Ukifatilia kwa makini mjadala unaoendelea wa kauli ya Rais dhidi ya vyombo vyahabali utajiuliza nini hofu ya serikali dhidi ya vyombo habari, hii nikwasababu haihitaji mtu uwe na PHD kuelewa kuwa Rais alitoa agizo vyombo vyote vya habari vilivyofungwa vifunguliwe.
Kwa mfano kwanini eti aseme ni...
KWA KAULI YA JPM,
Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO.
Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako,
Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa...
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana...
Top 10 ya kauli zenye changamoto.
1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba
2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK
3. Acheni wivu wa kike - Msekwa
4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli
5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.