini Kenya kuomba radhi kwa kuchomwa vifaranga na awamu iliyopita nchini mwako

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,348
217,391
Uugwana ni vitendo, kitendo cha Serikali ya Magufuli kuchoma moto vifaranga kutoka Kenya lilikuwa jambo la kinyama lililobeba aibu ya kuifedhehesha serikali ya Tanzania kwa fedheha ya kutia aibu ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi.

Sitaki kurudia kusimulia unyama ule wa kishamba, ambao haukuwa na tija yoyote ile kwa Taifa, bali nimemuomba Mh Rais Samia Suluhu kufanya uungwana kwa kuiomba radhi serikali ya Watu wa Kenya kwa unyama ule wa kishamba uliofanyika kutokana na chuki zisizoeleweka hata chanzo chake, zilizopelekea vifaranga kutoka Kenya kuteketezwa kinyama.
 
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa Chadema kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

Chadema wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la chadema ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu Jamii forum lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza Chadema ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.

Kutokana na Chadema kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa Chadema wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lisu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa Chadema lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya Chadema wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

Chadema wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama ,mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame(orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )?

Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

Bavicha na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe, tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya Chadema ni Mbowe na Tundu Lisu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.

Kuporomoka kwa Ccm wataulizwa SAMIA na Dr Nchongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.
Kwa nini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli.

20210504_182859.jpg
 
Uugwana ni vitendo , kitendo cha Serikali ya Magufuli kuchoma moto vifaranga kutoka Kenya lilikuwa jambo la kinyama lililobeba aibu ya kuifedhehesha serikali ya Tanzania kwa fedheha ya kutia aibu ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi...
Loo, mada hizi sasa zitatufikisha wapi?

Imebidi haya sasa ndiyo tuyashikie bango wakati huu?

Najishangaa kwamba nimechangia kwenye mada hii!
 
Hayo ndio baadhi ya mambo yaliyofanya uhusiano wetu na Kenya ukawa mbaya, then nao wakalipa kisasi kwa kusema mahindi yetu hayafai yana sumu, baadae Kenyatta akaja kumpiga dongo Magufuli alipomwambia ajifunze namna ya kuishi na wapinzani baada ya Lissu kukimbilia Kenya.

I think that page by now is already closed.
 
LOoo, mada hizi sasa zitatufikisha wapi?

Imebidi haya sasa ndiyo tuyashikie bango wakati huu?

Najishangaa kwamba nimechangia kwenye mada hii!
Ikiwa unaenda kwenye nchi ya watu basi ni vema ujue umeenda kufanya nini, pia ni lazima ufahamu makosa ambayo nchi yako imewafanyia hao unaoenda kwao, ukiyabaini omba radhi, jambo la kuchoma vifaranga lili alert dunia kuhusu aina ya Uongozi wa Tanzania, ulikuwa unyama wa wanyama.
 
Hayo ndio baadhi ya mambo yaliyofanya uhusiano wetu na Kenya ukawa mbaya, then nao wakalipa kisasi kwa kusema mahindi yetu hayafai yana sumu, baadae Kenyatta akaja kumpiga dongo Magufuli alipomwambia ajifunze namna ya kuishi na wapinzani baada ya Lissu kukimbilia Kenya.

I think that page by now is already closed.
Ni aibu kubwa sana
 
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa Chadema kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

Chadema wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la chadema ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu Jamii forum lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza Chadema ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!

Kutokana na Chadema kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa Chadema wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lisu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa Chadema lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya Chadema wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

Chadema wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama ,mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame(orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )?
Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

Bavicha na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya Chadema ni Mbowe na Tundu Lisu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.
Kuporomoka kwa Ccm wataulizwa SAMIA na Dr Nchongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa ccm kwa sasa.
Kwa nini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa MagufuliView attachment 1773769
Mkuu kunywa Soda moja nitalipa. Mimi nawashangaa. Hivi issue mara ya Vifaranga, je wanajua Wakenya Wametufanyia mangapi sisi? Je ni Magufuli alisema chomeni vifaranga? Wanaokoteza vitu vidogo vidogo mno.

Hayati Dr. Magufuli kipenzi cha Watanzania walio wengi hayupo wao wanapambana naye. Ni aibu. Chadema tunawakumbusha 2025 si mbali, mjipange msijeanza kulia. Mnakomaa na Hayati, kule Samia anatekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, 2025 atakiwaleza wananchi nini amefanya kama atagombea yeye kura chungu nzima kwake ama kwa mgombea wa CCM wa wakati huo, ninyi mnabaki kulalama.

Badilikeni basi. Msitafte cheap politics, jipangeni 2025 mtakuwa na Sera gani Mbadala wa Sera za CCM ili Mshinde. Kitu ambacho mnasahau ni kwamba Hayati JPM alikuwa ni Kipenzi Cha wengi, mkimsema vibaya tu kura zinapungua zaidi, hebu mkomae na mambo ya Msingi.

Mwenyekiti Mbowe kawasababisha chungu ya Matatizo, ninyi mmekaa kimya mpo tu. Hangaikeni naye, acheni mambo ya Hayati Dr. JPM, Mwamba wa Mageuzi nchini Tanzania na Africa.
 
Uugwana ni vitendo , kitendo cha Serikali ya Magufuli kuchoma moto vifaranga kutoka Kenya lilikuwa jambo la kinyama lililobeba aibu ya kuifedhehesha serikali ya Tanzania kwa fedheha ya kutia aibu ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi .

Sitaki kurudia kusimulia unyama ule wa kishamba , ambao haukuwa na tija yoyote ile kwa Taifa , bali nimemuomba Mh Rais Samia Suluhu kufanya uungwana kwa kuiomba radhi serikali ya Watu wa Kenya kwa unyama ule wa kishamba uliofanyika kutokana na chuki zisizoeleweka hata chanzo chake , zilizopelekea vifaranga kutoka Kenya kuteketezwa kinyama
Vimechomwa kihalali, labda utuambie kuna taratibu gani imevunjwa?
 
Mkuu kunywa Soda moja nitalipa. Mimi nawashangaa. Hivi issue mara ya Vifaranga, je wanajua Wakenya Wametufanyia mangapi sisi? Je ni Magufuli alisema chomeni vifaranga? Wanaokoteza vitu vidogo vidogo mno.

Hayati Dr. Magufuli kipenzi cha Watanzania walio wengi hayupo wao wanapambana naye. Ni aibu. Chadema tunawakumbusha 2025 si mbali, mjipange msijeanza kulia. Mnakomaa na Hayati, kule Samia anatekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, 2025 atakiwaleza wananchi nini amefanya kama atagombea yeye kura chungu nzima kwake ama kwa mgombea wa CCM wa wakati huo, ninyi mnabaki kulalama.

Badilikeni basi. Msitafte cheap politics, jipangeni 2025 mtakuwa na Sera gani Mbadala wa Sera za CCM ili Mshinde. Kitu ambacho mnasahau ni kwamba Hayati JPM alikuwa ni Kipenzi Cha wengi, mkimsema vibaya tu kura zinapungua zaidi, hebu mkomae na mambo ya Msingi.

Mwenyekiti Mbowe kawasababisha chungu ya Matatizo, ninyi mmekaa kimya mpo tu. Hangaikeni naye, acheni mambo ya Hayati Dr. JPM, Mwamba wa Mageuzi nchini Tanzania na Africa.
Unalipwa tangu 2014 lakini huna msaada wowote!
 
Ikiwa unaenda kwenye nchi ya watu basi ni vema ujue umeenda kufanya nini , pia ni lazima ufahamu makosa ambayo nchi yako imewafanyia hao unaoenda kwao , ukiyabaini omba radhi , jambo la kuchoma vifaranga lili alert dunia kuhusu aina ya Uongozi wa Tanzania , ulikuwa unyama wa wanyama
Yaani watu waingize vifaranga kwa njia za haramu halafu unataka tuwachekee! !hawa vijana wa chadema kuna shida mahali
 
Kuchomwa kihalali ndio kuchomwaje?
Waliingizwa nchini na mtu ambaye hana kibali chochote, na bahati nzuri serikali ilishapiga marufuku mda mrefu tabia ya kuingiza vifaranga bila kufata utaratibu, hivyo basi vilichomwa kihalali.
 
Waliingizwa nchini na mtu ambaye hana kibali chochote, na bahati nzuri serikali ilishapiga marufuku mda mrefu tabia ya kuingiza vifaranga bila kufata utaratibu, hivyo basi vilichomwa kihalali
Ilitakiwa virudishwe kwao tuu Kama vibali hakuna au alievileta ndio ahukumiwe sio vifaranga kuvichoma vile ni unyama na ukatili kwa viumbe wa kiwango cha juu mno hizi Nchi zinategemeana huwezi kumchukia jirani yako kiasi hicho.
 
Ilitakiwa virudishwe kwao tuu Kama vibali hakuna au alievileta ndio ahukumiwe sio vifaranga kuvichoma vile ni unyama na ukatili kwa viumbe wa kiwango cha juu mno hizi Nchi zinategemeana huwezi kumchukia jirani yako kiasi hicho.
Muarifu hawezi tupangia adhabu ya kumpa, wale vifaranga walikuwa wanahatarisha maisha ya vifaranga wengi zaidi kama wangeingia mtaani wakiwa na maradhi, ile adhabu ni kali na fundisho hakuna atakae thubutu kuruka utaratibu maana adhabu ni kali na hasara tunakutia.
 
Muarifu hawezi tupangia adhabu ya kumpa, wale vifaranga walikuwa wanahatarisha maisha ya vifaranga wengi zaidi kama wangeingia mtaani wakiwa na maradhi, ile adhabu ni kali na fundisho hakuna atakae thubutu kuruka utaratibu maana adhabu ni kali na hasara tunakutia
Bora Mama kaona ulikua ujinga nimepata taarifa magari yaharuhusiwa kupita Kenya kupeleka mazao Sudani kusini Kama mwanzo ninyi wengine hamjui kitu chochote kinachoendelea mpo tuu hapo na mkiambiwa wanyonge mnafurahia.
 
Bora Mama kaona ulikua ujinga nimepata taarifa magari yaharuhusiwa kupita Kenya kupeleka mazao Sudani kusini Kama mwanzo ninyi wengine hamjui kitu chochote kinachoendelea mpo tuu hapo na mkiambiwa wanyonge mnafurahia.
Mama hajaruhusu magendo, yaani upitishe mizigo yako bila kufata utaratibu halafu utegemee mama atakuruhusu? acha kujidanganya taratibu lazima ziheshimiwe.
 
Mama hajaruhusu magendo, yaani upitishe mizigo yako bila kufata utaratibu halafu utegemee mama atakuruhusu? acha kujidanganya taratibu lazima ziheshimiwe
Mizigo ishaanza kwenda Sudani kusini kupitia Kenya hapo katikati kulikua na matatizo nao walikua na usumbufu nani kazungumzia magendo soma uwe unaelewa na kujibu.
 
Back
Top Bottom