Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Nauliza tu nikiwa kama mtanzania mzalendo maana juzikati tuliambiwa Corona imepamba moto na county kadhaa ziko kwenye lockdown.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Kazi Iendelee!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSamia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku mbili nchini Kenya
Anatarajia kufanya ziara hiyo kuanzia Mei 4, 2021 ambapo atapokelewa na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
Ziara hii ya Rais Samia Suluhu Hassan itaambatana na ufunguzi wa kongamano la...
Mwaliko uliletwa haraka haraka, kana kwamba kuna dharura!
Sasa mama ameamua kuitikia mwaliko huo wiki ijayao. Haieleweki yaliyokuwemo ndani ya barua ile iliyowasilishwa kwake Dar es Salaam yalihitaji atembelee haraka hivyo; bila shaka ni ya manufaa makubwa kwao; na pengine na kwetu pia hadi...
Katika kusheherekea siku ya wafanyakazi duniani, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza kuondoa zuio la watu kutotoka nje katika kaunti tano nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona.
Katika taarifa yake rais Kenyatta amesema wakati alipotoa agizo la pili kwa umma mnamo Machi...
Sakata la Ufisadi wa Kemsa nchini Kenya limesababisha wazungu kuacha kutoa Pesa za Malaria, Ukimwi na afya kwa ujumla!
Sasa hivi wagonjwa na waathirika wanahangaika na Viongozi nao wanahangaika kurudisha Imani kwa Mabeberu ili waendelee kupatiwa misaada!
Ubinafsi umepitiliza Afrika.
Kenya Airways (KQ) has partnered with a United Kingdom-based logistics firm to offer drone services as it seeks to diversify its income source and cut reliance on passenger travel, which has been hard hit by the Covid-19 pandemic.
The national carrier announced on Tuesday that it has signed a...
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets.
Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production...
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha.
Mkurugenzi Mkuu wa...
Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced.
The new directive will take effect in the next 72 hours.
This follows a surge in Covid-19 cases in India.
Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
MY TAKE:
Kenya is slowly learning the ropes after seeing Samia Suluhu as the first Lady President in the EA and Anna Makinda as the first lady Speaker in EA! Congratulation.
Scholar Makau Mutua has ever been campaigning for a lady President and overall gender balance in Kenya and is a...
Report mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya...
AFRICAN🌍 COUNTRIES WITH THE LEAST POPULATION LIVING UNDER THE POVERTY LINE
1. Mauritius🇲🇺 - 8%
2. Morocco🇲🇦 - 15%
3. Tunisia🇹🇳 - 16%
4. South Africa🇿🇦 - 17%
5. Botswana🇧🇼 - 19%
6. Egypt🇪🇬 - 21%
7. Tanzania🇹🇿 - 23%
8. Algeria🇩🇿 - 23%
9. Djibouti🇩🇯 - 23%
10. Ghana🇬🇭 - 24%
Source: CIA world...
"Kenyan troops will arrive in the DRC in the coming weeks to support our armed forces in order to attack in the most effective way this problem of terrorism and violence in the east of our country"
=====
RDC: Félix Tshisekedi promet une réaction musclée aux terroristes qui sévissent dans l’Est...
Wakenya wanaoishi na VVU wanasema maisha yao yapo hatarini juu ya uhaba wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi kutokana na mzozo unaotokota kati ya serikali ya Kenya na Shirika la msaada la Marekani USAID.
Kulinga na wanaharakati kucheleweshwa kwa dawa hiyo ni baada ya serikali ya...
Kuna hizi pilot boats tatu ambazo mumeagiza tuwatengenezee. Kampuni inayounda ni kampuni inayoitwa SECO engineering ya Mombasa. Tuko karibu kumaliza na by June boats zitakuwa tayari. Sisi ni jirani wema na tunawajali. Kenya ni nchi ya viwanda ndio maana tunawajengea pilot boats. Pilot boat...
AMWAGIA TINDIKALI (ACID) KISHA AKAMUUA MCHEPUKO WAKE
Mume wa mtu nchini Kenya, Evans Karani (38) ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua mchepuko wake kwa jina la Catherine Nyokabi (25) huko Juja, Kiambu.
Kwa mujibu wa television ya K24 na Standard Media, Mamlaka za serikali nchini humo zimesema...
Habari zenu ndugu zangu wa jamiiforums.
Kitendo cha kusema Rais wa nchi amelala na mwanamke nje ya ndoa yake pasipo kuwa na "concrete evidence" hayo ni matusi mazito sana kwa yeye mwenyewe, familia yake pamoja na taifa kubwa la Tanzania. Hii ni nini kama sio "Cyberbullying"?
Nimesikitishwa...
Boost as KDF commissions newly acquired aircraft in Nairobi
The aircraft will support and complement the three newly acquired C-27J Spartan tactical aircraft acquired by Kenya.
In Summary
• Maj Gen Ogolla expressed gratitude to the US government for the acquisition that will go a long way in...
Report mpya ya ukwasi wa mtu mmoja mmoja katika mataifa tofauti duniani imetoka ikionesha hali ya utajiri katika taifa.
Aidha report hii inaonesha ni kiasi gani cha fedha unapaswa kuwa nacho ili uingie kwenye country's millionaire club au uwe regarded as a wealth man au uwemo katika kundi dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.