Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,155
Reaction score
22,077
Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are.

Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza kurudia kile ulicho kiona na kufunzwa. So unakuwa kama program ya komputa ambayo ikipewa instructions Fulani lazima itowe specific autcome.

Ila, Nini kinacho kutofautisha? Je ni jina, elimu, mali, au utamaduni uliokulia?

Wengi wetu tunaishi kama wanyama tu, japo kuwa tumepewa vipawa mbalimbali na muumba.. Kuna watu wengi sana nimeshuhudia wakiishi maisha ya dhiki, Mimi mwenyewe included, unaamka asubuhi kwenda kufanya kazi usiyoipenda, uonekane, ili uifaidishe jamii usiyoiamini na kutimiza malengo yasiyo na fulfilment.

Watu wengi hujifunga kwenye maisha yasiyowapa amani kwa sababu wanaogopa kuhukumiwa.

Ila nikaja kuona sio kwamba watu hatutambui Hilo, ila inatubidi kuwa hivyo.. kuishi tukiumia ndani ingawali familia inakula, wazee nyumbani wanapata fahari, na walimwengu wanakupa heshima ya mchongo. Ni vyema kuwa hivyo, kuliko kuonekana mjinga, kutumia kipawa au talanta au kufanya kitu kisicho lipa.

Nipsey Hussle aliwahu kusema,

"Would you rather be at war with yourself and at peace with the world, or at peace with yourself and at war with the world?".

Hii kitu Huwa, inaniumiza sana, moyoni najua nataka kuishi maisha Gani (hata kama sio objectively) ila najua huu uhalisia ninaoishi haunifanyi niwe huru,
Au labda nafanya ilimradi niwe accepted, watu waone nafanya progress ila nagundua sio Mimi tu, Kila ifikapo ijumaa sura za wenzagu wote pamoja na yangu Huwa na Nuru ambayo temporarily inapunguza burnout na maumivu ya ku commute kwenye kitu kisicho kwepeka.

Ila, Sasa itabidi nifanye maamuzi, maamuzi ambayo Kwa muda, au milele yatawaumiza watu wa karibu, itanipasa kujiwekea malengo madhubuti, na itabidi nijichague, kama jinsi watu wengi maarufu walivyo Fanya, kupambania ndoto zao. Katika jamii tusipende kukaa na watu wazima walioshindwa these people are toxic, hasa vijiweni. Find who you are, stay true na utapata kundi lako.

Najua kuna watu wako serikalini au sekta binafsi, wanaingia kazini kila siku huku ndani wakijua mioyo yao inataka kitu kingine. Unafanya kazi kiwandani lakini unatamani kumiliki kampuni. Umechoka kuishi ndoto ambazo si zako. Umechoka kuonekana sawa huku ndani unajisikia kupotea. Lakini bado unaendelea, si kwa sababu unapenda hayo maisha, bali unaogopa kuanza upya na kuwa vile ulivyo kweli.

Sipo hapa kukuamsha kwasababu mtazamo wako na jinsi unavyojihisi ndani ni tayari umacho. Sipo hapa kukupa mbinu au kukuambia itawezekana, nipo hapa kukuambia huwezi kujua hayo yote endapo hautajaribu. Take that leap, Anza hata kwa kuandija notes chumbani kwako, weka wallpaper kwenye simu yako. Muombe muumba wako, Kwa Imani yako na hata kama Haina Imani ya nje, wewe mwenyewe nafsini mwako unajua unataka Nini. Stop waiting nenda kafanye, utachekwa trust me, utarudishwa nyuma na kukumbushwa haiwezekani, lkn unatakiwa ustahimili.

Anyways, nisiwachoshe, nahisi kwa atakaeona ujumbe una maana au ni Mimi tu nakukosa kwangu usingizi,(msaada sijalala kikamilifu Kwa siku7) nalala saa 9 naamka saa3.
 
Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are.

Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza kurudia kile ulicho kiona na kufunzwa. So unakuwa kama program ya komputa ambayo ikipewa instructions Fulani lazima itowe specific autcome.

Ila, Nini kinacho kutofautisha? Je ni jina, elimu, mali, au utamaduni uliokulia?

Wengi wetu tunaishi kama wanyama tu, japo kuwa tumepewa vipawa mbalimbali na muumba.. Kuna watu wengi sana nimeshuhudia wakiishi maisha ya dhiki, Mimi mwenyewe included, unaamka asubuhi kwenda kufanya kazi usiyoipenda, uonekane, ili uifaidishe jamii usiyoiamini na kutimiza malengo yasiyo na fulfilment.

Watu wengi hujifunga kwenye maisha yasiyowapa amani kwa sababu wanaogopa kuhukumiwa.

Ila nikaja kuona sio kwamba watu hatutambui Hilo, ila inatubidi kuwa hivyo.. kuishi tukiumia ndani ingawali familia inakula, wazee nyumbani wanapata fahari, na walimwengu wanakupa heshima ya mchongo. Ni vyema kuwa hivyo, kuliko kuonekana mjinga, kutumia kipawa au talanta au kufanya kitu kisicho lipa.

Nipsey Hussle aliwahu kusema,

"Would you rather be at war with yourself and at peace with the world, or at peace with yourself and at war with the world?".

Hii kitu Huwa, inaniumiza sana, moyoni najua nataka kuishi maisha Gani (hata kama sio objectively) ila najua huu uhalisia ninaoishi haunifanyi niwe huru,
Au labda nafanya ilimradi niwe accepted, watu waone nafanya progress ila nagundua sio Mimi tu, Kila ifikapo ijumaa sura za wenzagu wote pamoja na yangu Huwa na Nuru ambayo temporarily inapunguza burnout na maumivu ya ku commute kwenye kitu kisicho kwepeka.

Ila, Sasa itabidi nifanye maamuzi, maamuzi ambayo Kwa muda, au milele yatawaumiza watu wa karibu, itanipasa kujiwekea malengo madhubuti, na itabidi nijichague, kama jinsi watu wengi maarufu walivyo Fanya, kupambania ndoto zao. Katika jamii tusipende kukaa na watu wazima walioshindwa these people are toxic, hasa vijiweni. Find who you are, stay true na utapata kundi lako.

Najua kuna watu wako serikalini au sekta binafsi, wanaingia kazini kila siku huku ndani wakijua mioyo yao inataka kitu kingine. Unafanya kazi kiwandani lakini unatamani kumiliki kampuni. Umechoka kuishi ndoto ambazo si zako. Umechoka kuonekana sawa huku ndani unajisikia kupotea. Lakini bado unaendelea, si kwa sababu unapenda hayo maisha, bali unaogopa kuanza upya na kuwa vile ulivyo kweli.

Sipo hapa kukuamsha kwasababu mtazamo wako na jinsi unavyojihisi ndani ni tayari umacho. Sipo hapa kukupa mbinu au kukuambia itawezekana, nipo hapa kukuambia huwezi kujua hayo yote endapo hautajaribu. Take that leap, Anza hata kwa kuandija notes chumbani kwako, weka wallpaper kwenye simu yako. Muombe muumba wako, Kwa Imani yako na hata kama Haina Imani ya nje, wewe mwenyewe nafsini mwako unajua unataka Nini. Stop waiting nenda kafanye, utachekwa trust me, utarudishwa nyuma na kukumbushwa haiwezekani, lkn unatakiwa ustahimili.

Anyways, nisiwachoshe, nahisi kwa atakaeona ujumbe una maana au ni Mimi tu nakukosa kwangu usingizi,(msaada sijalala kikamilifu Kwa siku7) nalala saa 9 naamka saa3.
Na hili ndilo lilinikosanisha na wazazi wangu (R.I.P) Nikakimbia kutoka masaki na kwenda kuishi keko machungwa lengo nitimize ndoto zangu .

Na hakika nilizitimiza and finally wakakubali kile nilichokipenda ila sio kile walichokitaka wao .

Simama leo jitetee ,pambana mpaka uwe wewe sio wao .
 
Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are.

Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza kurudia kile ulicho kiona na kufunzwa. So unakuwa kama program ya komputa ambayo ikipewa instructions Fulani lazima itowe specific autcome.

Ila, Nini kinacho kutofautisha? Je ni jina, elimu, mali, au utamaduni uliokulia?

Wengi wetu tunaishi kama wanyama tu, japo kuwa tumepewa vipawa mbalimbali na muumba.. Kuna watu wengi sana nimeshuhudia wakiishi maisha ya dhiki, Mimi mwenyewe included, unaamka asubuhi kwenda kufanya kazi usiyoipenda, uonekane, ili uifaidishe jamii usiyoiamini na kutimiza malengo yasiyo na fulfilment.

Watu wengi hujifunga kwenye maisha yasiyowapa amani kwa sababu wanaogopa kuhukumiwa.

Ila nikaja kuona sio kwamba watu hatutambui Hilo, ila inatubidi kuwa hivyo.. kuishi tukiumia ndani ingawali familia inakula, wazee nyumbani wanapata fahari, na walimwengu wanakupa heshima ya mchongo. Ni vyema kuwa hivyo, kuliko kuonekana mjinga, kutumia kipawa au talanta au kufanya kitu kisicho lipa.

Nipsey Hussle aliwahu kusema,

"Would you rather be at war with yourself and at peace with the world, or at peace with yourself and at war with the world?".

Hii kitu Huwa, inaniumiza sana, moyoni najua nataka kuishi maisha Gani (hata kama sio objectively) ila najua huu uhalisia ninaoishi haunifanyi niwe huru,
Au labda nafanya ilimradi niwe accepted, watu waone nafanya progress ila nagundua sio Mimi tu, Kila ifikapo ijumaa sura za wenzagu wote pamoja na yangu Huwa na Nuru ambayo temporarily inapunguza burnout na maumivu ya ku commute kwenye kitu kisicho kwepeka.

Ila, Sasa itabidi nifanye maamuzi, maamuzi ambayo Kwa muda, au milele yatawaumiza watu wa karibu, itanipasa kujiwekea malengo madhubuti, na itabidi nijichague, kama jinsi watu wengi maarufu walivyo Fanya, kupambania ndoto zao. Katika jamii tusipende kukaa na watu wazima walioshindwa these people are toxic, hasa vijiweni. Find who you are, stay true na utapata kundi lako.

Najua kuna watu wako serikalini au sekta binafsi, wanaingia kazini kila siku huku ndani wakijua mioyo yao inataka kitu kingine. Unafanya kazi kiwandani lakini unatamani kumiliki kampuni. Umechoka kuishi ndoto ambazo si zako. Umechoka kuonekana sawa huku ndani unajisikia kupotea. Lakini bado unaendelea, si kwa sababu unapenda hayo maisha, bali unaogopa kuanza upya na kuwa vile ulivyo kweli.

Sipo hapa kukuamsha kwasababu mtazamo wako na jinsi unavyojihisi ndani ni tayari umacho. Sipo hapa kukupa mbinu au kukuambia itawezekana, nipo hapa kukuambia huwezi kujua hayo yote endapo hautajaribu. Take that leap, Anza hata kwa kuandija notes chumbani kwako, weka wallpaper kwenye simu yako. Muombe muumba wako, Kwa Imani yako na hata kama Haina Imani ya nje, wewe mwenyewe nafsini mwako unajua unataka Nini. Stop waiting nenda kafanye, utachekwa trust me, utarudishwa nyuma na kukumbushwa haiwezekani, lkn unatakiwa ustahimili.

Anyways, nisiwachoshe, nahisi kwa atakaeona ujumbe una maana au ni Mimi tu nakukosa kwangu usingizi,(msaada sijalala kikamilifu Kwa siku7) nalala saa 9 naamka saa3.
uko sahihi 100% gentleman:KasugaYeah:
 
Na hili ndilo lilinikosanisha na wazazi wangu (R.I.P) Nikakimbia kutoka masaki na kwenda kuishi keko machungwa lengo nitimize ndoto zangu .

Na hakika nilizitimiza and finally wakakubali kile nilichokipenda ila sio kile walichokitaka wao .

Simama leo jitetee ,pambana mpaka uwe wewe sio wao .
Najua walikutakia mema at their point of view. Shukran mkuu
 
Watu wengi hujifunga kwenye maisha yasiyowapa amani kwa sababu wanaogopa kuhukumiwa.
Hii nimekataa kata kata ni bora ni bora kuanza sifuri no matter what
Anyways, nisiwachoshe, nahisi kwa atakaeona ujumbe una maana au ni Mimi tu nakukosa kwangu usingizi,(msaada sijalala kikamilifu Kwa siku7) nalala saa 9 naamka saa3.
Hiyo kulala sa 9 na kuamka sa 3 sio wewe pekee yako huku lishakua tatizo sugu
 
Ni kweli ila moyo wangu haukuwa huko ulikuwa huku ninakofanya yale ninayoyapenda na jamii ikaridhika na huduma yangu japo kwa masimango ila bado service inakuwa delivered fully
Ndo maana walikubali baada ya kuona outcome(most people hate in others what they hate in themselves). Kingine ukishafikia malengo money isn't a problem again. It comes effortlessly. Hongera mkuu Kwa kwenda against
 
Ndo maana walikubali baada ya kuona outcome(most people hate in others what they hate in themselves). Kingine ukishafikia malengo money isn't a problem again. It comes effortlessly. Hongera mkuu Kwa kwenda against
Hawakukubali kirahisi mkuu ni baada ya accomplishment of my dreams ila kwa kuomba sana msamaha kupitia rafiki yake mzee .

Haikuwa jambo rahisi japo nilipambana sana ,kutoka kula bure ila kwenda kula kwa wana tena wasio na kazi ila wanapambana sababu uliishi nao vyema ukiwa kwenye neema haikuwa rahisi ndugu.

That's why naiheshimu keko na naipenda sana keko kuliko popote hapo jijini .
 
Binadamu tunatakiwa kuishi maisha kulingana na uhalisia wake. Tukitaka kuishi maisha ya kufikirika; basi tutambue fika msongo wa mawazo, maamuzi ya kukurupuka, chuki na hasira zisizo na kichwa wala miguu haziwezi kutuacha salama.

Ifikie wakati tuukubali ukweli ili maisha nayo yaendelee. Siyo lazima ufanye kazi ya ndoto yako! Ni wachache sana waliopata hiyo bahati. Hivyo ukipata kazi ya kukusaidia kuishi na kuisaidia familia yako, mshukuru Mungu! Siyo kazima uoe/uolewe na mwanamke/manaume uliyemuota ndotoni! Ukimpata mtu sahihi wa kuishi naye, mshukuru Mungu!
 
Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are.

Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza kurudia kile ulicho kiona na kufunzwa. So unakuwa kama program ya komputa ambayo ikipewa instructions Fulani lazima itowe specific autcome.

Ila, Nini kinacho kutofautisha? Je ni jina, elimu, mali, au utamaduni uliokulia?

Wengi wetu tunaishi kama wanyama tu, japo kuwa tumepewa vipawa mbalimbali na muumba.. Kuna watu wengi sana nimeshuhudia wakiishi maisha ya dhiki, Mimi mwenyewe included, unaamka asubuhi kwenda kufanya kazi usiyoipenda, uonekane, ili uifaidishe jamii usiyoiamini na kutimiza malengo yasiyo na fulfilment.

Watu wengi hujifunga kwenye maisha yasiyowapa amani kwa sababu wanaogopa kuhukumiwa.

Ila nikaja kuona sio kwamba watu hatutambui Hilo, ila inatubidi kuwa hivyo.. kuishi tukiumia ndani ingawali familia inakula, wazee nyumbani wanapata fahari, na walimwengu wanakupa heshima ya mchongo. Ni vyema kuwa hivyo, kuliko kuonekana mjinga, kutumia kipawa au talanta au kufanya kitu kisicho lipa.

Nipsey Hussle aliwahu kusema,

"Would you rather be at war with yourself and at peace with the world, or at peace with yourself and at war with the world?".

Hii kitu Huwa, inaniumiza sana, moyoni najua nataka kuishi maisha Gani (hata kama sio objectively) ila najua huu uhalisia ninaoishi haunifanyi niwe huru,
Au labda nafanya ilimradi niwe accepted, watu waone nafanya progress ila nagundua sio Mimi tu, Kila ifikapo ijumaa sura za wenzagu wote pamoja na yangu Huwa na Nuru ambayo temporarily inapunguza burnout na maumivu ya ku commute kwenye kitu kisicho kwepeka.

Ila, Sasa itabidi nifanye maamuzi, maamuzi ambayo Kwa muda, au milele yatawaumiza watu wa karibu, itanipasa kujiwekea malengo madhubuti, na itabidi nijichague, kama jinsi watu wengi maarufu walivyo Fanya, kupambania ndoto zao. Katika jamii tusipende kukaa na watu wazima walioshindwa these people are toxic, hasa vijiweni. Find who you are, stay true na utapata kundi lako.

Najua kuna watu wako serikalini au sekta binafsi, wanaingia kazini kila siku huku ndani wakijua mioyo yao inataka kitu kingine. Unafanya kazi kiwandani lakini unatamani kumiliki kampuni. Umechoka kuishi ndoto ambazo si zako. Umechoka kuonekana sawa huku ndani unajisikia kupotea. Lakini bado unaendelea, si kwa sababu unapenda hayo maisha, bali unaogopa kuanza upya na kuwa vile ulivyo kweli.

Sipo hapa kukuamsha kwasababu mtazamo wako na jinsi unavyojihisi ndani ni tayari umacho. Sipo hapa kukupa mbinu au kukuambia itawezekana, nipo hapa kukuambia huwezi kujua hayo yote endapo hautajaribu. Take that leap, Anza hata kwa kuandija notes chumbani kwako, weka wallpaper kwenye simu yako. Muombe muumba wako, Kwa Imani yako na hata kama Haina Imani ya nje, wewe mwenyewe nafsini mwako unajua unataka Nini. Stop waiting nenda kafanye, utachekwa trust me, utarudishwa nyuma na kukumbushwa haiwezekani, lkn unatakiwa ustahimili.

Anyways, nisiwachoshe, nahisi kwa atakaeona ujumbe una maana au ni Mimi tu nakukosa kwangu usingizi,(msaada sijalala kikamilifu Kwa siku7) nalala saa 9 naamka saa3.
Hii ni kweli, unafanya kazi ambayo hata huna furaha nayo. Unaamka asubuhi huna furaha kabisa ya kwenda kazini ila utafanyaje sasa lazima ufanye kazi upate kipato uishi. Shida huna furaha na unachokifanya na hujui ufanyaje kupata hicho utakachokifanya ukifurahie.
 
Back
Top Bottom