Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,126
- 725
Wana ndugu.
Habari zenu? Nimeyasoma ya Sabaya nimesikitika sana Kama ni kweli. Kama ni kweli shutuma zinazosemwa basi watu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha tuwape pole. Lakini najiuliza alikuwa anajiamini namna gani?
Je lilikuwa ni kosa la watanzania, Katiba na sheria zilizondani yake, matumizi mabaya ya madaraka, dola kutumia nguvu kubwa kuwanyamazisha wananchi kwa ajili ya kumfurahisha bosi wao, watanzania kuwa busy na maisha yao ya Sasa badala ya kuangalia na ya wakati ujao, watanzania hawakujiajiri taliyokuwa yanatokea, n k
Je lilikuwa ni kosa la Refa au mwendazake au vipiiii. Hapo Sina shaka kwa sababu hata TRA waliingilia account za watu bank na kuzifungia. Tulisikia matamko ya UVICCM yakiwa makali kwa kujiamini. Tulisikia ya kutekwa na maiti kuokotwa Coco beach. Wengine wamepotea mpaka Sasa hawajulikani.
Bunge likawa vichekesho mpaka spika anajilaumu sheria zingine zimepitishwa tukiwa tumelala.
Haki za binadamu ikabidi ijitose kwa jicho Kali lakini ile kauli ya Refa na kata miwa ikapungua. Bado kuna mengi watu wamefanyiwa lakini walikuwa hawana mahali pakwenda kwa kutishiwa. Leo hii tunajua mama yetu Rais wetu atafungua njia watanzania wafungue macho tena na wajiamini Kama watanzania tena.
Sasa mwendazake kaondoka ila kaacha vivairas
Siwezi kuandika yote ila nashauri awamu ya mwendazake kiandikwe kitabu. Kielezee madhara ya kutokufuata sheria katika uongozi na hitaji la watanzania wa leo la katiba mpya.
Kitabu Kama kitaandikwa vizuri basi dunia inaweza kusaidia kupatikana kwa katiba mpya.
Watanzania ni waoga kwa sababu ya kauli Kama za Akina Muruto na Mambosasa na vijana wao. Watanzania wanajua gharama za kujitibu hawana Kama watajeruhiwa. Na wengi wanategewa na ndugu, familia n.k.
Hicho kitabu kichambue kila kitu serikalini hasa viongozi waliotumika awamu ya tano, kwa Jamii, bunge, taasisi n.k.
Habari zenu? Nimeyasoma ya Sabaya nimesikitika sana Kama ni kweli. Kama ni kweli shutuma zinazosemwa basi watu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha tuwape pole. Lakini najiuliza alikuwa anajiamini namna gani?
Je lilikuwa ni kosa la watanzania, Katiba na sheria zilizondani yake, matumizi mabaya ya madaraka, dola kutumia nguvu kubwa kuwanyamazisha wananchi kwa ajili ya kumfurahisha bosi wao, watanzania kuwa busy na maisha yao ya Sasa badala ya kuangalia na ya wakati ujao, watanzania hawakujiajiri taliyokuwa yanatokea, n k
Je lilikuwa ni kosa la Refa au mwendazake au vipiiii. Hapo Sina shaka kwa sababu hata TRA waliingilia account za watu bank na kuzifungia. Tulisikia matamko ya UVICCM yakiwa makali kwa kujiamini. Tulisikia ya kutekwa na maiti kuokotwa Coco beach. Wengine wamepotea mpaka Sasa hawajulikani.
Bunge likawa vichekesho mpaka spika anajilaumu sheria zingine zimepitishwa tukiwa tumelala.
Haki za binadamu ikabidi ijitose kwa jicho Kali lakini ile kauli ya Refa na kata miwa ikapungua. Bado kuna mengi watu wamefanyiwa lakini walikuwa hawana mahali pakwenda kwa kutishiwa. Leo hii tunajua mama yetu Rais wetu atafungua njia watanzania wafungue macho tena na wajiamini Kama watanzania tena.
Sasa mwendazake kaondoka ila kaacha vivairas
Siwezi kuandika yote ila nashauri awamu ya mwendazake kiandikwe kitabu. Kielezee madhara ya kutokufuata sheria katika uongozi na hitaji la watanzania wa leo la katiba mpya.
Kitabu Kama kitaandikwa vizuri basi dunia inaweza kusaidia kupatikana kwa katiba mpya.
Watanzania ni waoga kwa sababu ya kauli Kama za Akina Muruto na Mambosasa na vijana wao. Watanzania wanajua gharama za kujitibu hawana Kama watajeruhiwa. Na wengi wanategewa na ndugu, familia n.k.
Hicho kitabu kichambue kila kitu serikalini hasa viongozi waliotumika awamu ya tano, kwa Jamii, bunge, taasisi n.k.