Vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida, rais wa Chad aliuawa na Waasi

Yohana469

JF-Expert Member
Feb 16, 2021
302
448
Hakika hayati magufuli atazidi kukumbukwa vizazi na vizazi kwa maneno yake yenye maono alikuwa mara nyingi kwenye hotuba zake anasema "vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida" hii kauli nimeitafakari sana baada ya kuona yaliyotokea nchi ya chadi juzi kiongozi wao aliyeuawa na waasi kirahisi kabisa.

Raisi Idris derby aliuawa na waasi katika mji uliopo kaskazini mwa chadi sasa juzi cha kushangaza nimemwona juzi Raisi wa ufaransa Bwana Emanuel macron amehuzuria mazishi ya kiongozi huyo wa chadi na alipopewa nafasi ya kuongea alisema" sisi kama ufaransa tutaulinda kwa hali na mali utawala mpya wa chadi"sasa wadau tujiulize muda wote ufaransa ilishindwa kuulinda utawala wa chadi dhidi ya makundi ya kigaidi.

Je, walishindwa kuyadhibiti makundi ya waasi na kuyamaliza ?yaani mpaka kifo kilipotokea ndo wanasema tutaulinda uongozi mpya kwa hali na mali wa serikali ya chadi.

Ila ninachotambua huko "nyuma ya pazia wao ndio waratibu wakuu wa hayo makundi ya kigaidi na kupanga kuzipindua serikali za africa kwa ajili ya malengo yao ya kutaka kuiba rasilimali za mafuta na gesi ",hivi nani hajui nchi ya chadi na msumbiji zina rasilimali ya mafuta kwa wingi tena msumbiji hadi gesi inayo na imeingia hadi tz mtwala huko Ni matani na matani ya mafuta yako huko chini ya ardhi.

Daah kiukweli hayati magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi.
 
We unaijua historia ya Chad mkuu?

Ulitaka Ufaransa wamlinde Rais wa Chad aliyeuwawa, ni kazi yao hiyo? Waliombwa? Kwanini serekali yake hawakumlinda unadhani, yaani wewe badala uilaumu serekali ya Chad kutokumlinda Rais wao unawalaumu wafaransa. Kusema watamlinda wa sasa maana yake wameona kuna matatizo ndio maana.

Ukiitwa ulete ushahidi kuwa wafaransa wanaratibu makundi ya magaidi utaweza?
 
Ufaransa wakalinde Dikteta Fulani king'ang'anizi wa madaraka, muuaji wa wapinzani wake? Deby aliingia madarakani kwa mtutu wa Bunduki, akatengeneza chaguzi bandia na kushinda kwa asilimia alizotaka yeye. Wananchi wamechoka wakamtegeshea kifo, halafu unataka Ufaransa ifanye nini na Dikteta?
 
We unaijua historia ya Chad mkuu?

Ulitaka Ufaransa wamlinde Rais wa Chad aliyeuwawa, ni kazi yao hiyo? Waliombwa? Kwanini serekali yake hawakumlinda unadhani, yaani wewe badala uilaumu serekali ya Chad kutokumlinda Rais wao unawalaumu wafaransa. Kusema watamlinda wa sasa maana yake wameona kuna matatizo ndio maana.

Ukiitwa ulete ushahidi kuwa wafaransa wanaratibu makundi ya magaidi utaweza?
Ni mpumbavu asiyefahamu kuwa France walianzisha mziki Libya kupitia DJ Aftahhh na CHAD na Libya ni ATM zao.
 
hakika hayati magufuli atazidi kukumbukwa vizazi na vizazi kwa maneno yake yenye maono alikuwa mara nyingi kwenye hotuba zake anasema "vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida" ...
Rubbish, uyo ibilisi utamkumbuka ww na familia yako
 
hakika hayati magufuli atazidi kukumbukwa vizazi na vizazi kwa maneno yake yenye maono alikuwa mara nyingi kwenye hotuba zake anasema "vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida" hii kauli nimeitafakari sana baada ya kuona yaliyotokea nchi ya chadi juzi kiongozi wao aliyeuawa na waasi kirahisi kabisa,Raisi Idris derby aliuawa na waasi katika mji uliopo kaskazini mwa chadi sasa juzi cha kushangaza nimemwona juzi Raisi wa ufaransa Bwana Emanuel macron amehuzuria mazishi ya kiongozi huyo wa chadi na alipopewa nafasi ya kuongea alisema" sisi kama ufaransa tutaulinda kwa hali na mali utawala mpya wa chadi"sasa wadau tujiulize muda wote ufaransa ilishindwa kuulinda utawala wa chadi dhidi ya makundi ya kigaidi ,je walishindwa kuyadhibiti makundi ya waasi na kuyamaliza ?yaani mpaka kifo kilipotokea ndo wanasema tutaulinda uongozi mpya kwa hali na mali wa serikali ya chadi ,ila ninachotambua huko "nyuma ya pazia wao ndio waratibu wakuu wa hayo makundi ya kigaidi na kupanga kuzipindua serikali za africa kwa ajili ya malengo yao ya kutaka kuiba rasilimali za mafuta na gesi ",hivi nani hajui nchi ya chadi na msumbiji zina rasilimali ya mafuta kwa wingi tena msumbiji hadi gesi inayo na imeingia hadi tz mtwala huko Ni matani na matani ya mafuta yako huko chini ya ardhi,daah kiukweli hayati magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi
hakika hayati magufuli atazidi kukumbukwa vizazi na vizazi kwa maneno yake yenye maono alikuwa mara nyingi kwenye hotuba zake anasema "vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida" hii kauli nimeitafakari sana baada ya kuona yaliyotokea nchi ya chadi juzi kiongozi wao aliyeuawa na waasi kirahisi kabisa,Raisi Idris derby aliuawa na waasi katika mji uliopo kaskazini mwa chadi sasa juzi cha kushangaza nimemwona juzi Raisi wa ufaransa Bwana Emanuel macron amehuzuria mazishi ya kiongozi huyo wa chadi na alipopewa nafasi ya kuongea alisema" sisi kama ufaransa tutaulinda kwa hali na mali utawala mpya wa chadi"sasa wadau tujiulize muda wote ufaransa ilishindwa kuulinda utawala wa chadi dhidi ya makundi ya kigaidi ,je walishindwa kuyadhibiti makundi ya waasi na kuyamaliza ?yaani mpaka kifo kilipotokea ndo wanasema tutaulinda uongozi mpya kwa hali na mali wa serikali ya chadi ,ila ninachotambua huko "nyuma ya pazia wao ndio waratibu wakuu wa hayo makundi ya kigaidi na kupanga kuzipindua serikali za africa kwa ajili ya malengo yao ya kutaka kuiba rasilimali za mafuta na gesi ",hivi nani hajui nchi ya chadi na msumbiji zina rasilimali ya mafuta kwa wingi tena msumbiji hadi gesi inayo na imeingia hadi tz mtwala huko Ni matani na matani ya mafuta yako huko chini ya ardhi,daah kiukweli hayati magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi
Amewatendea watu uovu mwingi kuliko wema.

Wema hawafi katika mioyo iliyofadhila.

Lakini waovu hawaishi
 
hakika hayati magufuli atazidi kukumbukwa vizazi na vizazi kwa maneno yake yenye maono alikuwa mara nyingi kwenye hotuba zake anasema "vita ya kiuchumi ni mbaya sana kuliko vita vingine vya kawaida" hii kauli nimeitafakari sana baada ya kuona yaliyotokea nchi ya chadi juzi kiongozi wao aliyeuawa na waasi kirahisi kabisa,Raisi Idris derby aliuawa na waasi katika mji uliopo kaskazini mwa chadi sasa juzi cha kushangaza nimemwona juzi Raisi wa ufaransa Bwana Emanuel macron amehuzuria mazishi ya kiongozi huyo wa chadi na alipopewa nafasi ya kuongea alisema" sisi kama ufaransa tutaulinda kwa hali na mali utawala mpya wa chadi"sasa wadau tujiulize muda wote ufaransa ilishindwa kuulinda utawala wa chadi dhidi ya makundi ya kigaidi ,je walishindwa kuyadhibiti makundi ya waasi na kuyamaliza ?yaani mpaka kifo kilipotokea ndo wanasema tutaulinda uongozi mpya kwa hali na mali wa serikali ya chadi ,ila ninachotambua huko "nyuma ya pazia wao ndio waratibu wakuu wa hayo makundi ya kigaidi na kupanga kuzipindua serikali za africa kwa ajili ya malengo yao ya kutaka kuiba rasilimali za mafuta na gesi ",hivi nani hajui nchi ya chadi na msumbiji zina rasilimali ya mafuta kwa wingi tena msumbiji hadi gesi inayo na imeingia hadi tz mtwala huko Ni matani na matani ya mafuta yako huko chini ya ardhi,daah kiukweli hayati magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi
Eti wafaransa wanaratibu makundi ya kigaidi! Shame on you!
 
Ufaransa wakalinde Dikteta Fulani king'ang'anizi wa madaraka, muuaji wa wapinzani wake? Deby aliingia madarakani kwa mtutu wa Bunduki, akatengeneza chaguzi bandia na kushinda kwa asilimia alizotaka yeye. Wananchi wamechoka wakamtegeshea kifo, halafu unataka Ufaransa ifanye nini na Dikteta?
ndugu zetu hapo msumbiji je kiongozi wao ni dikteta? wakati msumbiji inaendeshwa wa demokrasia kundi la kigaidi limeshaua zaidi ya watu 2500 toka lianze 2017 ,hayo mataifa ya magharibi yanashindwaje kuyamaliza makundi ya kighaidi
 
Huyo Derby alikuwa jenerali na alipenda sana kwenda front line kupigana mwenyewe maana majenerali wake walikuwa washamchoka alikuwa aneshafikia hatua ya kuwa unbearable. Mara nyingi sana amekuwa anaenda front line hiyo ilitokea ajari kazini wala hakuuwawa.

Kakaa madarakani miaka 31 waasi walitaka aondoke, ulitaka Ufaransa ifanyeje? Kwanza Ufaransa ilikuwa inaunga mkono majeshi ya Chad yakiyokuwa yanapigana na wassi mbalimbali ule ukanda. Chad ndio nchi pale yenye battle hardened troops kuliko hata Nigeria. Wamepigana vita tangu miaka ya 1980s uko hadi leo wanakuwa na mapigano frequently.

Huyo mwanae mwenye 31yrs alikuwa jenerali mkuu wa kikosi cha kumlinda rais baba yake. Mwenyewe alishiriki vitani Mali miaka ya 2010s, in short wale sio watu wa kujificha ofisini wakatuma wanajeshi. Ninachojua ni kuwa uasi utaendelea kwa vile Derby kaondoka ila karithiwa na mwanae kinyume na katiba. Pia Ufaransa itaendelea kuunga mkono maana hawavurugiwi maslahi yao.

Derby amekoswakoswa sana tangu 2006, kuna muda walifika mpaka kasri lake wakatupa maguruneti ndani ila walishindwa kuruka kuta. Kuna wakati alichimba trench kuzunguka mji mkuu Ndjamena, upo mpakani kabisa na Nigeria sijui kwanini hawauhamishi.
 
Amewatendea watu uovu mwingi kuliko wema.

Wema hawafi katika mioyo iliyofadhila.

Lakini waovu hawaishi
Lengo langu sio kutetea Madikteta, ila nikukumbushe tu kuwa maovu unayo yaona duniani kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na Marekani, ufaransa, Uingereza, Ubelegiji nk. Mbona George Bush, Tony Blair na Sarkozy wapo? Uovu wao dhidi ya binadamu umesahau?
 
Lengo langu sio kutetea Madikteta, ila nikukumbushe tu kuwa maovu unayo yaona duniani kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na Marekani, ufaransa, Uingereza, Ubelegiji nk. Mbona George Bush, Tony Blair na Sarkozy wapo? Uovu wao dhidi ya binadamu umesahau?
hapo umeongea %kubwa ya mizozo duniani hasa nchi za africa magharibi ,mashariki ya kati uarabuni imechochewa na mataifa ya maharibi "nato"na marekani kutengeneza makundi ya kigaidi kwa malengo ya kuchukua rasilimali zao hasa mafuta na gesi
 
Back
Top Bottom