Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewafungia baadhi ya wazabuni ambao wamekuwa wakikikiuka mikataba ya ununuzi, kujihusisha na vitendo kinyume na maadili ya sheria za ununuzi wa umma.
Ukosefu wa uwazi katika mchakato wa ununuuzi wa umma kunasababisha changamoto za upatikanaji wa taarifa za zabuni, thamani ya mkataba na kusababisha ukosefu na uaminifu na imani kwa taasisi za umma pia hata wananchi wanakosa imani kwa serikali kutokana na matumizi yasiyoeleweka
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Eliakim Maswi
Ukosefu wa uwazi katika mchakato wa ununuuzi wa umma kunasababisha changamoto za upatikanaji wa taarifa za zabuni, thamani ya mkataba na kusababisha ukosefu na uaminifu na imani kwa taasisi za umma pia hata wananchi wanakosa imani kwa serikali kutokana na matumizi yasiyoeleweka
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Eliakim Maswi