kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Ikaria

    Lupita Nyong'o awajibu wakenya wanaomponda kwa kuipenda Tanzania zaidi ya Kenya

    Muigizaji wa filamu ya ’12 years a Slave’ na mshindi wa tuzo za Oscar Lupita Nyong’o, ameonekana kuwajibu waliomponda kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kwa kuposti picha akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti Tanzania. Wengi walionekana kumkosoa kwa kulitangaza na kulisifia taifa...
  2. Analogia Malenga

    Kenya: 279 waliopata madhara baada ya kupata astrazeneca, sasa wapo katika hali ya kawaida

    Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya #Kenya imesema watu 279 walioripotiwa kupata madhara baada ya kupata chanjo ya Astrazeneca 272 walipata nafuu baada ya muda mfupi Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi PPB...
  3. Analogia Malenga

    Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

    Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki. Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021. Kaimu Mkurugenzi wa PPB...
  4. Analogia Malenga

    Kenya: Ajali ya mabasi yaua 15

    Watu 15 wameripotiwa kufariki dunia nchini Kenya baada ya mabasi mawili kugongana maeneo ya Kizingo katika barabara Kuu ya Malindi kwenda Mombasa. Majeruhi wamepelekwa hospitali ya Malindi Kamishna Kutswa Olaka wa Kilifi amesema basi la Muhsin lilipoteza uelekeo na kuligonga gari la Sabaki...
  5. Analogia Malenga

    Kenya: 20 wafariki na wengine 460 wakutwa na maambukizi ya COVID-19 ndani ya saa 24

    Watu 20 zaidi wamefariki kutokana na kupata Virusi vya Corona na kufanya idadi ya watu waliofariki kwa Corona nchini Kenya kufikia 2,244 Aidha watu 460 wameripotiwa kupata maambukizi ya virusi kwa saa 24 zilizopita idadi inayofanya walioambukizwa kufikia 139,448 Wizara ya Afya imetangaza watu...
  6. Analogia Malenga

    Kenya: 177 wakamatwa kwa kukiuka hatua za kujikinga na Covid-19 siku ya Pasaka

    Watu 177 ndani ya jiji la Nairobi wamekamatwa kwa kukiuka hatua za afya za kujikinga dhidi ya #COVID19 siku ya sikukuu ya Pasaka. Polisi wamesema wengi wao walikuwa katika maeneo ya kunywa pombe ‘Pubs’ wakiwa wamerundikana na hawana barakoa. Wote waliokamatwa wameachiwa kwa dhamana na...
  7. MK254

    Kenya is the most attractive destination for Japanese firms

    Kenya is the most attractive destination for Japanese firms seeking to make new investments in Africa, a survey has shown, beating the continent’s larger economies like South Africa and Nigeria. The survey, carried out by Japan External Trade Organisation (Jetro) on Japanese-affiliated...
  8. Ikaria

    Kenya: Afisa wa jeshi afariki baada ya kuumwa na mpenziye

    Afisa mmoja wa Jeshi la ulinzi KDF Kenya(umri 37) ameaga dunia baada ya kuumwa mara tatu na mpenziye Violet Asale (umri 27). Idara ya upelelezi DCI imesema kwamba marehemu aliumwa mara tatu; yaani kwenye kidole, kifua na bega baada ya wawili hao kutofautiana usiku katika mtaa wa Kahawa Wendani...
  9. Bishop Hiluka

    Kenya yajibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo masharti

    Kenya imejibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo watakaowasili sharti la kuwa karantini kwa siku 14. Raia wa Uingereza watakapokuwa wamejitenga, watahitajika kupimwa ikiwa wamepata maambukizi ya virusi vya corona au la mara mbili siku ya pili na ya nane wakiwa karantini kwa...
  10. MK254

    Kenya Smashes World Record, Scoops 6 Top 10 Positions in Istanbul Half Marathon

    Half Marathon Word record holder Ruth Chepngetich at the finish line of a past race. FILE Kenya asserted its dominance in world athletics during the Istanbul Half Marathon on Sunday, April 4, where Ruth Chepngetich smashed the world record. Chepngetich broke the record held by Ethiopia’s...
  11. Tony254

    Kenya yatoa misaada ya teknolojia kwa nchi 5 za Afrika

    Wanaosema kwamba Kenya inaomba omba chakula na kutegemea msaada kutoka nchi za ulaya. Tazameni hapa Kenya ikitoa msaada wa teknolojia. Tunapatia nchi 5 za Africa tablets 45,000 ili kuwasaidia kufanya census yao kidijitali. Isitoshe tutawafunza jinsi ya kufanya census kidijitali. Sisi hatutoi...
  12. kidadari

    Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

    Vifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kuwa na vibali halali. Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka. Japo vifaranga hivyo havijathibitika kuwa na...
  13. Ntaghacha

    Kenya maize importers breath fire over crop ban

    CitizenNews Kenyan maize importers breath fire over crop ban FRIDAY APRIL 02 2021 Trucks with imported maize from Tanzania waiting to offload outside Mombasa Maize Millers in Mombasa in this picture take in August 2019. PHOTO | FILE | NMG By Janeth Joseph More by this Author By Zephania...
  14. Geza Ulole

    1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says

    1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says FRIDAY APRIL 02 2021 Residents of Turkana County receive relief food in 2011. An estimated 1.4 million Kenyans are currently facing hunger, and the figure is likely to rise in the coming days if a solution is not found, Government...
  15. Shadow7

    Barack Obama amuomboleza bibi yake kutoka Kenya kwa kuandika maneno haya

    Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama amesema yeye binafsi na familia yake wanaomboleza kifo cha bibi (nyanya) yao, Sarah Ogwel Onyango Obama, ambaye anafahamika na wengi kama “Mama Sarah” lakini anayefahamika kwetu kama “Dani” au Granny. Katika ujumbe wake wa Twitter ulioambatana na picha...
  16. M

    Ahsanteni jirani zetu Kenya mmetufaa sana wakati huu

    Muungwana siku zote lazima ushukuru kwa wema unaotendewa na kusema Ahsante. Ndugu zetu na jirani Zetu Wakenya, hakika mmeonyesha kile wahenga walituusia "RAFIKI WA KWELI NI YULE AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI". Wakati wa Msiba na Maombolezo ya Rais wetu wa JMT Mhe.Magufuli. Mmeonyesha kuguswa na...
  17. Cannabis

    Kenya: Mbunge wa azindua runinga iliyotundikwa ukutani

    Kesses Member of Parliament in Uasin Gishu county, Swarup Mishra, nicknamed Arap Chelule, has sparked mixed reactions online after launching a television set in a rib cutting ceremony. The event was conducted at Cheplaskei peace centre in his constituency under the full glare of cameras...
  18. Tony254

    Kenya imekuwa nchi ya Kwanza Afrika Mashariki kuzindua 5G

    Wakati majirani zetu bado wanalala usingizi wa pono, Kenya imekuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na kati kuzindua mtandao wa 5G. Safaricom imezindua mtandao wa 5G leo.
  19. Mohamed Said

    Kenya Abdallah Hassan, Katibu Mkuu wa kwanza Muislam Wizara ya Elimu, amefariki

    KENYA ABDALLAH HASSAN KATIBU MKUU WA KWANZA MUISLAM WIZARA YA ELIMU AMEFARIKI Kenya Abdallah Hassan nimemfahamu toka utoto wangu Moshi katika miaka ya 1960. Siku hizo mimi nikiwa shule ya msingi madarasa ya chini sana yeye alikuwa Mawenzi Secondary School. Kenya alikwenda Makerere, Uganda...
  20. Shadow7

    Waliomburuza na gari mama muuza ndimu wasimamishwa kazi Kenya

    Gavana wa kaunti ya Kisumu amewasimamisha kazi maafisa waliomburuza barabarani mwanamke mfanyabiashara wa matunda. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa mwanamke huyo alikataa kutoa rushwa. Alikuwa akiuza machungwa na ndimu njia ya wapita kwa miguu eneo ambalo limepigwa marufuku kufanyika...
Back
Top Bottom