Imani Hakim (born August 12, 1993) is an American actress. She is best known for her role as Tonya Rock on the UPN/CW sitcom Everybody Hates Chris as well as portraying Olympic gold medalist Gabrielle Douglas in the 2014 Lifetime original movie The Gabby Douglas Story.
Pole na kazi Mkuu!
Ni imani yangu u mzima wa afya na unaendelea vyema na kuchapa kazi ya kujenga nchi yetu na ni imani yangu pia ujumbe huu utaupata na kuufanyia kazi.
Kwa ufahamu wangu mdogo nimeona hii ni platfom nzuri kwangu kuweza kukufikishia malalamiko yangu kama siyo yetu sababu sina...
Biashara zina mbinu nyingi sana za uendeshwaji kila mtu anatumia mbinu yake ili kupata wateja wake ila huwa nawambiaga watu kila siku ktk biashara hamna kitu kirahisi kama kupata mteja/wateja,yani katika vitu huwa virahisi hicho ni namba 1.
Shida/mtihani/mziki huja wapi unajua? Kumfanya yule...
As mentioned above, je ni kweli kuwa hawafi bali hutwaliwa? au hupotea? ni nanai kati yetu humu amewahi kuhudhuria mazishi ya albino, mbali na wale wanaofanyiwa ukatili wa kutisha? nimeuliza hili swali Africa kusini yote! jibu ni hawajawahi kushuhudia mazishi ya albino!
Je ni kweli...
Niaje wana jf,,nkumbuka nliandka uzi wa kutafta girlfriend miak 18-24 na MUNGU alnsaidia nkampata mtu hum ndan(stomsema jna) alkua na miak 25 kanzid miak 5..nmekaa nae kwenye mahusiano huku tukifahamian kiundan zaidi kw mda
Sku moja nkamwombe tukapime afya zetu,,bt akawa mgumu katk sekta...
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.
Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha...
Udini ni simu kwa taifa.
Udini huondoa umoja na uzalendo.
Udini huondoa mshikamano kati ya dini na dini.
Iwapo serikali kwa msisimko au kukurupuka kuingilia masuala ya imani za watu, itafanya kosa kubwa.
kitaka kuwabana wachungaji, mashehe na wale wa dini za jadi, Basi wote wawe kwenye level...
Waziri wa mambo ya ndani Mh Simbachawene amesema kufuatia vifo vya watu 20 kwenye Huduma ya Mwamposya huko Moshi, serikali itaangalia upya utaratibu wa kusajili hizi Huduma.
Simbachawene amesema Wachungaji wanaoanzisha Huduma za kiimani watapaswa kuwa na shahada ili kupunguza " Vibanda Imani"...
Maisha ya wanachuo huwa yana Maigizo Mengi hasa kwa Dada zetu, leo nakumbuka tukio Moja la Mwaka 2010 Pale Hosteli za Mabibo za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Block D
Nikiwa Pale Hostel ya udsm mabibo nilikaa na mshikaji mmoja room moja, alikuwa first year mimi nikiwa second year.. Huyu bwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.