RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Fortilo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
4,722
14,248
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇


 
Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambae pia ni kada wa chama cha mapinduzi Adam Kighoma Malima, ameungana na watanzania wengine kupinga namna mjadala wa DP World unavyoendeshwa na mashabiki wa chama hicho cha CCM.


Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
 
Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambae pia ni kada wa chama cha mapinduzi Adam Kighoma Malima, ameungana na watanzania wengine kupinga namna mjadala wa DP World unavyoendeshwa na mashabiki wa chama hicho cha CCM.


Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Kaongea vizuri kabisa. "Tutazame tutakapoingia ubia hili linafaa hili halifai...".


Na hayo ndiyo serikali yoe inasema hivyo, kila mtu kinamna ya kuongea kwake".


Ubia bado, mkataba bado. ndiyo yote hayo yanapitiwa kwa kina kwa sasa na wataalaam wetu. Heko Malima.
 
Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambae pia ni kada wa chama cha mapinduzi Adam Kighoma Malima, ameungana na watanzania wengine kupinga namna mjadala wa DP World unavyoendeshwa na mashabiki wa chama hicho cha CCM.


Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Usiku anatenguliwa, Zuhura Yunus uko wapi?
BUT akimtengua amelichochea.......... watafuata wengi.....
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Hivyo mleta mada umepotosha!.
P
Anamtahadharisha nani hasa?
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Hivyo mleta mada umepotosha!.
P
Kama umemsikiliza hakusema, ni SAWA maana unathibitisha kuwa HAKUSEMA wala watu wasiweke maneno ambayo hayakusemwa.

Swala la collective responsibility hilo achana nalo. Ccm waseme ndiooo, Bunge la wabunge wa ccm majority liseme ndiooona serkali ya ccm iseme ndioooo, haizuiii mtu mmoja wa ccm ndani ya serkali kusema siooooo, hata kama iwe ni kwa gharama ya maisha yake.

Ikifika sehemu eti kwa kuhofu nafasi yako ndani ya serkali husemi kile unaona ndio sahihi ni UOGA na uoga ni Utumwa

Uhuru wa Maoni ni haki ya kisheria na kikatiba.
 
Mkuu wa mkoa wa Morogoro ambae pia ni kada wa chama cha mapinduzi Adam Kighoma Malima, ameungana na watanzania wengine kupinga namna mjadala wa DP World unavyoendeshwa na mashabiki wa chama hicho cha CCM.


Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe
Akafafanua kwamba wale sio wajomba zetu.. na muhim ni mkataba wenye maslahi kwa taifa na si vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom