Habari wana jamvi,
Takribani wiki mbili zilizopita nilikuwa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri; dhakari, maliwato na sehemu katikati ya mapaja na mbupu. Sikuota vipele isipokuwa tu sehemu ya kichwa cha dhakari ndio nilikuwa na vipele viwili tu ambavyo haviwashi wala kutoa uchafu. Nikajaribu kuongeza usafi sana na kupaka vitunguu swaumu vya kusaga kwenye hivyo vipele, kimoja kikapotea kimebaki hicho kwa picha. Kimeongezeka ukubwa kidogo hali inayonipa wasiwasi tatizo litakuwa ni gani.
Nilijua ni fungus, baada ya kupaka mafuta ya nazi maeneo ya maliwato sina tena muwasho ila kwenye mapaja na wakati mwingine dhakari inawasha.
Wataalamu shida itakuwa nini? Na tiba au suluhisho lake ni lipi?
Hospital sijaenda sina bima wala pesa za vipimo, life langu ni zaidi ya tia
Takribani wiki mbili zilizopita nilikuwa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri; dhakari, maliwato na sehemu katikati ya mapaja na mbupu. Sikuota vipele isipokuwa tu sehemu ya kichwa cha dhakari ndio nilikuwa na vipele viwili tu ambavyo haviwashi wala kutoa uchafu. Nikajaribu kuongeza usafi sana na kupaka vitunguu swaumu vya kusaga kwenye hivyo vipele, kimoja kikapotea kimebaki hicho kwa picha. Kimeongezeka ukubwa kidogo hali inayonipa wasiwasi tatizo litakuwa ni gani.
Nilijua ni fungus, baada ya kupaka mafuta ya nazi maeneo ya maliwato sina tena muwasho ila kwenye mapaja na wakati mwingine dhakari inawasha.
Wataalamu shida itakuwa nini? Na tiba au suluhisho lake ni lipi?
Hospital sijaenda sina bima wala pesa za vipimo, life langu ni zaidi ya tia