hela

  1. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Nimejitahidi kuhamasisha watu wasiwachangie CHADEMA hela ya mwaka mpya naona kwa kiasi Fulani watanzania wamenielewa, asante

    Elimu ya hela inahitajika sana nchini. Mtu anakaa tu nyumbani anaona hana Hela anaamua kuanza kuwatapeli watz kisa yy ni kiongozi wa chadema basi anaona chadema ni shamba lake kwamba yy na familia yake wataishi kwa donation bila kufanya KAZI, hebu oneni aibu. Nchi hii inawahitaji wengi sana...
  2. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Watu wanatumia Jina la CHADEMA kuendesha donation za kitapeli wanaweka account zao binafsi ili waishi na familia zao siyo chama huu ni wizi

    Nashangaa mtu anaamka asubuhi kwa kutumia jina la chadema anaweka account number yake binafs anaanza kutafuta hela za mwaka mpya kwaajili ya kula na familia yake na watu wanamchangia kweli hii ni aibu mno huu ujinga utaisha lini, acheni kuwalisha hawa matapeli ya chadema na ikumbukwe kuwa hizo...
  3. brainstorm007

    JamiiForums Tanzania Hizi hela za zamani zina dili gani au ni ushirikina?

    Wenye ujuzi wa haya mambo tunaombeni elimu
  4. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    HABARI BOSS! 🌟 Leo kuna ofa maalum kwa ajili yako ~13,000/=~ LIPIA LEO 6,500/= TU! UPATE: GB 40 za intaneti isiyo na kikomo! 🌐 DAKIKA 3,100 za kupiga simu mitandao yote! SMS BILA KIKOMO kwa marafiki na familia! 💬 MIEZI 2 ya huduma bora na ya uhakika! MTANDAO WOWOTE nakunganisha...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kwanini kusiwe na Sheria lazimishi ya kuwaamru Tasisi za kifedha kututumia Hela?

    Siyo lazima Kila kitu kianzishwe na wazungu tu la hasha hata sisi tunaweza kukianzisha na Bado kikawa sawa. Chukulia mfano hizi taasisi za kifedha tunazichangia Kila siku iendayo Kwa Mungu mapesa mengi. Lakini ajabu hawarudishi fadhira Kwa wateja wao. Mfano Taasisi kama Crdb,Nmb,NBC, Dtb nk...
  6. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Kwenye huu msimu wa sikuku Wazazi tutunze Hela za Ada za watoto wetu hapo January si vizuri mzazi kuwa na maelezo mengi shuleni ya kukosa ada

    Wazazi Huu msimu wa sikuku usitulevye tukavuja Hela za Ada za watoto wetu. Ndiyo elimu ni Bure bila ada basi changia hata chakula ili mwanao ale shule hapohapo. Kama shule ya mwanao Haina food program basi pendekeza kwa ustawi wa mwanao na shule kwa ujumla. Baadhi ya wazazi wakishakula Hela...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tumwambie Mwigulu, anapodai mikataba imwelekeza mwekezaji na mkandarasi jambazi atumieje hela yake, hiyo ni nonsense na wazimu

    Huyu ni PhD wa wapi huyuuuuu??? Mikataba iseme hawawezi kutumia hela yao kulipa madeni yao nje ya nchi. Badala ya vipengele vya kimkataba vya kudhibiti usipigwe, unataka kumpangia afanyeje na hela yake na kishakupiga. Huyu knucklehead ni mkenge mkubwa tumeingia. Umeuza rasilimali ya nchi au...
  8. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Wahitimu Wasiohudhuria Mahafali Wanatozwa hela ya joho mda wa kufuta cheti .je hii ni sawa

    Sio jambo geni wala la kushangaza kwa baadhi ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini Tanzania kukutana na changamoto mbalimbali baada ya kumaliza masomo yao. Kwa kawaida, kumaliza shahada au stashahada ni hatua ya furaha na fahari kwa mhitimu na familia yake. Hata hivyo, baadhi ya vyuo vikuu nchini...
  9. Sales man

    JamiiForums Tanzania Kama mmekula hela za mabeberu mzirudishe tu

    Hawa wanaharakati uchwara waliokimbilia nje Kama hizo hela wamekula waziruishe tu mission imeshafeli kwa 99.9%
  10. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa mwaka huu polisi wamepiga sana hela

    Hizi kashikashi zilizoanza kabla ya wakati wa kampeni, wakati wa kampeni ,baada ya kampeni, maandamano ,kukipambania chama cha mapinduzi nk bila shaka jamaa wameingiza mpunga wa kutosha kupitia vifuta jasho vya hapa na pale visivyo kauka. Nguvu inayotumika kudhibiti maandamano si kitoto hivyo...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Lema na Lissu kumbe walipewa hela na Samia wakiwa nje halafu hawana adabu wala ahsante!

    Leo nimemsikia Rais Samia akihutubia wazee ila katoa siri nzito na ambayo nilikuwa naifikiria sana hivyo hivyo . 1. Nakumbuka Samia huyu huyu ndo alienda kumtembea lisu Nairobi kama utu, pia Ubelgiji alimwona na wakaongea kwa kirefu, Kumbe bana alilia lia hana hela ana njaa na aliomba hela...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Naomba connection ya KAZI yoyote POPOTE nchini

    Siamini macho yangu. Anyway natafuta attention Naomba connection ya KAZI yoyote POPOTE nchini ahsante
  13. G

    JamiiForums Tanzania Jana Nilikuwa NMB kwakweli mtandao wao ni mzito sana nimeamua kutoa Hela zangu zote niweke akiba zingine

    Watu wanalalamika sana kuhusu uzito wa kutoa huduma Kama mifumo imeshavamiwa watoe taarifa mapema Pia nashauri BOT wasidharau sana maneno ya vijana , waanze kutafuta backup system . TAhadhari ni muhimu
  14. D

    JamiiForums Tanzania Samia ni kama Mhasibu aliyekula hela za kampuni lakini hajui risiti anaipata wapi

    Yan yupo yupo tu hadi Auditors watafika na kumdaka kwa wizi ama matumizi yasiyo na maelezo; anajijua mwizi lakini mishe za mjini hazijui, hana namba ya winga hata mmoja Kariakoo. She’s completely lost. Ukimtazama ni mtu ambaye yupo yupo tu hata haelewi afanye nini. Nadhani ukiacha Wazanzibar...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Samia ni kama Mhasibu aliyekula hela za kampuni lakini hajui risiti anaipata wapi

    Yan yupo yupo tu hadi Auditors watafika na kumdaka kwa wizi ama matumizi yasiyo na maelezo; anajijua mwizi lakini mishe za mjini hazijui, hana namba ya winga hata mmoja Kariakoo. She’s completely lost. Ukimtazama ni mtu ambaye yupo yupo tu hata haelewi afanye nini. Nadhani ukiacha Wazanzibar...
  16. canular

    JamiiForums Tanzania Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

    Kama una vihela benki katoe zote, kama una hela M-Pesa toa zote kuwa na hela yako cash soon anguko linakuja, msije sema hamkujua Taarifa ndio hiyo kuwa na hela yako cash utachimbia ndani au kuzificha kwenye madumu fanya hivyo anguko la kiuchumi limeingia ndani ya nchi yetu
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mtanzania usije ukakubali kupokea hela kutoka barabarani eti unamuunga mkono Samia.

    Hivi vimchezo vya madikteta tunavijua
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania JWTZ, Msiache kuitazama Wizara ya Fedha na Benki Kuu. Watakuwa wanachota hela in a panic Mode

    Kati ya Maeneo ya kutizama sasa ni Benki Kuu, Benki za Biashara na Wizara ya Fedha. Naomba Jeshi letu mzuie utoroshwaji na uchotwaji wa fedha zozote zile kwenye hizo Taasisi Msisahau kuwakamata na kuwaweka kizuizini Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Mkurugenzi wake na Makamishna wote.
  19. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini sana na watu wanaokuomba hela mwisho wa mwezi

    Wakuu, siku hizi imekuwa kama fashion — mwisho wa mwezi watu fulani wanajitokeza ghafla kukutafuta, si kwa sababu wanakukumbuka, bali wanatafuta namna ya kukuomba hela kwa ujanja. Utagundua mtu anakutumia DM au WhatsApp baada ya miezi kadhaa bila mawasiliano, mazungumzo yanaanza kwa “bro...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Muda mzuri wa Polisi kupiga hela; Tafteni chambo hata Copro atoe tamko la kuunga mkono maandamano ili wakuu waje mezani watoe mpunga

    Haya mambo ni kufa kufaana! Upande wa polisi hawajui kuitumia fursa! Huu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa kutengeneza hata copro mmoja kama chambo atoe tamko (halafu mnazuga kumkamata na kumhoji huku mkimlinda kwa kufikisha ujumbe) Wakuu lazima waje meza ya mazungumzo waweke dau! Wote hawawezi...
Back
Top Bottom