happy birthday

  1. trudie

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Trudie

    Namshukuru sana Mungu kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine. Nashukuru leo nimetimiza miaka kadhaa kwa kuingia floor mpya ya majukumu. Mwaka huu umekuwa wa neema sana kwangu mwenyezi Mungu anazidi kunipigania. Kweli tunazeeka na miaka inaenda sana. Happy birthday to me. Intelligent...
  2. Okrap

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
  3. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Mohamedi wa 5, Jamiiforums wish me

    May 20 Mohammed wa 5 nililetwa kwenye dunia hii...Asante Sana familia, baba na mama kwa upendo wenu mpaka leo nilipofika..pole Sana mama angu kwa yote uliyoyapata baada ya kunileta duniani miaka 2 ulikuwa mtu wa kuumwa na kuteseka nakupenda Sana. Happy birthday to me Mohammed wa 5
  4. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Another year and another blessing happy birthday to me

    Habarini Wadau wangu wa nguvu Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele ingawaje nina kahoma na kifua kuuma [sijui ndo korona hii shindwa} nafurahia kufikia siku hii muhimu...
  5. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy birthday sweet Chachu Ombara

    Habari wadau mabestito wa zamani na wasasa (wanasema ya kale ni dhahabu) Ninafuraha iliyoje kumtakia mwandani wangu kumbukizi ya kuzaliwa kwake, Mungu ampe miaka mingi ya ubabu kabisa aje kusahau hata kuingia humu JF hahaaaaaaaaaa. Chachu jisikie kupendwa kwa namna hii hata kama hujaona...
  6. Chance ndoto

    JamiiForums Tanzania My precious daughter Maureen is 1 year old today. Happy birthday to her

    Kipindi cha siku, Mwezi au mwaka kwa bindamu mkamilifu ni muda mrefu sana wa maisha yake. Mtoto wangu leo ametimiza mwaka mmoja tangu kuzaliwa kwake. Mapito ya magonjwa, na kama binadamu mwingine unakwama kununua nguo mpya walau kila siku kwa mtoto, baby diapers, hata mara zingine hela ya...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

    Kwema Wakuu! Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo. Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora. Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu, Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine...
  8. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Another year and another blessing, happy birthday to me tajiri

    Nimezaliwa familia ya kishua sana tena sana yaani mimi kwa sasa kumiliki bilioni kadhaa kwenye akauti kwenye akauti yangu is not big issue naenda London kama wewe unavyoenda huko kwenu kwa mtogole au unavyoenda kwenu maganzo au unavyoenda huko kwenu maji kuinama ukienda na mabasi yanayovuja huko...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Phil Collins is 72 today, Happy Birthday Phil

    PHIL COLLINS IS 72 TODAY Golden Oldies is wishing English Singer, songwriter, multi-instrumentalist, and actor Philip David Charles "Phil" Collins a happy birthday today (born 30 January 1951). He gained fame as both drummer and lead vocalist for the rock group Genesis, and he gained...
  10. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Kenya nao waguswa, wamtakia Rais Samia heri ya siku ya kuzaliwa

  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Depal

    Ninaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM. Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani. Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday fundi wa mpira, Luka Modric!

  13. Checnoris

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Bukayo Ayoyinka T. M. Saka

    Hongera Sana Bukayo Ayoyinka T. M. Saka Kwa kuongeza Mwaka. Lkn nakushauri uhane timu yako Ina gundu. Unapoteza Muda hapo anfield. Njoo old Trafford. Najua hujui kiswahili ila IPO mishabiki yako itakufikishia ujumbe. Once again happy birthday bro
  14. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Mwamba Ollachuga Oc.🤣🤣

    Aise Kama utani vile nakuwa faza kinoma. Siku Kama ya leo miaka 28 iliyopita mwamba, jemedari, shujaa, mchizi, msela, Askari, kamanda nilizaliwa hahaha aise Nina mbwe mbwe kinyama 😂😂 Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣. Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti...
  15. amadala

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Amadala

    Hello floor no. 31 Tarehe kama ya Leo Amadala aliivuta pumzi ya Duniani kwa mara ya kwanza. Nashukuru Mungu na wazazi wangu kwa kunifikisha hapa nilipo. Asante Mungu kwa ajili ya Kila kitu katika maisha yangu. HAPPY BIRTHDAY TO ME🎂🍭 Nimeona nijipost maana walionikumbuka Leo ni HALOTEL peke yao
  16. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Vincii

    Hey y'all... Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku🙈🙈😅😅. Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli.
  17. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku...
  18. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday my dear Chachu Ombara

    AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako MY DEAR wa kumoyo Basi wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Ruge Mtahaba

    Heri ya siku ya kuzaliwa mwamba aka Ruge Mutahaba.May he continue to rest in peace . Pengo lako halitozibika kamwe. Tasnia imepoteza .
  20. SYLLOGIST!

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Happy Birthday, Mr (Almost President)Lt General Muhozi

    Luteni Jenerali Muhozi asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa nderemo. Kianzio cha taarifa hii kinapatikana hapa Happy Birthday, Mr(almost) President Muhozi Wakati wa sherehe yake Lt. Jenerali alielezea kuwa vijana waliotelekezwa wawezeshwe na yuko tayari kulifanyia kazi suala hilo. Bofya chini...
Back
Top Bottom