Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Kama kichwa cha Habari kisemavyo hapo Juu.

Kenya imejumuisha wanachi wenye asili tofauti tofauti wakiwemo wazungu, wa asia, na wabantu wenyewe wazawa wa kenya ambao jamii kubwa ndiyo ilikuwepo wakat Kenya ina kuwa huru, lakin miaka ya 1990's kuendelea taifa hiki limekumbwa na wimbi la watu wenye asili ya somalia ambao uwepo wao kwa kiasi kikubwa umechangiwa na ukaribu na nchi ya somalia upande wa Kaskazini.

Wimbi ilo limezaa vizazi vilivyo lowea kenya lakini wana kizungumza kisomalia vizuri na wana ndugu upande wa somalia. Miaka ya 2000's kumeshuhudiwa ongezeko la viongozi kqdhaa ktk ngazi za uwakilishi wenye asili ya somaalia waki shika hatamu ikumbukwe hii tofauti kabisa na asili zingine zilipo jaribu kushika hatamu mbalimbali za uongozi haikuwa raisi sana kwao kwa sababu taifa ilo kwa kiasi kikubwa lilikuwa lina tawaliwa na jamii za waluo na Kikuyu, awali jamii za asia zilijaribu kupenya penya ktk uongozi lkn zilipata tabu sana ktk ngazi za chama hasa enzi za KANU

Hali ni tofauti kwa upande wa jamii ya kisomali wenye asili ya Kenya hawa wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupenya na kushika nafasi kubwa za juu za serikal kuu hii inatosha kusema ipo siku ukabila wa kenya utamalizwa na hii jamii ya kisomalia ambapo ipo siku taifa hili litapata kiongozi ambae hatokani na makabila yale ya asili ya kenya na kiongozi huyo atakuwa mwenye asili ya Somalia.
 
kenya-tribes-map.jpg

Hao wasomali ni wakenya. Infact walikuwa huku before the bantus and nilotes, if you know your history. It's like saying ipo siku moja Kenya itatawaliwa na Wamaasai. Kwani whats the issue?
 
Hakuna madhara kama ni mkenya,asili ni utengano
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
 
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
Shida yenyu ni chuki tu, kenyan somaliw ni wakenya tu, nikama obama kurule USA
 
Ishu ipo kwa TZ ambako Zabzibar ina nguvu sana, Zanzibar ni nchi ndogo sana lakini naweza kusema inapewa priority kubwa sana.

Rsis akiwa wa Tanganyika basi mahakamu aakuwa wa kenya aama vice versa kama saizi.

Zanzibar tayari wana rais , mahakamu wa rais wao, bunge lao, etc kwajili ya zanzibar lakini Tanganyika hakuna hii, Raisi wa Tanzania anakuwa wa Tanganyika + Zanzibar, mfano kwa saizi raisi wa Tanzania katokea Zanzibar na rais wa zanzibar ni mzanzibar, yani kwa saizi wazanzibari ndo wapo top,

Juzi raisi kaagiza zinunuliwe meli 8 zinabaki 4 Tanganyika 4 zanzibar, Pesa za Sherehe za muungano hapo wiki iliyopita zimegawanywa equally kati ya bara kubwa na kiaiwa kidogo cha zanzibar

Wazanzibari hupewa kipaumbele kikubwa wakija Tanganyika hasa kwenye ajira, na vitengo vya juu, mfano jeshini na taasisi kubwa wazanzibari wanapewa upendeleo na ni haki yao.

Kiufupi Tanzania inaenda kuwa ya wazanzibari, kisiwa kidogo ambacho kinapeqa prioritu kubwa sana.
 
Upo ignorant sana wewe Rugemalila. Alafu mbaya zaidi ni kwamba hujui kwamba hujui. Wasomali unaowazungumzia ni wenyeji na wazawa asili wa nchi ya Kenya tangia zamani, kabla, wakati na hata baada ya ukoloni. Utasemaje waliingia nchini Kenya miaka ya 90's wakati wengine wao walihusika kwenye vita dhidi ya mkoloni?

Kuna shujaa wa vita vya kupigania uhuru wa taifa la Kenya kwa jina Mohammed Hassan. Msomali na mwanabiashara mashuhuri enzi hizo, ambaye alihusika kwa kiasi kikubwa kwenye kufadhili na kutafutia mashujaa wa Mau Mau ufadhili, wa kihali na kimali. Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa raia wa nchi ya Somalia(taifa) na kuwa na asili ya kisomali(kabila).

Wasomali ambao sio raia wa Somalia wapo kwenye nchi karibia zote za 'horn of Africa, sio nchi ya Kenya tu. Wapo kwa wingi nchini Ethiopia, zaidi ya Kenya, kuna wengine pia ambao ni wazawa wa nchi ya Djibouti, bila kusahau Eritrea.

Hoja yako potovu ni sawa na kusema kwamba wamaasai wa Tz sio raia wenzenu na eti ni wageni kutoka Kenya. Au kwamba wakuria wa Kenya ni wakimbizi kutoka Tanzania, hivyo hivyo kwa wadigo, wajaluo na jamii zingine zote ambazo zinapatikana pande zote mbili za mpaka wa Kenya-Tanzania, Uganda-Kenya, S.Africa-Zimbabwe au hata Nigeria-Niger.
 
Na mbona wasitawale wakati wako among the 46 communities of Kenya? Yeyote anaweza kuja kuitawala Kenya in future, awe Msomali, Mijikenda, Luhya, Mzungu, Muhindi au yoyote yule bora ni Mwananchi wa Kenya na anaweza kushawishi Wakenya wampigie kura.
Not really, only two tribes have ruled a Banana Repuplic since independence.
 
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
Kwa hiyo England wamepata hasara gani kuwa na raia wa Kihindi? Hata US kuna mbunge Msomali wamepungukiwa nini?

Dah kweli ubinafsi umetamalaki sasa
 
Kwa hiyo England wamepata hasara gani kuwa na raia wa Kihindi? Hata US kuna mbunge Msomali wamepungukiwa nini
Yule mbunge msomali wa Marekani ni kiazi tu, Anataka sheria za uhamiaji zilegezwe na anapambana kwelikweli wakati ye mwenyewe wa kuja tu.

Binafsi nataka mtu mwenye asili ya nchi yangu ndio aongoze sio wa kuja tu sababu ya uraia. Hawa watu wa kuja huwa wana vitabia vya kishenzi ambavyo haviendani na wenyeji wa asili.

Kuna siku nipo Nida kuna wahindi nao walikuja kufatilia kitambulisho alafu wanaongea kihindi nikajisemea moyoni hawa watu ningekuwa mimi Afisa hapa uraia watausikia kwenye bomba tu.
 
😆🤣Mkuu Richard spencer kwani raia wa nchi yako hawana hivyo vitabia au wako smart zaidi kuliko wengine?
Wapo lakini ni wachache tofauti na baadhi ya nchi jirani zetu. Mwaka 2015 nilimchagua mwendazake kuwa Rais lakini alipoingia kuna matendo ya ajabu yaliyotokea kipindi cha utawala wake sijawahi kuona wala kusikia maisha yangu yote. Sasa inasemekana ana asili ya nje ya Tanzania na nchi anayonasibishwa nayo ni Burundi ambao kwao umafia ni kitu cha kawaida tu.

US ni nchi ya wahamiaji haina mwenyewe ingawa wana sheria kali kudhibiti watu viazi ila nchi za ulaya zilizochukua wakimbizi kama pipi tayari wameshaanza kuona madhara yake. Ufaransa wamepitisha sheria kudhibiti waislam ambao wanaleta tamaduni zao ufaransa. Denmark na Sweden wanarudisha wakimbizi makwao kwa lazima. Kuna kiongozi wa Venezuela anaitwa Tareck el Aissami ana asili ya Syria anashutumiwa kushirikiana na Hezbollah na pia ni muuzaji mkubwa wa madawa ya kulevya.

Nisawazishe kitu hapa. Sio kila muhamiaji ni mbaya wengine wapo tayari kuingiliana na jamii waliyoikuta na kufata tamaduni za pale( mf. Wacongo) ila kuna wengine unakuta ni wahamiaji lakini bado wanajiona ni bora kuliko wenyeji na wana asili ya uovu mfano, warundi, warwanda, waarabu na hao wasomali mnaowakumbatia.

Acheni huo uliberali wa kipuuzi, kama ni kuwa kiongozi waishie kwenye ubunge huku ili kuwaridhisha ila kule juu kuweni makini
 
Back
Top Bottom