hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. FRANCIS DA DON

    Je, hii ni sanamu ya nani, nasikia imezinduliwa Addis Ababa huko Ethiopia

    Sanamu yenyewe ndio hiyo hapo chini, ni sanamu ya nani hiyo?
  2. N

    Hii nchi ina mambo ya ajabu sana! Eti wanapima uzalendo kwa mtu kuteseka

    Kuna picha moja inatend ya mmoja wapo wa mtumishi wa Afya akiwa amebeba vaccine carrier kwa maana chanjo akivuka mto kwenda kutoa chanjo. Ile picha imenifikirisha sana kwanza yule mtumishi wa Afya ni mpumbavu,mjinga na hajielewi yaani unavuka kwenye mto ili iweje? Je, haoni hatari ilioje? Na...
  3. Mganguzi

    Baada ya Samweli Sitta spika wa viwango! Sasa ni Tulia Ackson Mwansasu homa ya jiji

    Bila unafiki, ushambenga, uchawa na ukurung'unzu wowote. Nasimama kusema katika umri wangu spika Bora niliyewahi kumuona na kumkubali alikuwa Samweli Sitta mzee wa viwango! Lakini kwa sasa nchi ipo mikono salama chini ya spika Tulia Ackson Mwansasu. Huyu mtu sio tu ni spika bali tumepata...
  4. Mjanja M1

    Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

    Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024. Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi...
  5. uran

    Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

    1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo. Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa. Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo. Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta...
  6. Equation x

    Wakuu, mlishakutana na hii hali?

    Mambo yamebadilika wakuu Zamani ilikuwa mwanaume ndio anaomba namba kwa mwanamke, na anaishia kuzungushwa zungusha na mwisho wa siku anaweza asipewe namba. Ila nyakati hizi mambo yamebadilika; wanawake ndio wanaomba namba, na ukimpatia tu; anaanza kukusumbua muweze kuonana na kupangilia...
  7. WeedLiquorz

    Hii ndio Injili yenye nguvu zaidi dunia ya sasa

    Salaam, Je, wewe ni Mchungaji au una ndoto ya Kumiliki Kanisa? Basi huitaji kutumia Nguvu nyingi, Pesa nyingi wala Muda mwingi kuzunguka huko duniani ukitangaza neno. Unachopaswa kufanya sasa: 1. Acha kabisa kukemea dhambi kanisani. 2. Jitahidi kuchekesha wakati wa ibada. 3. Jenga urafiki...
  8. Kiboko ya Jiwe

    Nimezunguka Gongolamboto sokoni hakuna sukari, hivi hii nchi ina uongozi?

    Daaaaahh Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi. Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa. Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa...
  9. GENTAMYCINE

    Hivi hii ya Mgawo wa Umeme kuendelea hadi June 2024 nimeisikia mahala jana peke yangu tu au?

    Rais Samia alituambia kwa uhakika kuwa hadi Mwezi ujao Machi Mgawo hautokuwepo tena na TANESCO nao wakasema hadi Mwezi huu wa Februari kutakuwa hakuna tena Mgawo wa Umeme na hatimaye jana nimesikia ( labda niwe nimesikia vibaya ) kuwa sasa Mgawo wa Umeme tutaenda nao na utaisha Mwezi June...
  10. Suley2019

    Yanayojiri katika mahojiano ya Tundu Lissu Star TV leo Februari 16, 2024

    https://www.youtube.com/watch?v=IqmxT2cZNSM Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu yupo Star TV muda huu akifanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha The Big Ajenda. Fuatana nami katika uzi huu ambao utamulika baadhi ya hoja zinazoibuka: TUNDU LISSU KUHUSU LOWASSA NA KESI YA UFISADI DPP...
  11. Abraham Lincolnn

    Hili la umeme ni ishara tosha kwamba serikali hii ni failure, haipaswi kurudi

    Sasa hivi ukienda kila mahali na kila kona ya nchi, vilio vya umene vimetawala, mbaya zaidi ukiuliza sababu ya mgao wa umeme ni maajabu ya kushangaza kwani hakuna sababu yoyote ya msingi huku uongo na ahadi zilizojaa uongo mtupu zikitaradadi! Wakati huo kiongozi mkuu wa nchi anabadilisha tu...
  12. Mjanja M1

    Video: Hii Teknolojia ipigwe marufuku kwenye mikusanyiko ya watu

    Video: Hii Teknolojia ipigwe marufuku kwenye mikusanyiko ya watu Itazua Balaa! 😂
  13. R

    Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

    Nchi inaingozwa na kauli za uwongo bila kuhusisha wataalamu moja kwa moja kila kitu ni siasa
  14. Wimbo

    Waziri Bashungwa pamoja na kazi nzuri unayoifanya kuna baadhi ya Watumishi wako wanakuharibia

    Mh. Innocent Bashungwa wewe ni Mtu makini sana na ndiyo maana kila wizara unayopelekwa unafanya vizuri sana. hongera sana, lakini kuna watu wanakuharibia kazi, tarehe 11 February 2024 mtumishi wako wa office ya Tanroad Njombe kwa mbwembwe tu na akiwa mlevi kazini alimshambulia mkandalasi kwa...
  15. P

    Wakuu hii chachua ya wahindi irudishwe tu.

    Nmeona watu wana kumbushia experience yao na hii kitu huko X,sisi tuliyo ikuta inapotea mpk leo tuna experience na huu ugolo wa wamasai. Wanasema ni kali kuliko ugoro wa kawaida sasa wahindi wanaweza kumudu vipi na sisi tukashindwa.
  16. MSAGA SUMU

    Kwa hii PA ya leo kuhusu maandamano, hamna mtu ambaye atasema hakusikia

    Baada ya maandamano ya Chadema Dar kushindwa kufana kama ilivyotakiwa, sababu kubwa ilisemwa ni taarifa kushindwa kuwafikia wananchi kwa wakati. Hili tatizo haliwezi kujitokeza tena Mwanza, maana magari yamezunguka Mwanza nzima kutoa taarifa. Kila baada ya saa moja kulikuwa na gari linapita...
  17. K

    Kwa picha hii. Je ni grade ya ngapi katika zile grade nne za bawasiri

    Samahani wa ungwana ni mara ya tatu tena nakuja kwenu. Bado nauguza vidonda nilivyovipata huko nyuma kwa matibabu ya bawasiri yasio sahii. Nataka nikipona vidonda niende hospital kwa matibabu zaidi lkn. Kilicho nileta kwenu tena ni hii picha ambayo nimewaletea wale watalaamu wa kujua aina za...
  18. K

    Kwa picha hii. Je, ni grade ya ngapi katika zile grade nne za bawasiri?

    Samahani wa ungwana ni mara ya tatu tena nakuja kwenu. Bado nauguza vidonda nilivyovipata huko nyuma kwa matibabu ya bawasiri yasio sahihi. Nataka nikipona vidonda niende hospital kwa matibabu zaidi lkn. Kilichonileta kwenu tena ni hii picha ambayo nimewaletea wale watalaamu wa kujua aina za...
Back
Top Bottom