kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. J

    Jamani huko Kenya corona imepungua?

    Nauliza tu nikiwa kama mtanzania mzalendo maana juzikati tuliambiwa Corona imepamba moto na county kadhaa ziko kwenye lockdown. Nawatakia Dominica yenye baraka. Kazi Iendelee!
  2. Analogia Malenga

    Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSamia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku mbili nchini Kenya Anatarajia kufanya ziara hiyo kuanzia Mei 4, 2021 ambapo atapokelewa na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ziara hii ya Rais Samia Suluhu Hassan itaambatana na ufunguzi wa kongamano la...
  3. K

    Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

    Mwaliko uliletwa haraka haraka, kana kwamba kuna dharura! Sasa mama ameamua kuitikia mwaliko huo wiki ijayao. Haieleweki yaliyokuwemo ndani ya barua ile iliyowasilishwa kwake Dar es Salaam yalihitaji atembelee haraka hivyo; bila shaka ni ya manufaa makubwa kwao; na pengine na kwetu pia hadi...
  4. Shadow7

    Kenya yaondoa marufuku ya watu kutoka nje ‘Lockdown’

    Katika kusheherekea siku ya wafanyakazi duniani, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza kuondoa zuio la watu kutotoka nje katika kaunti tano nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona. Katika taarifa yake rais Kenyatta amesema wakati alipotoa agizo la pili kwa umma mnamo Machi...
  5. Linguistic

    Sakata la KEMSA nchini Kenya

    Sakata la Ufisadi wa Kemsa nchini Kenya limesababisha wazungu kuacha kutoa Pesa za Malaria, Ukimwi na afya kwa ujumla! Sasa hivi wagonjwa na waathirika wanahangaika na Viongozi nao wanahangaika kurudisha Imani kwa Mabeberu ili waendelee kupatiwa misaada! Ubinafsi umepitiliza Afrika.
  6. MK254

    Kenya Airways (KQ) to offer drone services

    Kenya Airways (KQ) has partnered with a United Kingdom-based logistics firm to offer drone services as it seeks to diversify its income source and cut reliance on passenger travel, which has been hard hit by the Covid-19 pandemic. The national carrier announced on Tuesday that it has signed a...
  7. MK254

    Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

    The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets. Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production...
  8. Analogia Malenga

    Kituo cha runinga chafungiwa kwa kuonesha vibonzo vya ngono Kenya

    Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha. Mkurugenzi Mkuu wa...
  9. beth

    Kenya suspends flights from India as Covid cases surge

    Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced. The new directive will take effect in the next 72 hours. This follows a surge in Covid-19 cases in India. Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
  10. Geza Ulole

    After pressure on gender imbalance from women grew seeing Samia the first EA lady President, Kenya picked up a lady CJ!

    MY TAKE: Kenya is slowly learning the ropes after seeing Samia Suluhu as the first Lady President in the EA and Anna Makinda as the first lady Speaker in EA! Congratulation. Scholar Makau Mutua has ever been campaigning for a lady President and overall gender balance in Kenya and is a...
  11. Naton Jr

    World Bank 2021: Kenya yaongoza duniani kwa ufukara uliopitiliza

    Report mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha. Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya...
  12. The Boss

    Where is Kenya Kwa list??

    AFRICAN🌍 COUNTRIES WITH THE LEAST POPULATION LIVING UNDER THE POVERTY LINE 1. Mauritius🇲🇺 - 8% 2. Morocco🇲🇦 - 15% 3. Tunisia🇹🇳 - 16% 4. South Africa🇿🇦 - 17% 5. Botswana🇧🇼 - 19% 6. Egypt🇪🇬 - 21% 7. Tanzania🇹🇿 - 23% 8. Algeria🇩🇿 - 23% 9. Djibouti🇩🇯 - 23% 10. Ghana🇬🇭 - 24% Source: CIA world...
  13. Sherlock

    Majeshi ya Kenya kujiunga na kikosi cha Monusco nchini DRC

    "Kenyan troops will arrive in the DRC in the coming weeks to support our armed forces in order to attack in the most effective way this problem of terrorism and violence in the east of our country" ===== RDC: Félix Tshisekedi promet une réaction musclée aux terroristes qui sévissent dans l’Est...
  14. Miss Zomboko

    Uhaba wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi Kenya wahatarisha maisha

    Wakenya wanaoishi na VVU wanasema maisha yao yapo hatarini juu ya uhaba wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi kutokana na mzozo unaotokota kati ya serikali ya Kenya na Shirika la msaada la Marekani USAID. Kulinga na wanaharakati kucheleweshwa kwa dawa hiyo ni baada ya serikali ya...
  15. Tony254

    Kenya inaunda pilot boats tatu na nchi iliyoagiza ni Tanzania

    Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat...
  16. Kasomi

    Ammwagia tindikali (acid) kisha akamuua mchepuko wake

    AMWAGIA TINDIKALI (ACID) KISHA AKAMUUA MCHEPUKO WAKE Mume wa mtu nchini Kenya, Evans Karani (38) ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua mchepuko wake kwa jina la Catherine Nyokabi (25) huko Juja, Kiambu. Kwa mujibu wa television ya K24 na Standard Media, Mamlaka za serikali nchini humo zimesema...
  17. Infantry Soldier

    Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya usifumbie macho udhalilishaji huu dhidi ya viongozi waandamizi wa nchi yetu.

    Habari zenu ndugu zangu wa jamiiforums. Kitendo cha kusema Rais wa nchi amelala na mwanamke nje ya ndoa yake pasipo kuwa na "concrete evidence" hayo ni matusi mazito sana kwa yeye mwenyewe, familia yake pamoja na taifa kubwa la Tanzania. Hii ni nini kama sio "Cyberbullying"? Nimesikitishwa...
  18. Tony254

    KDF receives C-145 skytruck airplane

    Boost as KDF commissions newly acquired aircraft in Nairobi The aircraft will support and complement the three newly acquired C-27J Spartan tactical aircraft acquired by Kenya. In Summary • Maj Gen Ogolla expressed gratitude to the US government for the acquisition that will go a long way in...
  19. Naton Jr

    Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

    Report mpya ya ukwasi wa mtu mmoja mmoja katika mataifa tofauti duniani imetoka ikionesha hali ya utajiri katika taifa. Aidha report hii inaonesha ni kiasi gani cha fedha unapaswa kuwa nacho ili uingie kwenye country's millionaire club au uwe regarded as a wealth man au uwemo katika kundi dogo...
Back
Top Bottom