Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Muigizaji wa filamu ya ’12 years a Slave’ na mshindi wa tuzo za Oscar Lupita Nyong’o, ameonekana kuwajibu waliomponda kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kwa kuposti picha akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti Tanzania.
Wengi walionekana kumkosoa kwa kulitangaza na kulisifia taifa...
Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya #Kenya imesema watu 279 walioripotiwa kupata madhara baada ya kupata chanjo ya Astrazeneca 272 walipata nafuu baada ya muda mfupi
Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi
PPB...
Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki.
Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021.
Kaimu Mkurugenzi wa PPB...
Watu 15 wameripotiwa kufariki dunia nchini Kenya baada ya mabasi mawili kugongana maeneo ya Kizingo katika barabara Kuu ya Malindi kwenda Mombasa. Majeruhi wamepelekwa hospitali ya Malindi
Kamishna Kutswa Olaka wa Kilifi amesema basi la Muhsin lilipoteza uelekeo na kuligonga gari la Sabaki...
Watu 20 zaidi wamefariki kutokana na kupata Virusi vya Corona na kufanya idadi ya watu waliofariki kwa Corona nchini Kenya kufikia 2,244
Aidha watu 460 wameripotiwa kupata maambukizi ya virusi kwa saa 24 zilizopita idadi inayofanya walioambukizwa kufikia 139,448
Wizara ya Afya imetangaza watu...
Watu 177 ndani ya jiji la Nairobi wamekamatwa kwa kukiuka hatua za afya za kujikinga dhidi ya #COVID19 siku ya sikukuu ya Pasaka.
Polisi wamesema wengi wao walikuwa katika maeneo ya kunywa pombe ‘Pubs’ wakiwa wamerundikana na hawana barakoa.
Wote waliokamatwa wameachiwa kwa dhamana na...
Kenya is the most attractive destination for Japanese firms seeking to make new investments in Africa, a survey has shown, beating the continent’s larger economies like South Africa and Nigeria.
The survey, carried out by Japan External Trade Organisation (Jetro) on Japanese-affiliated...
Afisa mmoja wa Jeshi la ulinzi KDF Kenya(umri 37) ameaga dunia baada ya kuumwa mara tatu na mpenziye Violet Asale (umri 27).
Idara ya upelelezi DCI imesema kwamba marehemu aliumwa mara tatu; yaani kwenye kidole, kifua na bega baada ya wawili hao kutofautiana usiku katika mtaa wa Kahawa Wendani...
Kenya imejibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo watakaowasili sharti la kuwa karantini kwa siku 14. Raia wa Uingereza watakapokuwa wamejitenga, watahitajika kupimwa ikiwa wamepata maambukizi ya virusi vya corona au la mara mbili siku ya pili na ya nane wakiwa karantini kwa...
Half Marathon Word record holder Ruth Chepngetich at the finish line of a past race.
FILE
Kenya asserted its dominance in world athletics during the Istanbul Half Marathon on Sunday, April 4, where Ruth Chepngetich smashed the world record.
Chepngetich broke the record held by Ethiopia’s...
Wanaosema kwamba Kenya inaomba omba chakula na kutegemea msaada kutoka nchi za ulaya. Tazameni hapa Kenya ikitoa msaada wa teknolojia. Tunapatia nchi 5 za Africa tablets 45,000 ili kuwasaidia kufanya census yao kidijitali. Isitoshe tutawafunza jinsi ya kufanya census kidijitali. Sisi hatutoi...
Vifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kuwa na vibali halali. Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka.
Japo vifaranga hivyo havijathibitika kuwa na...
CitizenNews
Kenyan maize importers breath fire over crop ban
FRIDAY APRIL 02 2021
Trucks with imported maize from Tanzania waiting to offload outside Mombasa Maize Millers in Mombasa in this picture take in August 2019. PHOTO | FILE | NMG
By Janeth Joseph
More by this Author
By Zephania...
1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says
FRIDAY APRIL 02 2021
Residents of Turkana County receive relief food in 2011. An estimated 1.4 million Kenyans are currently facing hunger, and the figure is likely to rise in the coming days if a solution is not found, Government...
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama amesema yeye binafsi na familia yake wanaomboleza kifo cha bibi (nyanya) yao, Sarah Ogwel Onyango Obama, ambaye anafahamika na wengi kama “Mama Sarah” lakini anayefahamika kwetu kama “Dani” au Granny.
Katika ujumbe wake wa Twitter ulioambatana na picha...
Muungwana siku zote lazima ushukuru kwa wema unaotendewa na kusema Ahsante. Ndugu zetu na jirani Zetu Wakenya, hakika mmeonyesha kile wahenga walituusia "RAFIKI WA KWELI NI YULE AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI".
Wakati wa Msiba na Maombolezo ya Rais wetu wa JMT Mhe.Magufuli. Mmeonyesha kuguswa na...
Kesses Member of Parliament in Uasin Gishu county, Swarup Mishra, nicknamed Arap Chelule, has sparked mixed reactions online after launching a television set in a rib cutting ceremony.
The event was conducted at Cheplaskei peace centre in his constituency under the full glare of cameras...
Wakati majirani zetu bado wanalala usingizi wa pono, Kenya imekuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na kati kuzindua mtandao wa 5G. Safaricom imezindua mtandao wa 5G leo.
KENYA ABDALLAH HASSAN KATIBU MKUU WA KWANZA MUISLAM WIZARA YA ELIMU AMEFARIKI
Kenya Abdallah Hassan nimemfahamu toka utoto wangu Moshi katika miaka ya 1960.
Siku hizo mimi nikiwa shule ya msingi madarasa ya chini sana yeye alikuwa Mawenzi Secondary School.
Kenya alikwenda Makerere, Uganda...
Gavana wa kaunti ya Kisumu amewasimamisha kazi maafisa waliomburuza barabarani mwanamke mfanyabiashara wa matunda.
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa mwanamke huyo alikataa kutoa rushwa. Alikuwa akiuza machungwa na ndimu njia ya wapita kwa miguu eneo ambalo limepigwa marufuku kufanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.