kauli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Replica

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu kuhutubia Bunge Alhamisi Aprili 22, 2021

    Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Rais Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge Alhamisi Aprili 22 2021 jioni Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa Mama Samia kulihutubia Bunge tangu alipoapishwa kuwa Rais Machi 19 mwaka huu. === Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kauli hizi Mbili za Injinia Hersi na Mhamasishaji Nugaz zitakusaidia vyema kujua Yanga SC ni Klabu ya aina gani

    Kauli ya Injinia Hersi Ligi ikianza "Kwa jinsi Yanga SC kupitia Sisi GSM tulivyofanya Usajili huu mkubwa naomba kila mwana Yanga SC ajigambe na tusipokuwa Mabingwa Msimu huu wanihoji Mimi na wakiweza wanifanye lolote. GSM tumedhamiria na hatubahatishi na tumeisajilia Yanga SC Wachezaji wakubwa...
  3. SULEIMAN ABEID

    JamiiForums Tanzania Mbunge Luhaga Mpina azidi kutema cheche, sasa ataka Kamati ya PAC imbane CAG

    MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina ametilia shaka ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa namna ilivyoripoti hasara ya sh. bilioni 60 kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na kusababisha mkanganyiko mkubwa kwa wananchi. Mpina amesema kwa mujibu wa Taarifa ya CAG inaonesha...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Rais Samia ‘Mimi na Magufuli ni kitu kimoja’ ni ya Kisiasa zaidi matendo yao yanatofautiana

    Kisiasa Rais Samia Suluhu asingeweza kusema yupo kinyume na mtangulizi wake Magufuli, na hatutegemei aseme hivyo hadharani lkn inawezekana moyoni anawaza tofauti kabisa. Binafsi kinacho matter zaidi ni vitendo. Hivi ni baadhi ya viashiria vya tofauti zao kiutendaji. ———————— Magufuli: Tanzania...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Kauli ya Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni 2020

    Kauli hii ilitolewa na Mh. Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba 2020
  6. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Madini Dotto Biteko ulisubiri ifike tarehe 17 Machi, 2021 ndiyo uiseme hii Kauli yako iliyojaa 'Unafiki' mwingi? Tumewachokeni sasa!!

    " Sekta ya Madini nchini haitakiwi iwe au iwekewe Sheria Kali kwa Wadau wake kwani itawakimbiza na hatutopata Faida yoyote kama Serikali na itatuchelewesha kama nchi. Tuongozwe na Busara pamoja na Hekima na siyo Ukali wa Kupitiliza " Nimemsikia akizungumza haya Leo Asubuhi katika Kipindi cha...
  7. Abdul Nondo

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Spika wa Bunge Job Yustino Ndugai dhidi ya vijana

    Kutoka kauli ya vijana mjiajiri hadi kauli ya vijana kuwa wezi na kutokuwa waaminifu. Kwa ujumla wake hakuna mtu aliyefurahishwa na kauli zako Mh.Ndugai dhidi ya vijana ukiwashambulia Bungeni kwamba hawaaminiki,wana kiwango kidogo cha uwaminifu ukifafanua kwamba wakipewa mradi wasimamie wanaiba...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Bavicha yatikisa Mbeya, Kauli Takatifu ya NEVER AND NEVER AGAIN yatawala

    Hebu jionee mwenyewe na ujifanyie tathmini yako.
  9. Mjina Mrefu

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

    Wakuu, Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda.. Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki? Mimi; Kazime Taa Huyu hapa bodaboda muelekeze Shusha nyingine unazozijua..
  10. 2

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko wa kauli ya Rais na hofu ya serikali dhidi ya vyombo vya habari

    Ukifatilia kwa makini mjadala unaoendelea wa kauli ya Rais dhidi ya vyombo vyahabali utajiuliza nini hofu ya serikali dhidi ya vyombo habari, hii nikwasababu haihitaji mtu uwe na PHD kuelewa kuwa Rais alitoa agizo vyombo vyote vya habari vilivyofungwa vifunguliwe. Kwa mfano kwanini eti aseme ni...
  11. DeepPond

    JamiiForums Tanzania Baada ya kauli ya Rais, nawasikitikia sana waliochukua fremu za biashara kwenye ya stendi kuu ya mabasi Mbezi

    KWA KAULI YA JPM, Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO. Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako, Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa...
  12. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

    Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana...
  13. by default

    JamiiForums Tanzania Kauli 10 zenye changamoto kwa Tanzania

    Top 10 ya kauli zenye changamoto. 1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba 2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK 3. Acheni wivu wa kike - Msekwa 4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli 5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka...
Back
Top Bottom