Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,718
Wanaosema wananchi wana mashaka na Rais hawasemi kweli. Rais Samia alikwenda Mwanza juzi,watu wengi wamehudhuria mikutano yake. Na CCM wanatazama yote hii. Wanaona jinsi watu walivyokuwa na imani na Samia. Ile mikutano wanakuwepo watu wa CCM wengi,lakini wapo wengi ambao wanaongozana nao ambao siyo CCM. Na CCM wanafurahi kuwaona watu wengi wanaongozana nao kwena kwenye hii mikutano,ama sivyo wanaweza kulazimika kumsimamisha kazi Rais.
Wananchi hawajaonyesha kukata tamaa kuhusu huyu Rais,kwa hiyo hakuna sababu ya haya manung'uniko kuendelea.
Kama wananchi hawajaonyesha upinzani kwa maneno yao,au kwa matendo yao,Rais ina maana ni Rais halali.
Nilikuwa ndani ya daladsla doku mika,nadhani nilikuwa nakwenda Mbagala. Hii ilikuwa 2015 wakati wa Kampeni za Uchafuzi. Yule dereva wa daladala alikuwa anasema,"Tazama 'landscape'ilivyobadilika. Mtu alieondoka nchini miaka michache iliyopita,akirudi,ataona maendeleo makubwa sana. Lakini nilikuwa natazama katika mtandao wa kijamii,kila mtu pale alikuwa anampinga rais. Hii inasababishwa na nini?"
(Of course,yule mtu illiterate hakusema 'landscape'but I think you get my meaning). JF siyo measure ya nani anapendwa na wananchi.
Wananchi hawajaonyesha kukata tamaa kuhusu huyu Rais,kwa hiyo hakuna sababu ya haya manung'uniko kuendelea.
Kama wananchi hawajaonyesha upinzani kwa maneno yao,au kwa matendo yao,Rais ina maana ni Rais halali.
Nilikuwa ndani ya daladsla doku mika,nadhani nilikuwa nakwenda Mbagala. Hii ilikuwa 2015 wakati wa Kampeni za Uchafuzi. Yule dereva wa daladala alikuwa anasema,"Tazama 'landscape'ilivyobadilika. Mtu alieondoka nchini miaka michache iliyopita,akirudi,ataona maendeleo makubwa sana. Lakini nilikuwa natazama katika mtandao wa kijamii,kila mtu pale alikuwa anampinga rais. Hii inasababishwa na nini?"
(Of course,yule mtu illiterate hakusema 'landscape'but I think you get my meaning). JF siyo measure ya nani anapendwa na wananchi.