Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Lissu hajielewi anajilazimisha kumkosoa Mama Samia ili aendelee kukaa ubelgiji
Hivi Amsterdam kaishia wapi?Lissu hajielewi anajilazimisha kumkosoa Mama Samia ili aendelee kukaa ubelgiji
Kumwelewa Lissu inahitaji uwe na akili kubwa snMheshimiwa Lissu ana hoja za msingi sana,nafikiri vyama vya siasa na asasi za kiraia zina wajibu mkubwa kupigania mapungufu yote katika katiba yetu.
Vipi suala la usalama wake?Arudi kuna ajira inamsubiri itakayomrudisha tena bungeni.
AG!
Huyo ni zwazwaUkiwa na akili ndogo utawaza hivyo.
Sukuma gangHuyu mama maneno matamu vitendo ni zero
SawaSukuma gang
Mbona kauli tata sana ya Lissu. Ana kaulitamu lakini hatendi au tumweleweje Lissu .Au kauli ya juzi kuwa Mhe. Rais atateua hata nje yaCCM Lissu kanusa fursa. Kea mizenvwe ya uchaguzi wa mwaka jana ili mama akubalike kimataifa si ajabu kuna masharti anapewa na jamii ya kimataifa aoneshe serikali jumuishi. CCM hatujawahi kuwa na huruma kwa upinzani na mtaona 2025 eldctions.kumbukizi ya kufutiwa dola 500mln za barabara sumbaeangawalilofuta uchaguzi znz.Sawa
Balaa tupuMbona kauli tata sana ya Lissu. Ana kaulitamu lakini hatendi au tumweleweje Lissu .Au kauli ya juzi kuwa Mhe. Rais atateua hata nje yaCCM Lissu kanusa fursa. Kea mizenvwe ya uchaguzi wa mwaka jana ili mama akubalike kimataifa si ajabu kuna masharti anapewa na jamii ya kimataifa aoneshe serikali jumuishi. CCM hatujawahi kuwa na huruma kwa upinzani na mtaona 2025 eldctions.kumbukizi ya kufutiwa dola 500mln za barabara sumbaeangawalilofuta uchaguzi znz.
[/URL]
Kayafa kaishia wapi?Hivi Amsterdam kaishia wapi?