imani

Imani Hakim (born August 12, 1993) is an American actress. She is best known for her role as Tonya Rock on the UPN/CW sitcom Everybody Hates Chris as well as portraying Olympic gold medalist Gabrielle Douglas in the 2014 Lifetime original movie The Gabby Douglas Story.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    VETA na double standard salary

    Pole na kazi Mkuu! Ni imani yangu u mzima wa afya na unaendelea vyema na kuchapa kazi ya kujenga nchi yetu na ni imani yangu pia ujumbe huu utaupata na kuufanyia kazi. Kwa ufahamu wangu mdogo nimeona hii ni platfom nzuri kwangu kuweza kukufikishia malalamiko yangu kama siyo yetu sababu sina...
  2. CONTROLA

    Usichanganye Imani yako na Biashara,si nzuri inakupotezea wateja

    Biashara zina mbinu nyingi sana za uendeshwaji kila mtu anatumia mbinu yake ili kupata wateja wake ila huwa nawambiaga watu kila siku ktk biashara hamna kitu kirahisi kama kupata mteja/wateja,yani katika vitu huwa virahisi hicho ni namba 1. Shida/mtihani/mziki huja wapi unajua? Kumfanya yule...
  3. smaki

    Hivi hawa tangu zamani za mababu kuna imani, ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi yaani Albinism, wakifa ni kweli miili yao inapotea? au haionekani?

    As mentioned above, je ni kweli kuwa hawafi bali hutwaliwa? au hupotea? ni nanai kati yetu humu amewahi kuhudhuria mazishi ya albino, mbali na wale wanaofanyiwa ukatili wa kutisha? nimeuliza hili swali Africa kusini yote! jibu ni hawajawahi kushuhudia mazishi ya albino! Je ni kweli...
  4. A

    Imani imepungua

    Niaje wana jf,,nkumbuka nliandka uzi wa kutafta girlfriend miak 18-24 na MUNGU alnsaidia nkampata mtu hum ndan(stomsema jna) alkua na miak 25 kanzid miak 5..nmekaa nae kwenye mahusiano huku tukifahamian kiundan zaidi kw mda Sku moja nkamwombe tukapime afya zetu,,bt akawa mgumu katk sekta...
  5. J

    Vyama 12 vya upinzani nchini Vyamkana Mbowe na Chadema, vyasema vitashiriki uchaguzi chini ya NEC kwani wana Imani nayo

    Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli. Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha...
  6. malisoka

    Serikali Iliyochanganyikiwa ni "Ile inayopigana na Imani za Watu"

    Udini ni simu kwa taifa. Udini huondoa umoja na uzalendo. Udini huondoa mshikamano kati ya dini na dini. Iwapo serikali kwa msisimko au kukurupuka kuingilia masuala ya imani za watu, itafanya kosa kubwa. kitaka kuwabana wachungaji, mashehe na wale wa dini za jadi, Basi wote wawe kwenye level...
  7. J

    Simbachawene: Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuanzisha Makanisa, Wachungaji watapaswa kuwa na Shahada ili kupunguza "Vibanda Imani"

    Waziri wa mambo ya ndani Mh Simbachawene amesema kufuatia vifo vya watu 20 kwenye Huduma ya Mwamposya huko Moshi, serikali itaangalia upya utaratibu wa kusajili hizi Huduma. Simbachawene amesema Wachungaji wanaoanzisha Huduma za kiimani watapaswa kuwa na shahada ili kupunguza " Vibanda Imani"...
  8. C

    Kila nikikumbuka hili tukio la Hostel ya Mabibo UDSM huwa Nakosa imani!

    Maisha ya wanachuo huwa yana Maigizo Mengi hasa kwa Dada zetu, leo nakumbuka tukio Moja la Mwaka 2010 Pale Hosteli za Mabibo za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Block D Nikiwa Pale Hostel ya udsm mabibo nilikaa na mshikaji mmoja room moja, alikuwa first year mimi nikiwa second year.. Huyu bwana...
Back
Top Bottom