GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
" Uchaguzi Mkuu halali Kikatiba CCM tutaufanya mwakani 2022 ila huu wa leo ni wa Kuziba tu nafasi na hata Rais Mama Samia akishika hatamu atakuwa ni Mfariji Mkuu kwa Viongozi wa CCM pamoja na Wanachama wote ndani na nje ya nchi "
Ukitulia kabisa, Kuichambua na hata Kuidadavua vyema hii Kauli ya Naibu Katibu Mkuu CCM Ndugu Rodrick Mpogole utagundua kuwa huenda Mama Samia (Rais) anaona anakubalika na wana CCM Waandamizi nyusoni Kwao ila Mioyoni mwao wala hayupo kabisa.
Ushauri pekee (tena wa bure) kabisa ambao nampa Mama ( Rais Samia ) kuwa akipewa tu 'Dhamana' ya Uenyekiti leo na CCM basi 'awafagie' Waandamizi wote waliokuwepo kwani kuna Hatari kubwa ya kwenda nao hadi hiyo mwakani wanaweza wakamdhoofisha na hata Kumuharibia ndani ya Chama.
Mwenyekiti mpya wa CCM (Rais Mama Samia) anatakiwa ajue kuwa CCM anayoipokea sasa ( leo ) ina Mpasuko mkubwa, Majungu na Fitina za chini chini mpaka Usaliti pia Sumu ambayo ilienziwa vyema ndani ya Chama na aliyekuwa Mwenyekiti Taifa ( sasa Hayati ) hivyo asiamini walio karibu nae na aanze na Timu yake (Kikosi chake) ili asikwame.
Kazi yangu kubwa GENTAMYCINE ni kufanya tu Critical Observation juu ya Situation fulani ambayo naiona ina ulakini na Kushauri kwa nia njema tu. Mabadiliko makubwa sana na ya haraka mno yanahitajika katika CCM ya Mwenyekiti Mtarajiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Nawatakia Wajumbe (Wapiga Kura) wote 1,862 (99%) waliopo Ukumbini sasa Kila la Kheri katika Mkutano huu Muhimu na wa Dharula ndani ya Chama (CCM) japo sina uhakika sana kama baada ya Hayati Rais Dkt. Magufuli kutangulia mbele ya Haki CCM iliyopo sasa iko United na kuna Upendo pia.
Ukitulia kabisa, Kuichambua na hata Kuidadavua vyema hii Kauli ya Naibu Katibu Mkuu CCM Ndugu Rodrick Mpogole utagundua kuwa huenda Mama Samia (Rais) anaona anakubalika na wana CCM Waandamizi nyusoni Kwao ila Mioyoni mwao wala hayupo kabisa.
Ushauri pekee (tena wa bure) kabisa ambao nampa Mama ( Rais Samia ) kuwa akipewa tu 'Dhamana' ya Uenyekiti leo na CCM basi 'awafagie' Waandamizi wote waliokuwepo kwani kuna Hatari kubwa ya kwenda nao hadi hiyo mwakani wanaweza wakamdhoofisha na hata Kumuharibia ndani ya Chama.
Mwenyekiti mpya wa CCM (Rais Mama Samia) anatakiwa ajue kuwa CCM anayoipokea sasa ( leo ) ina Mpasuko mkubwa, Majungu na Fitina za chini chini mpaka Usaliti pia Sumu ambayo ilienziwa vyema ndani ya Chama na aliyekuwa Mwenyekiti Taifa ( sasa Hayati ) hivyo asiamini walio karibu nae na aanze na Timu yake (Kikosi chake) ili asikwame.
Kazi yangu kubwa GENTAMYCINE ni kufanya tu Critical Observation juu ya Situation fulani ambayo naiona ina ulakini na Kushauri kwa nia njema tu. Mabadiliko makubwa sana na ya haraka mno yanahitajika katika CCM ya Mwenyekiti Mtarajiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Nawatakia Wajumbe (Wapiga Kura) wote 1,862 (99%) waliopo Ukumbini sasa Kila la Kheri katika Mkutano huu Muhimu na wa Dharula ndani ya Chama (CCM) japo sina uhakika sana kama baada ya Hayati Rais Dkt. Magufuli kutangulia mbele ya Haki CCM iliyopo sasa iko United na kuna Upendo pia.