GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Katika ile Barua ya Kusimamisha Mchezo (Mechi) ilisema Serikali yako na kupitia Wizara yako ya Michezo ndiyo mliisimamisha.
Siku zinakaribia na kuna Timu inasema haitocheza hadi ipewe sababu ya maana ya Kusimamisha ile ya awali.
Tafadhali Waziri Bashungwa jitokeze hadharani, toa sababu ya Serikali juu ya Kusimamisha Mchezo ule na Tamko lenu pia.
Waziri Bashungwa usipoangalia na kuwa makini na hili nakuhakikishia linaweza Kugharimu hata Uwaziri wako.
Tunaomba Tamko la Serikali juu ya wale waliolipia Tiketi, Uhakika wa Mechi na sababu ya Kuihairisha ghafla vile.
Nimelileta hili tena Kwako kwakuwa tayari Wadau wa 'Derby' hii kutoka Mikoani na nje ya nchi wanataka Kuja Kuiona.
Najua Waziri Bashungwa unapatwa na 'Kigugumizi' kwakuwa ni mwana Yanga SC ila jitoe Mhanga ulimalize rasmi hili.
Sitokukumbusha hili tena ila jiangalie.
Siku zinakaribia na kuna Timu inasema haitocheza hadi ipewe sababu ya maana ya Kusimamisha ile ya awali.
Tafadhali Waziri Bashungwa jitokeze hadharani, toa sababu ya Serikali juu ya Kusimamisha Mchezo ule na Tamko lenu pia.
Waziri Bashungwa usipoangalia na kuwa makini na hili nakuhakikishia linaweza Kugharimu hata Uwaziri wako.
Tunaomba Tamko la Serikali juu ya wale waliolipia Tiketi, Uhakika wa Mechi na sababu ya Kuihairisha ghafla vile.
Nimelileta hili tena Kwako kwakuwa tayari Wadau wa 'Derby' hii kutoka Mikoani na nje ya nchi wanataka Kuja Kuiona.
Najua Waziri Bashungwa unapatwa na 'Kigugumizi' kwakuwa ni mwana Yanga SC ila jitoe Mhanga ulimalize rasmi hili.
Sitokukumbusha hili tena ila jiangalie.