kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. paul sylvester

    Mapendekezo, ungependa nini cha kufanyiwa kazi ambacho kitaleta mabadiliko ya kiuchumi kwa haraka katika Serikali ijayo 2020 - 2025?

    Tumeona mengi na makubwa na Pengine Yale ambayo hatukuamini kwamba yatafanyika katika Taifa letu Kwa kipindi kifupi Tu cha miaka mitano, Yamefanyika, Nami sitaki kuyarejelea yaliyofanyika, kwani kila mtu ni shuhuda wa yaliyofanywa na serikali inayomaliza muda wake, na mwenye macho haambiwi...
  2. F

    Mfahamu mnyama kazi punda

    Wengi wanamfahamu punda kuwa ni mnyama anayefanya kazi, jamii za Tanzania hasa mkoa wa arusha na manyara wanamtumia punda kwa ajili ya kubeba mizigo yao, wengi wao humbebesha punda mzigo mgogoni kama magunia ya mahindi, mkaa maji na kuni. Punda amekuwa ni nyenzo muhimu katika usafirishaji wa...
  3. Sky Eclat

    Wafanyakazi wa ndani si watumwa wawe wanaheshimiwa kama binadamu aliye huru

    Kutokana na hali ya maisha wafanya kazi wa ndani wengi hukaa kwa waajiri wao. Hii hutokana na waajiri wengi kutomudu kulipa wafanyakazi kima cha chini cha mshahara. Pia kuepuka usumbufu. Fikiria mfanyakazi anaishi Mbagala awahi usafiri kufika Mbezi ili muajiri amkabidhi watoto na yeye awahi...
  4. Roving Journalist

    Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja. Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
  5. K

    Mtozi Aloyce Nyanda nini kilitokea jana kipindi cha Agenda 2020?

    Ndugu zangu habari za asubuhi! Kama kawaida siku ya jana rafiki na ndugu yetu Alloyce Nyanda alijitokeza kwenye kipindi chake tajwa hapo juu na aliwaalika vijana wawili ndg John Pambalu (mwalimu, kamanda na kiongozi wa BAVICHA Taifa) huyu walikuwa naye Ilemela Mwanza studioni. Mwingine alikuwa...
  6. Y

    Ulipitia misukosuko gani kwenye ndoa/mahusiano yako baada ya kuachishwa kazi/kuharibikiwa kazi?

    Natumai hamjambo wanajanzengo. Wakuu nimependa kushare nanyi kisa na niloyapitia after kuharibikiwa kazi. Nakumbuka nilipoacha kazi nilikua tayari na vibanda 2 vya kuuza oil na spair ndogo ndogo za magari na pikipiki but huwezi amini ndani ya miezi 3 nilokaa nyumbani miradi hii pia ilikufa...
  7. steve111

    Urgently namuitaji huyu mtu tufanyenae kazi

    Habari ya Kazi Wakuu. Naitwa X ninaishi Kilimanjaro, Nilikuwa nataka Mtu ambaye anaweza Kuandika Vizuri Business Plan ya Biashara ya Mchele Kuanzaia Kununua kwa Wakulima mpaka kuuza kwa Package kwa Wanunuzi zikiwemo Gharama Mpaka Faida. Mzungu anaitaji aweke Capital tafadhari kwa Mtu ambaye...
  8. H

    Waziri Ndalichako nakupongeza kwa kazi nzuri ila dhibiti udanganyifu wa mitihani

    Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu kufanya udanganyifu wa mitihani. Mhitimu wa darasa la saba anafaulu vipi kwa daraja B na C wakati...
  9. Wakulonga

    Haya sasa jionee kazi ya Pweza

    Jamani haina haja ya kutafuta vumbi la kongo au konyaji mambo yapo kwa pweza
  10. J

    Je, Bunge likivunjwa Mawaziri wataendelea na kazi hadi Oktoba?

    Utaratibu wa kikatiba ni kwamba Bunge likivunjwa Mawaziri nao wanapoteza sifa za kuendelea na Uwaziri kwani Waziri ni lazima awe Mbunge. Huko nyuma utaratibu huu uliheshimiwa na marais wote hadi alipoingia Kikwete akaubadilisha na kuwaacha Mawaziri ofisini hadi mwezi wa uchaguzi Je, awamu ya...
  11. Jackal

    Kazi kweli kweli!!!

  12. Sifi Leo

    Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

    Nafuatilia Hotuba ya Mh Rais Magufuli akiwa anahutubia Askari Magereza katika sherehe ya uzinduzi wa jengo la ofisi za Magereza, sasa hivi kupitia TBC1 amekiri kuwasamehe wale viongozi wote walioshiriki kusaini mkataba uliokuwa na viashria vya rushwa akiwemo aliyekuwa Kamishina Jenerali wa...
  13. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye kazi. Nina ujuzi wa kutengeneza bidhaa za aina mbalimbali lakini sina mtaji

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22, Elimu yangu ni ya secondary nimemaliza mwaka 2017.Nashukulu mungu nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kupata chaguzi.Kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiriamali kwa bahati mzur nikapata ujuzi wa kutengeneza bidhaa...
  14. Samia atosha tukutane2030

    Kwasasa nikiambiwa nichague kazi nitachagua kuwa askari wa barabarani (traffic)

    Ile kazi naimiss sana kwasasa. Ni kazi ambayo nikiambiwa nichague basi itakuwa first choice huku kazi za uhasibu na ugavi nikiziweka pembeni. Nina hamu sana kuongoza magari barabarani. Nyie mnaomiliki vyombo vya moto mngenipenda sana.
  15. Analogia Malenga

    Chad: Mkuu wa Majeshi afukuzwa kazi baada ya kumkosoa Rais

    Mkuu wa Majeshi nchini Chad, Ahmat Koussou Moursal amefukuzwa kazi baada ya kuandika barua ya wazi kumkosoa Rais Idriss Deby. Katika barua yake, mkuu huyo alimlaumu Rais kuwasahau rafiki zake waliokuwa wote jeshini, kusini mashariki mwa Chad, Guera. Pia alizilaumu mamlaka kwa kutowalipa fidia...
  16. K

    GE2020 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro awa nje kituo chake cha kazi kwa takriban mwezi mmoja kisa Ubunge wa Monduli

    Wanajamvi salama? Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda hatimaye mkuu wa mkoa wa Morogoro bwana Loata Sanare amediriki kuwa nje ya kituo chake cha kazi mwezi mmoja sasa Nilizozipata asubuhi ya leo kutoka vyanzo vyangu zinàsema tokea ateuliwe amekuwa akisononeka sana moyoni na kuanza...
  17. Suley2019

    Waziri Simbachamwene na Mchakato wa mahabusu kufanya kazi wakiwa Magerezani

    J. W Nyoka katika Makala ya Kona ya Haki Jinai anaeleza: Niliwahi kuandika katika moja ya makala zangu kwamba asiyefanya kazi asile, kwa wafungwa nikasema ni sawa, je, kwa mahabusu vipi, nao wasile? Yawezekana andiko langu hilo limetoa tafsiri mbali mbali kwa wasomaji, na wiki iliyopita wakati...
  18. Mzukulu

    Kama hii ni kweli basi kazi ipo

    Kwamba. Watu ambao wakienda kuoga kwa kuanzia kujimwagia maji kichwani huwa ni Werevu kuliko wale wanaoanzia Mabegani au Miguuni. Unaikubali au unaikataa hii?
  19. M

    Kwa hesabu za haraka kama Magufuli akiamua kuwabeba wageni, basi CCM asilia wajiandae kutafuta kazi zingine

    Ukijaribu kufanya simple caluculation kwa kuangalia idadi ya wapinzani ambao wamekimbilia CCM kwa imani kuwa wanaweza kuendelea kupata ulaji ndani ya serikali ya awamu ya tano kwa kuwa kule upinzani hawana uhakika nako, utagundua kuwa wamekuwa wengi na huenda wakazidi kuongezeka kadiri siku...
  20. Kapepo

    Kaniacha baada ya kukosa kazi

    Dah! Kama utani hivi, jana kani-text "Vipi kuhusu interview uliyoenda kufanya?" nikamjibu "hapana sikufanikiwa", akanitakia usiku mwema wakati si kawaida yake. Asubuhi kanichunia, nikamtafuta kajibu text moja tu na kunipotezea. Sasa hapokei simu wala hajibu text naona ndio nishaachwa mimi...
Back
Top Bottom