Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Huduma za uchangiaji damu nchini Kenya zimeathiriwana na janga la Covid-19, kwani wachangiaji ambao wamepokea sehemu ya kwanza dozi au dozi kamili ya chanjo ya AstraZeneca wanapaswa kusubiri kwa angalau siku saba kabla ya kuchangia damu.
Huduma ya Kitaifa ya Uchangiaji Damu nchini humo...
Economists, what does this mean?
That Kenya is reviewing the size of the economy later in the year.
Does it mean the GDP will jump to 150 - 200B?
More loans more project?
========
Treasury to rebase GDP after new Eurobond tap
Kenya has kicked off its fourth Eurobond offer with a promise to...
Habari za wakati huu wakuu,
Binafsi ningependa kufahamu kabila la Wameru linalopatikana mkoani ARUSHA na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara wilaya ya Simanjiro, linautofauti na Wameru wanaopatikana nchini Kenya?
Kila siku nimekuwa nikijaribu kutafakari hali iliyotokea Tanzania au Malawi au Zambia au DRC au Rwanda au Burundi au Msumbiji ya viongozi wakuu wa nchi kufa wakiwa madarakani. Kwa nchi hizo nilizo zitaja, muitikio su matokeo yalikuwa tofauti tofauti.
Nchi nyingine ulikuwa mwanzo wa vurugu na...
Nimefuatilia kwa muda mrefu sana siasa za hapa nchini na nimekuja na hoja hii kuwa Ruto is unstoppable for presidential position in the year 2022.
Ruto thou of his betrayal by his friend President Uhuru kenyatta he played good political game and movement that can not be stopped anyhow unless...
Kenya has lifted a ban on direct flights to and from Somalia barely a month after announcing a suspension of air travel between the two countries.
Kenya’s foreign affairs ministry says it hopes the move will lead to full normalisation of diplomatic ties.
However, the ministry said that all...
Kenya kainchi kadogo kenye raslimali chache, ila tunajtuma mithili ya sisimizi, sijui lini Watanzania wataamka na kufanya chochote cha maana, GDP yetu inaelekea kuwa mara mbili ya Tanzania, ukizingatia Tanzania ni muungano wa mataifa mawili yenye raslimali kedekede, sijui wana gubu au nini hawa...
Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya.
Hii inaonyesha Kenya inaweza Kuendelea mara Mbili zaidi ya Tanzania na Uganda. Nadhani kuna kitu...
Mwanafunzi wa Kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Ainamoi iliyoko Kaunti ya Kericho, Kenya anatafutwa na polisi kwa kumpigilia msurmali wa inchi nne Mkuu wake wa shule.
Mwanafunzi huyo alizuiwa kuingia darasani akitakiwa kwanza alipe ada aliyokuwa anadaiwa ambayo ni takribani Tsh...
Failed state kwenye ubora wake.
=========
Hospitals in Kenya Have Been Injecting People With Water Instead of the Vaccine
Hannah Ritchie
A medical worker prepares to administer a dose of COVID-19 vaccine during an official launch of the vaccination drive in Nairobi. Photo: Xinhua/Charles...
The government is set to acquire 44.7 hectares of land for expansion of Angama Airstrip located within the Maasai Mara National Reserve in a bid to boost connectivity to a tourism-rich area.
National Land Commission chairman Gershom Otachi said the State will make a compulsory acquisition of...
Tanzanian High Commissioner to Kenya Dr John Simbachawene has moved to new consulate offices in Kizingo, Mombasa County, reports The Standard.
The envoy, who is rooting for faster integration of tourism activities in Kenya and Tanzania in a bid to boost intra-boundary trade, said closer working...
Mambo!
Nipe kazi nikuletee bidhaa(kitu gani) hapo katika mji wako wa Nairobi hata Mombasa?
Nipe list ya vitu unavyotaka nami nitakupa list ya vitu ninavyotaka nipeleke Tanzania.
Tutumie hili jukwaa kutunufaisha kibiashara Kati ya mataifa yetu mawili haya kwa business opportunities zilizopo...
Unafanya maombi na kutulia kwako sebuleni, mlango unagongwa jamaa anakupokeza cheti chako cha kusafiri, huna haja ya mifoleni tena....
The Directorate of Immigration Services and Postal Corporation of Kenya (PCK) have launched a passport delivery service.
The agreement that was signed on June...
Transport CS James Macharia revealed plans for the Rironi-Nakuru-Mau Summit highway at a Stakeholders Engagement Workshop on June 3, 2021.
The ministry's multi-billion plan for the 233-kilometre road seeks transform the livelihoods of Kenyans living along the corridor.
CS Macharia mentioned...
Wasalauumu wakuu!!
Uzi huu nilianza kuuandaa wakati Mama Samia anaenda Kenya, lakini sikuweza kuumaliza kwa wakati, nimeamua niuweke kwa sasa, japo muktadha wa sasa haupo kuijadili Kenya, ila itabidi niuweke kwasababu kuna mambo ambayo yapo relevant sana.
Imekuwa ni kawaida sana hapa jamvini...
The woman's detailed story, with names of the Addis Nigerians, is here:
http://kenyablog.org/inmates-letters/2020/2020-12-23-Kenyan.pdf
Detection equipment at Hong Kong airport is the best in the world .... taking drugs to HK is a suicide mission.
Fr John
www.v2catholic.com
Ama kwa hakika huyu mama atakua suluhu. Najua hizi habari zitwatibua nyongo wale hupenda kuendekeza chuki lakini ndio hivyo. Tupige biashara na kuboresha chumi zetu.
========
Kenya President Uhuru Kenyatta (right) and his Tanzania counterpart President Samia Suluhu Hassan having a word during...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.