kauli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abdul Nondo

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Spika wa Bunge Job Yustino Ndugai dhidi ya vijana

    Kutoka kauli ya vijana mjiajiri hadi kauli ya vijana kuwa wezi na kutokuwa waaminifu. Kwa ujumla wake hakuna mtu aliyefurahishwa na kauli zako Mh.Ndugai dhidi ya vijana ukiwashambulia Bungeni kwamba hawaaminiki,wana kiwango kidogo cha uwaminifu ukifafanua kwamba wakipewa mradi wasimamie wanaiba...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Bavicha yatikisa Mbeya, Kauli Takatifu ya NEVER AND NEVER AGAIN yatawala

    Hebu jionee mwenyewe na ujifanyie tathmini yako.
  3. Mjina Mrefu

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

    Wakuu, Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda.. Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki? Mimi; Kazime Taa Huyu hapa bodaboda muelekeze Shusha nyingine unazozijua..
  4. 2

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko wa kauli ya Rais na hofu ya serikali dhidi ya vyombo vya habari

    Ukifatilia kwa makini mjadala unaoendelea wa kauli ya Rais dhidi ya vyombo vyahabali utajiuliza nini hofu ya serikali dhidi ya vyombo habari, hii nikwasababu haihitaji mtu uwe na PHD kuelewa kuwa Rais alitoa agizo vyombo vyote vya habari vilivyofungwa vifunguliwe. Kwa mfano kwanini eti aseme ni...
  5. DeepPond

    JamiiForums Tanzania Baada ya kauli ya Rais, nawasikitikia sana waliochukua fremu za biashara kwenye ya stendi kuu ya mabasi Mbezi

    KWA KAULI YA JPM, Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO. Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako, Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa...
  6. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

    Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana...
  7. by default

    JamiiForums Tanzania Kauli 10 zenye changamoto kwa Tanzania

    Top 10 ya kauli zenye changamoto. 1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba 2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK 3. Acheni wivu wa kike - Msekwa 4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli 5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka...
Back
Top Bottom