kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Nahitaji connection ya kazi yoyote nipo Mwanza

    Naitwa sam na 19 years old naishi mwanza, nahitaj connection ya kazi kwa sasa sina mchongo. Naomben mnisaidie wajomba my phn n-0626781789
  2. GE2020 TAKUKURU Ilala haifanyi kazi zaidi ya kutumiwa vibaya na Jerry Silaa

    TAKUKURU Wilaya ya Ilala acheni kutumika vibaya na Jerry Silaa. Kila mkipigiwa kuhusu habari za huyu mtu mnatujibu vibaya, naye anatamba kama chombo hiki ni chake. Wiki ya pili sasa anatuamsha Wajumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Ukonga kati ya saa 5 na 8 usiku akiwa na gari lake na anaongozana na...
  3. Nafasi za kazi, Abt Associates

    1. Position: Total Market Approach Sub national Cascade Facilitator Job Summary SHOPS Plus Tanzania is seeking a facilitator to lead this activity with support from SHOPS Plus Tanzania. The Facilitator will support the TMA activity by orienting national and sub national FP, HIV and CH...
  4. Kazi za ualimu, Dar es Salaam Independent School

    DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL Registration Numbers is S. 2544 and DS/02/7/037 Announce Vacancies for the academic year 2020/2021 We need the following staffs below starting August, 2020: We need TWO ART TEACHERS starting August 2020: One Art teacher for the Lower Secondary and one to teach...
  5. Nafasi za kazi Wintech Elevators Tanzania Ltd

    Wintech Elevators Tanzania Ltd ACCOUNTANT PERSON -( 1 Position ) QUALIFICATIONS: Holder of Form IV certificate, Diploma in Accounts, Diploma in Marketing reference to position. At least 2 years job experience in related course Able to drive motorcycle is an added advantage for account and...
  6. Nafasi za kazi Letshego Tanzania Ltd (LTL)

    1. Title : Head Of Human Capital Reports to : CHIEF EXECUTIVE OFFICER Purpose: The Head of Human Capital originates and leads Human Resources practices and objectives that will provide an employee-oriented, high-performance culture that emphasizes empowerment, productivity and goal attainment...
  7. Hata bado hajaanza kazi ameanza na kauli hii ya kipuuzi. Hivi ni nani huwa anawaroga ubongo viongozi wa Afrika?

    Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amevionya Vyama vya Upinzani kuwa havitapata nafasi, huku akihoji mantiki ya kuipinga Serikali. Aidha, amevisihi Vyombo vya Habari na Watetezi wa Haki za Binadamu kushirikiana na Serikali, vinginevyo watakuwa wanatumikia watu wengine. Chanzo: swahilitimes...
  8. GE2020 Amemaliza Chuo hana kazi mwaka wa 4 anaishi Tosamaganga anasema anaipenda CCM kwa sababu imejenga Flyover Ubungo Dar

    Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza Chuo Jordan Morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwa sababu imejenga Flyover Ubungo. Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama...
  9. Nafasi za kazi IAA

    Introduction The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering undergraduate and postgraduate training courses. It is established by the Institute of Accountancy Act of 1990 with its headquarters at Njiro Hill, Arusha City. The Institute wishes to recruit a...
  10. SEO writing, kazi inayolipa sana mtandaoni

    Ushawahi kujiuliza kwanini ukigoogle kitu inakuwaje kuna tovuti zinatokea juu na nyingine chini. Yani mfano unaweza kugoogle coronavirus, ikakwambia kuna majibu billion tatu sasa inakuaje kuna tovuti zinatokea page ya kwanza na nyingine page za huko mbele? Ni wazi kuwa watu wengi husoma majibu...
  11. Mapendekezo, ungependa nini cha kufanyiwa kazi ambacho kitaleta mabadiliko ya kiuchumi kwa haraka katika Serikali ijayo 2020 - 2025?

    Tumeona mengi na makubwa na Pengine Yale ambayo hatukuamini kwamba yatafanyika katika Taifa letu Kwa kipindi kifupi Tu cha miaka mitano, Yamefanyika, Nami sitaki kuyarejelea yaliyofanyika, kwani kila mtu ni shuhuda wa yaliyofanywa na serikali inayomaliza muda wake, na mwenye macho haambiwi...
  12. F

    Mfahamu mnyama kazi punda

    Wengi wanamfahamu punda kuwa ni mnyama anayefanya kazi, jamii za Tanzania hasa mkoa wa arusha na manyara wanamtumia punda kwa ajili ya kubeba mizigo yao, wengi wao humbebesha punda mzigo mgogoni kama magunia ya mahindi, mkaa maji na kuni. Punda amekuwa ni nyenzo muhimu katika usafirishaji wa...
  13. Wafanyakazi wa ndani si watumwa wawe wanaheshimiwa kama binadamu aliye huru

    Kutokana na hali ya maisha wafanya kazi wa ndani wengi hukaa kwa waajiri wao. Hii hutokana na waajiri wengi kutomudu kulipa wafanyakazi kima cha chini cha mshahara. Pia kuepuka usumbufu. Fikiria mfanyakazi anaishi Mbagala awahi usafiri kufika Mbezi ili muajiri amkabidhi watoto na yeye awahi...
  14. Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja. Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
  15. K

    Mtozi Aloyce Nyanda nini kilitokea jana kipindi cha Agenda 2020?

    Ndugu zangu habari za asubuhi! Kama kawaida siku ya jana rafiki na ndugu yetu Alloyce Nyanda alijitokeza kwenye kipindi chake tajwa hapo juu na aliwaalika vijana wawili ndg John Pambalu (mwalimu, kamanda na kiongozi wa BAVICHA Taifa) huyu walikuwa naye Ilemela Mwanza studioni. Mwingine alikuwa...
  16. Y

    Ulipitia misukosuko gani kwenye ndoa/mahusiano yako baada ya kuachishwa kazi/kuharibikiwa kazi?

    Natumai hamjambo wanajanzengo. Wakuu nimependa kushare nanyi kisa na niloyapitia after kuharibikiwa kazi. Nakumbuka nilipoacha kazi nilikua tayari na vibanda 2 vya kuuza oil na spair ndogo ndogo za magari na pikipiki but huwezi amini ndani ya miezi 3 nilokaa nyumbani miradi hii pia ilikufa...
  17. Urgently namuitaji huyu mtu tufanyenae kazi

    Habari ya Kazi Wakuu. Naitwa X ninaishi Kilimanjaro, Nilikuwa nataka Mtu ambaye anaweza Kuandika Vizuri Business Plan ya Biashara ya Mchele Kuanzaia Kununua kwa Wakulima mpaka kuuza kwa Package kwa Wanunuzi zikiwemo Gharama Mpaka Faida. Mzungu anaitaji aweke Capital tafadhari kwa Mtu ambaye...
  18. H

    Waziri Ndalichako nakupongeza kwa kazi nzuri ila dhibiti udanganyifu wa mitihani

    Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu kufanya udanganyifu wa mitihani. Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati...
  19. Haya sasa jionee kazi ya Pweza

    Jamani haina haja ya kutafuta vumbi la kongo au konyaji mambo yapo kwa pweza
  20. J

    Je, Bunge likivunjwa Mawaziri wataendelea na kazi hadi Oktoba?

    Utaratibu wa kikatiba ni kwamba Bunge likivunjwa Mawaziri nao wanapoteza sifa za kuendelea na Uwaziri kwani Waziri ni lazima awe Mbunge. Huko nyuma utaratibu huu uliheshimiwa na marais wote hadi alipoingia Kikwete akaubadilisha na kuwaacha Mawaziri ofisini hadi mwezi wa uchaguzi Je, awamu ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…