kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Nyendo

    Polisi wanne wasimamishwa kazi Kenya

    Hatimaye serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri ya kutotoka nje ya saa moja usiku hadi saa kumi na moja asubuhi. Idara ya usalama imetangaza kuwa polisi wanne wamesimamishwa kazi kusubiri...
  2. Nzelu za bwino

    Hizi ndizo kazi za vyama vya siasa

    Salaam wanajamvi, Tukiwa tunaendelea kupambana vita dhidi ya kirusi Covid 19 au Corona, nimeona tukumbushane kidogo baadhi ya kazi za vyama vya siasa pamoja na asasi zisizo za kiserikali. Pamoja na mambo mengine kazi za vyama vya siasa ni pamoja na kuelimisha wananchi juu ya haki za binadamu...
  3. Chereko tena

    Natafuta kazi ya kufundisha, masomo yangu ni Kiingereza na Kiswahili

    Mimi Ni mwalimu by professional Nina degree ya kwanza gpa 4.masomo kiswahili na kiingereza,ninahtaji mshahara wa 3.5m kufundisha. ninafanya kazi mshahara wa sasa 1.2 m
  4. B

    Kwanini ukiacha kazi NSSF hawataki kutoa hela zako? Je, ni baada ya muda gani watakulipa?

    wadau naomba kuuliza, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye taasis flani ya private lakini niliacha na kwenda serikalini. Nilikwenda kufuatilia pesa zangu NSSF wakaniambia kama umeacha huwezi kupewa labda ungefukuzwa, nikasema msinipe cash bali mpeleke kwenye mfuko wa serikali PSSSF lakini bado...
  5. Papaa Mobimba

    Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  6. Askari wa motoni

    Nina elimu ya form 4, natafuta kazi yoyote

    Wasalaam ndugu. Natafuta kazi.. Nina elimu ya form 4 niliyoipata Azania secondary school. Elimu ya kidato cha sita nimeipata Kibasila High school. Ninauwezo wa kutumia computer kwa ufasaha na kuchapa kazi kwa kutumia Ms word na Ms Excell. Nina uwezo wa kuandika muswada wa filamu(script...
  7. J

    Kujiuzulu kwa Profesa Mohamed Janabi, akiunganishwa na Taarifa za Corona (Usahihi wa Taarifa)

    Usiku wa leo imesambaa taarifa kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi amejiuzulu kwa shinikizo baada ya kutoa maoni yake kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa Corona nchini. Taarifa hizo zimekanushwa; Kwa mujibu wa barua hiyo inayoonesha Profesa Janabi...
  8. J

    Unafanyia kazi nyumbani? Madokezo haya yanaweza kukusaidia katika kufanikisha majukumu yako

    Kwa watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani ni uzoefu mpya na wasichojua ni kuwa inahitaji nidhamu ya juu kumaliza kazi na kupata matokeo chanya. Fanya haya ili uweze kupata matokeo chanya. 1. KUWA NA SEHEMU MAALUM YA KUFANYIA KAZI Sio kila mtu ana chumba cha kujisomea au ofisi ya nyumbani. Ila...
  9. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi ATS Tsebo Tanzania

    ATS Tsebo Tanzania is currently seeking to appoint an Assistant Accountant Reports to: ATS Tsebo Project Accountant. Education/Experience/Qualifications/Skill Requirements Minimum Qualifications: Diploma/Degree in related field. Job related work experience: – A good understanding of our...
  10. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Aga Khan Health Service

    The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital. Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become the leading...
  11. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Mzumbe University

    Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts: 1. SUPPLIES ASSISTANT II (2 Post) - Main Campus in Morogoro (a) Qualification and Experience Holder of Form IV or VI Certificate with passes in...
  12. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi BELL B30E ADT OPERATOR / FABEC GGM

    Position BELL B30E ADT OPERATOR / FABEC GGM Number of positions · 7 Qualifications: · Completion of Secondary School Education · Basic Numeracy and Verbal / Written English · Heavy Vehicle Driver’s License Experience: · Minimum 5 years work...
  13. hooligan01

    Medical checkup kabla ya kazi imekaaje hii?

    Samahanini wandugu humu, Nilipenda kuuliza katika kuomba kazi kabla ya mkataba kuna iki kipengele kabla ya kupewa mkataba ni cha medical checkups hivi ni wanaangalia nini na nini katika hiyo checkups lyk magonjwa specifia au full kila kitu au physical checkups like blood group,uwezo wa macho...
  14. Mystery

    Rais Magufuli anatuhimiza wananchi tukachape kazi, wakati makampuni yakiendelea kuwapunguza wafanyakazi wao kutokana na ugonjwa wa Corona!

    Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli wakati akilihutubia Taifa siku chache zilizopita, akituhimiza wananchi tukachape kazi na kuwa tusitishwe na vyombo vya habari vya kibeberu, kwa kuwa ugonjwa wa corona siyo tishio kiasi hicho wanachotuaminisha! Kwa kweli nilishangazwa sana na maelekezo hayo...
  15. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Jubilee Insurance Company

    Jubilee Insurance Company of Tanzania is a top ranking insurance company operating in Tanzania. They wish to recruit the following personnel for their head office in Dar Es Salaam. GENERAL MANAGER TECHNICAL- RE ADVERTISED To be responsible for underwriting, claims and reinsurance for the...
  16. G Sam

    Wakati Rais Magufuli akihimiza watu wachape kazi, wengine wameanza kupunguza mlundikano makazini

    Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu. Mamlaka zinazohusika na...
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi VSO

    Position: Project Assistant Type of role Community and social work Location Tanzania Salary Annual Salary Maximum TZS 27,000,000/= Contract type Permanent Contract length 1 year Full Time 35 hours per week Application Closing Date 06 Apr 2020 Interview date TBC Start date April 2020 VSO is the...
  18. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi IOM

    Terms of Reference REF: IOM/DAR/006/2020 Assignment Title: National Consultant – Migration Environment and Climate Change Duty Station: IOM Tanzania, Dar es Salaam Type of Appointment: Consultancy Contract Established in 1951, IOM is a Related...
  19. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi CRDB

    VACANCIES – DEPARTMENT OF ICT BACKGROUND CRDB Bank Plc is inviting applications from qualified and experienced candidates to fill the vacant positions existing in the Department of ICT. The Bank seeks to recruit highly competent, self-motivated and professional individuals to fill the...
  20. B

    Hivi position ya planning officer (afisa mipango) huwa wanafanya kazi zipi hasa? na je qualification zake za kuajiriwa zikoje?

    Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
Back
Top Bottom