Nafikiri hii ndio chaneli pendwa ya mabeki tatu

Nafikiri hii ndio chaneli pendwa ya mabeki tatu

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
757
Reaction score
2,141
Screenshot_20260522_205804_Google.jpg


Ina vitamthilia vya ajabu ajabu, unakuta mara simba mweupe anapaa angani hukuu amseshikilia mkuki na miguu yake,

kama sio utakuta zile za kihindi jamaa wanangaaliana kwa ukali karibia nusu saa , basi wadada unakuta wanafurahi sana.
 
Nipo sebleni kwa shemeji hapa nimekula pensi na kifua changu wazi, shemeji ametoka kazini kapitiliza chumbani na dada akatoka sebleni alikua amefunga kanga tu katoka kuoga... saizi naskia wamewasha mziki mkuuubwa wameongeza na sauti aloooo.....🙆‍♀️
 
Nipo sebleni kwa shemeji hapa nimekula pensi na kifua changu wazi, shemeji ametoka kazini kapitiliza chumbani na dada akatoka sebleni alikua amefunga kanga tu katoka kuoga... saizi naskia wamewasha mziki mkuuubwa wameongeza na sauti aloooo.....🙆‍♀️
😁😁😁😁😁

Aiseeee, tthis made my day
 
Back
Top Bottom