PostGE2025 Kama ya Chande ilivyofeli ndivyo hii Tume mpya itafeli

PostGE2025 Kama ya Chande ilivyofeli ndivyo hii Tume mpya itafeli

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,803
Reaction score
13,034
Kama ambavyo tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025 ilivyofeli nayo hii tume mpya itafeli kwa sababu uongo lazime ufeli sehemu ambapo ukweli unajulikana.

Tunajua ukweli kwamba mambo yote haya kama maandamano yamesababishwa na wahuni kuwa madarakani kwahiyo chochote mtakachokifanya kitafeli kwa sababu kwa yale mauaji na maovu yote kama utekaji Nk mmelaaniwa.

Uzuri ni kwamba mwisho wa siku waovu watasabambarika na kuanguka kwa sababu Mungu anaipenda nchi hii.

Mwishowe kama mnataka kuiua CHADEMA hamtaweza kwa sababu CHADEMA ni mpango wa Mungu na inalindwa na Mungu.
 
Kama ambavyo tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025 ilivyofeli nayo hii tume mpya itafeli kwa sababu uongo lazime ufeli sehemu ambapo ukweli unajulikana.

Tunajua ukweli kwamba mambo yote haya kama maandamano yamesababishwa na wahuni kuwa madarakani kwahiyo chochote mtakachokifanya kitafeli kwa sababu kwa yale mauaji na maovu yote kama utekaji Nk mmelaaniwa.

Uzuri ni kwamba mwisho wa siku waovu watasabambarika na kuanguka kwa sababu Mungu anaipenda nchi hii.

Mwishowe kama mnataka kuiua CHADEMA hamtaweza kwa sababu CHADEMA ni mpango wa Mungu na inalindwa na Mungu.
Uadilifu wa watu wanaokubali hizo teuzi ni highly questionable! Anyway, tuwaache mazafakas wakajipake kinyesi wakidhani body lotion!
 
Kama ambavyo tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025 ilivyofeli nayo hii tume mpya itafeli kwa sababu uongo lazime ufeli sehemu ambapo ukweli unajulikana.

Tunajua ukweli kwamba mambo yote haya kama maandamano yamesababishwa na wahuni kuwa madarakani kwahiyo chochote mtakachokifanya kitafeli kwa sababu kwa yale mauaji na maovu yote kama utekaji Nk mmelaaniwa.

Uzuri ni kwamba mwisho wa siku waovu watasabambarika na kuanguka kwa sababu Mungu anaipenda nchi hii.

Mwishowe kama mnataka kuiua CHADEMA hamtaweza kwa sababu CHADEMA ni mpango wa Mungu na inalindwa na Mungu.
ramli ni upotofu wa kimaskini sana aise, dah 🤣
 
ramli ni upotofu wa kimaskini sana aise, dah 🤣
Muhuni anaunda tume kuchunguza mahasimu wake huku akijifanya msafi. Hizo tume zake za kihuni zituambie ni wapi huyo muuaji kapatia kura 31m.
 
Muhuni anaunda tume kuchunguza mahasimu wake huku akijifanya msafi. Hizo tume zake za kihuni zituambie ni wapi huyo muuaji kapatia kura 31m.
relax gentleman hakuna haja ya kuweweseka, watafikiwa tu viongozi wako na mkono wa sheria 🐒
 
Kama ambavyo tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025 ilivyofeli nayo hii tume mpya itafeli kwa sababu uongo lazime ufeli sehemu ambapo ukweli unajulikana.

Tunajua ukweli kwamba mambo yote haya kama maandamano yamesababishwa na wahuni kuwa madarakani kwahiyo chochote mtakachokifanya kitafeli kwa sababu kwa yale mauaji na maovu yote kama utekaji Nk mmelaaniwa.

Uzuri ni kwamba mwisho wa siku waovu watasabambarika na kuanguka kwa sababu Mungu anaipenda nchi hii.

Mwishowe kama mnataka kuiua CHADEMA hamtaweza kwa sababu CHADEMA ni mpango wa Mungu na inalindwa na Mungu.
Mbona tayari ishashindwa!
 
relax gentleman hakuna haja ya kuweweseka, watafikiwa tu viongozi wako na mkono wa sheria 🐒
Gent unajua kuwa Kuna levels za ubabe, ukuda, uzandiki udikteta ambazo walikuwanazo maraisi wa nchi kadhaa bado hazijafikiwa na Hawa wa huku Tanganyika? Ila hao viongozi wababe wote wamesha perish na ubabe wao?

Naomba ufikishe taarifa kuwa uonevu Huwa unakikomo. Na kikomo chake Huwa ni kibaya kwa anaye fanya uonevu.

Nakusisutiza pia mkumbushe lile neno lililosomwa na sister kwenye msiba wa cardinal asilichukulie poa before it is too late. Mtakao teseka baada ya yeye kung'oka ni nyie mlio "pitishwa kwa mlango wa nyuma"
 
KWanini tume zote zinaongozwa na waislamu?
Kwenye hili si la kumlaumu Jaji Chande alikuwa ni Jaji mwenye CV kubwa tulionae ndio maana akachaguliwa na hata huyo ni hivyo hivyo halihusiani na dini
 
Labda mkawatishie washamba huko vijijini. Hakuna mtu anawaogopa nyie 🌈
kuna moja yupo korokoroni katishika hadi kapata chronic roundworms, ingawa minyoo yake sugu inatokana na kuongiliwa na aliemuoa huko ughaibuni but chronic stress zimefanya minyoo hiyo sugu kupanda hadi kichwani na sasa ni waz changamoto ya afya ya akili imeanza kumzonga,

na bado 🐒
 
Gent unajua kuwa Kuna levels za ubabe, ukuda, uzandiki udikteta ambazo walikuwanazo maraisi wa nchi kadhaa bado hazijafikiwa na Hawa wa huku Tanganyika? Ila hao viongozi wababe wote wamesha perish na ubabe wao?

Naomba ufikishe taarifa kuwa uonevu Huwa unakikomo. Na kikomo chake Huwa ni kibaya kwa anaye fanya uonevu.

Nakusisutiza pia mkumbushe lile neno lililosomwa na sister kwenye msiba wa cardinal asilichukulie poa before it is too late. Mtakao teseka baada ya yeye kung'oka ni nyie mlio "pitishwa kwa mlango wa nyuma"
kwamba ndio unamfokea au kumtisha nani gentleman?🤣
 
Back
Top Bottom