konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,582
Kwani hii gesi haitumiki au haitatumika kwenye viwanda vya Tanzania? Kama inatumika au itatumika kwenye viwanda vya Tanzania tatizo lipo wapi? Kwani kuna ubaya gani kama una chakula cha kutosha nyumbani kwako ukaamua kumuuzia jirani yako ili kupata pesa ya ziada kufanya mambo yako mengine?
Kama viwanda vya ndani vitakuwa vinatumia hii gesi au vitatumia hii gesi basi mama yupo vizuri sana. Kama taifa lazima tupambane kuuza bidhaa zetu nje ili kupata fedha za kigeni na hiki ndio mama anafanya
Kuna hoja watu wanaileta kuwa bidhaa za kenya zita-dominate soko la ndani kwa sababu vitakuwa vinazalishwa kwa gharama ndogo hivyo vitauzwa kwa bei ya chini. Hii hoja haina mashiko kama na sisi viwanda vyetu vitatumia gesi kwa sababu vitaweza pia kuzalisha bidhaa kwa gharama ya chini na kupelekea kuuza bidhaa zetu kwa bei ya chini pia.
Mwisho kabisa nawaomba watanzania tumuunge mkono mama. Nasikia mama ni mwanauchumi kitaaluma hivyo anajua anachokifanya, tumpe support atupeleke kwenye nchi ya asali na maziwa. Rais aliyesomea uchumi ndio tunamtaka kwa sasa.
Kama viwanda vya ndani vitakuwa vinatumia hii gesi au vitatumia hii gesi basi mama yupo vizuri sana. Kama taifa lazima tupambane kuuza bidhaa zetu nje ili kupata fedha za kigeni na hiki ndio mama anafanya
Kuna hoja watu wanaileta kuwa bidhaa za kenya zita-dominate soko la ndani kwa sababu vitakuwa vinazalishwa kwa gharama ndogo hivyo vitauzwa kwa bei ya chini. Hii hoja haina mashiko kama na sisi viwanda vyetu vitatumia gesi kwa sababu vitaweza pia kuzalisha bidhaa kwa gharama ya chini na kupelekea kuuza bidhaa zetu kwa bei ya chini pia.
Mwisho kabisa nawaomba watanzania tumuunge mkono mama. Nasikia mama ni mwanauchumi kitaaluma hivyo anajua anachokifanya, tumpe support atupeleke kwenye nchi ya asali na maziwa. Rais aliyesomea uchumi ndio tunamtaka kwa sasa.