Habari wakuu.
Dunia tunapita kila kitu kitabakia
Binadamu ni mchanga.
Tafuta kwajili ya watoto wako na (mke) lakini kumbuka wewe Kwanza maana wewe ndio mtengeneza njia kwahiyo usipofurahia jasho lako basi utakuwa unazingua.
Wanaume tunatafuta pesa ili kuona furaha ya watoto wetu lakini vipi...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amefanya ukaguzi wa barabara ya Mivumoni, wilayani Kinondoni, na kusisitiza umuhimu wa miradi ya miundombinu katika kuchochea maendeleo ya wananchi.
Amesema ujenzi wa barabara hutoa fursa za ajira kwa vijana, huongeza thamani ya ardhi na nyumba, pamoja na kuchochea...
kuna ile mwanzo wa mapenzi atukatai mwanamke kachukua vichenji vyako kadhaa
Asa je umeshawahi kupindua meza unamnyandua mwanamke mpaka anaanza kukuhonga wewe hela?
Mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka 11, darasa la sita anayefahamika kwa jina la Lightness Mkiindi, mkazi wa Mtaa wa Namayana, Kata ya Ilboru, wilayani Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia akidaiwa kujinyonga
Kwa mujibu wa maelezo ya mama mzazi na bibi wa marehemu, siku ya tukio Januari...
Khaby Lame ndiye mtu maarufu zaidi kwenye mtandao wa TikTok akiwa na wafuasi milioni 160.
Mapema wiki hii, alisaini mkataba wa dola milioni 975 na kampuni ya Rich Sparkle Holdings, akiipa kampuni hiyo haki za kipekee za chapa yake.
Ushirikiano huo pia utaunda nakala ya akili mnemba (AI) ya...
It was not a date, just a few minutes meeting. Mara ghafla anatokea msichana , mdada, mzuri hadi naogopa, huyu ni jini au ni malaika? Otea alikuwa ni nani kati ya hawa?
Miss Natafuta, Nakubusu , Evelyn Salt Jemima Mrembo, au @mamdenyi? Hapo hujakutana na FaizaFoxy, mtu mwenye maruhani wake...
Hili suala linaumiza sana; nje ya kuwa ni sehemu ya majukumu yake.
Wana vikundi wanaopata mkopo anawadai hela katika kila milioni moja anataka 50,000. Hii si sawa kabisa.
Hawa wana vikundi wanaokopa ni wajasiriamali wadogo na hiyo hela wanarudisha.
Kuna watumishi tumemaliza mwaka hatujalipwa fedha za kujikimu. Kuna baadhi wamekuja na hawana mda mrefu wameshalipwa kwani wanalipana kwa kujuana.
Kuna wanaotakiwa kulipwa Tsh 150,000/= na Tsh 130,000/= per day lakini wanakatwa na kulipwa Tsh 80,000/= hiyo nyingine inaenda wapi? Kama sio kuiba...
Nimefuga kwa miaka kadhaa ,kwa mtu ambaye anataka kuanza serious ufugaji wa kuku 2026 ,ningemshauri azingatie haya
Habari ya mwaka mpya wafugaji wenzangu,
Kila mwaka kuna watu wengi wanaanza ufugaji wa kuku kwa matumaini makubwa, lakini wengi wao wanakata tamaa njiani kutokana na hasara ambazo...
Hizi machine zipo mpaka vijiji ambavyo hujawai kudhania
Mashine zinameza sana coin, ni chipu ya computer imesetiwa kumeza karibia asilimia 70 ya pesa zinazoingizwa na kutema asilimia 30 tu.
ukiziona Klugger zina mchina basi kuna asilimia kubwa yupo safarini kuchukua coin zilizomezwa,
Baadhi ya Watumishi ajira mpya wa Halmashauri ya wilaya ya MBULU hawajalipwa hela ya kujikimu Kuna watu waenda kumaliza mwaka sasa hela imekuwa kaa la moto wanalipana Kwa kujuana.
Kuna watu wanapaswa kulipwa Kwa rate ya Tsh 150,000/= wengine Tsh 120,000/= na Tsh Tsh 80,000/= kulingana na...
Mimi ni mtumishi wa ajira mpya kutoka Halmashauri ya Chalinze.
Yaani toka mwezi wa pili hatujapewa pesa za kujikimu na ilihali halmashauri nyingine za mkoa wa Pwani wameshalipwa.
Kila tukiuliza tunaambiwa tutalipwa tu, wanasema kama sio December 2025, basi April au June 2026.
Anonymous
Thread
chalinze
halmashauri
halmashauri ya chalinze
hatujapewa pesa ya kujikimu
hela
hii
kero
kitu
kujikimu
labda
mara
pesa
pesa ya kujikimu
pesa za kujikimu
sio
tena
watumishi
wilaya
Elimu ya hela inahitajika sana nchini.
Mtu anakaa tu nyumbani anaona hana Hela anaamua kuanza kuwatapeli watz kisa yy ni kiongozi wa chadema basi anaona chadema ni shamba lake kwamba yy na familia yake wataishi kwa donation bila kufanya KAZI, hebu oneni aibu.
Nchi hii inawahitaji wengi sana...
Nashangaa mtu anaamka asubuhi kwa kutumia jina la chadema anaweka account number yake binafs anaanza kutafuta hela za mwaka mpya kwaajili ya kula na familia yake na watu wanamchangia kweli hii ni aibu mno huu ujinga utaisha lini, acheni kuwalisha hawa matapeli ya chadema
na ikumbukwe kuwa hizo...
HABARI BOSS! 🌟
Leo kuna ofa maalum kwa ajili yako
~13,000/=~
LIPIA LEO 6,500/= TU!
UPATE:
GB 40 za intaneti isiyo na kikomo! 🌐
DAKIKA 3,100 za kupiga simu mitandao yote!
SMS BILA KIKOMO kwa marafiki na familia! 💬
MIEZI 2 ya huduma bora na ya uhakika!
MTANDAO WOWOTE nakunganisha...
Siyo lazima Kila kitu kianzishwe na wazungu tu la hasha hata sisi tunaweza kukianzisha na Bado kikawa sawa.
Chukulia mfano hizi taasisi za kifedha tunazichangia Kila siku iendayo Kwa Mungu mapesa mengi.
Lakini ajabu hawarudishi fadhira Kwa wateja wao.
Mfano Taasisi kama Crdb,Nmb,NBC, Dtb nk...
Wazazi Huu msimu wa sikuku usitulevye tukavuja Hela za Ada za watoto wetu.
Ndiyo elimu ni Bure bila ada basi changia hata chakula ili mwanao ale shule hapohapo. Kama shule ya mwanao Haina food program basi pendekeza kwa ustawi wa mwanao na shule kwa ujumla.
Baadhi ya wazazi wakishakula Hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.