Hatimaye serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri ya kutotoka nje ya saa moja usiku hadi saa kumi na moja asubuhi.
Idara ya usalama imetangaza kuwa polisi wanne wamesimamishwa kazi kusubiri...
Salaam wanajamvi,
Tukiwa tunaendelea kupambana vita dhidi ya kirusi Covid 19 au Corona, nimeona tukumbushane kidogo baadhi ya kazi za vyama vya siasa pamoja na asasi zisizo za kiserikali.
Pamoja na mambo mengine kazi za vyama vya siasa ni pamoja na kuelimisha wananchi juu ya haki za binadamu...
Mimi Ni mwalimu by professional Nina degree ya kwanza gpa 4.masomo kiswahili na kiingereza,ninahtaji mshahara wa 3.5m kufundisha.
ninafanya kazi mshahara wa sasa 1.2 m
wadau naomba kuuliza, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye taasis flani ya private lakini niliacha na kwenda serikalini. Nilikwenda kufuatilia pesa zangu NSSF wakaniambia kama umeacha huwezi kupewa labda ungefukuzwa, nikasema msinipe cash bali mpeleke kwenye mfuko wa serikali PSSSF lakini bado...
Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar.
Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
Wasalaam ndugu.
Natafuta kazi..
Nina elimu ya form 4 niliyoipata Azania secondary school.
Elimu ya kidato cha sita nimeipata Kibasila High school.
Ninauwezo wa kutumia computer kwa ufasaha na kuchapa kazi kwa kutumia Ms word na Ms Excell.
Nina uwezo wa kuandika muswada wa filamu(script...
Usiku wa leo imesambaa taarifa kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi amejiuzulu kwa shinikizo baada ya kutoa maoni yake kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa Corona nchini.
Taarifa hizo zimekanushwa; Kwa mujibu wa barua hiyo inayoonesha Profesa Janabi...
Kwa watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani ni uzoefu mpya na wasichojua ni kuwa inahitaji nidhamu ya juu kumaliza kazi na kupata matokeo chanya. Fanya haya ili uweze kupata matokeo chanya.
1. KUWA NA SEHEMU MAALUM YA KUFANYIA KAZI
Sio kila mtu ana chumba cha kujisomea au ofisi ya nyumbani. Ila...
ATS Tsebo Tanzania is currently seeking to appoint an Assistant Accountant
Reports to: ATS Tsebo Project Accountant.
Education/Experience/Qualifications/Skill Requirements
Minimum Qualifications: Diploma/Degree in related field.
Job related work experience: –
A good understanding of our...
The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital. Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become the leading...
Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts:
1. SUPPLIES ASSISTANT II (2 Post) - Main Campus in Morogoro
(a) Qualification and Experience
Holder of Form IV or VI Certificate with passes in...
Position
BELL B30E ADT OPERATOR / FABEC GGM
Number of positions
· 7
Qualifications:
· Completion of Secondary School Education
· Basic Numeracy and Verbal / Written English
· Heavy Vehicle Driver’s License
Experience:
· Minimum 5 years work...
Samahanini wandugu humu,
Nilipenda kuuliza katika kuomba kazi kabla ya mkataba kuna iki kipengele kabla ya kupewa mkataba ni cha medical checkups hivi ni wanaangalia nini na nini katika hiyo checkups lyk magonjwa specifia au full kila kitu au physical checkups like blood group,uwezo wa macho...
Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli wakati akilihutubia Taifa siku chache zilizopita, akituhimiza wananchi tukachape kazi na kuwa tusitishwe na vyombo vya habari vya kibeberu, kwa kuwa ugonjwa wa corona siyo tishio kiasi hicho wanachotuaminisha!
Kwa kweli nilishangazwa sana na maelekezo hayo...
Jubilee Insurance Company of Tanzania is a top ranking insurance company operating in Tanzania. They wish to recruit the following personnel for their head office in Dar Es Salaam.
GENERAL MANAGER TECHNICAL- RE ADVERTISED
To be responsible for underwriting, claims and reinsurance for the...
Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu.
Mamlaka zinazohusika na...
Position: Project Assistant
Type of role Community and social work
Location Tanzania
Salary Annual Salary Maximum TZS 27,000,000/=
Contract type Permanent
Contract length 1 year
Full Time 35 hours per week
Application Closing Date 06 Apr 2020
Interview date TBC
Start date April 2020
VSO is the...
Terms of Reference
REF: IOM/DAR/006/2020
Assignment Title: National Consultant – Migration Environment and Climate Change
Duty Station: IOM Tanzania, Dar es Salaam
Type of Appointment: Consultancy Contract
Established in 1951, IOM is a Related...
VACANCIES – DEPARTMENT OF ICT
BACKGROUND
CRDB Bank Plc is inviting applications from qualified and experienced candidates to fill the vacant positions existing in the Department of ICT.
The Bank seeks to recruit highly competent, self-motivated and professional individuals to fill the...
Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.