happy birthday

  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

    Kwema Wakuu! Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo. Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora. Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu, Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine...
  2. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Another year and another blessing, happy birthday to me tajiri

    Nimezaliwa familia ya kishua sana tena sana yaani mimi kwa sasa kumiliki bilioni kadhaa kwenye akauti kwenye akauti yangu is not big issue naenda London kama wewe unavyoenda huko kwenu kwa mtogole au unavyoenda kwenu maganzo au unavyoenda huko kwenu maji kuinama ukienda na mabasi yanayovuja huko...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Phil Collins is 72 today, Happy Birthday Phil

    PHIL COLLINS IS 72 TODAY Golden Oldies is wishing English Singer, songwriter, multi-instrumentalist, and actor Philip David Charles "Phil" Collins a happy birthday today (born 30 January 1951). He gained fame as both drummer and lead vocalist for the rock group Genesis, and he gained...
  4. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Kenya nao waguswa, wamtakia Rais Samia heri ya siku ya kuzaliwa

  5. Msanii

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Depal

    Ninaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM. Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani. Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye...
  6. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday fundi wa mpira, Luka Modric!

  7. Checnoris

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy birthday Bukayo Ayoyinka T. M. Saka

    Hongera Sana Bukayo Ayoyinka T. M. Saka Kwa kuongeza Mwaka. Lkn nakushauri uhane timu yako Ina gundu. Unapoteza Muda hapo anfield. Njoo old Trafford. Najua hujui kiswahili ila IPO mishabiki yako itakufikishia ujumbe. Once again happy birthday bro
  8. OllaChuga Oc

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Mwamba Ollachuga Oc.🤣🤣

    Aise Kama utani vile nakuwa faza kinoma. Siku Kama ya leo miaka 28 iliyopita mwamba, jemedari, shujaa, mchizi, msela, Askari, kamanda nilizaliwa hahaha aise Nina mbwe mbwe kinyama 😂😂 Shabiki nguli wa Chelsea na Mtiba Shugwa 🤣🤣🤣. Napenda Sana utani na masikhara dah ..Ila ground nipo tofauti...
  9. amadala

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Amadala

    Hello floor no. 31 Tarehe kama ya Leo Amadala aliivuta pumzi ya Duniani kwa mara ya kwanza. Nashukuru Mungu na wazazi wangu kwa kunifikisha hapa nilipo. Asante Mungu kwa ajili ya Kila kitu katika maisha yangu. HAPPY BIRTHDAY TO ME🎂🍭 Nimeona nijipost maana walionikumbuka Leo ni HALOTEL peke yao
  10. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me Vincii

    Hey y'all... Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku🙈🙈😅😅. Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli.
  11. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy birthday to me

    Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku...
  12. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday my dear Chachu Ombara

    AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako MY DEAR wa kumoyo Basi wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Ruge Mtahaba

    Heri ya siku ya kuzaliwa mwamba aka Ruge Mutahaba.May he continue to rest in peace . Pengo lako halitozibika kamwe. Tasnia imepoteza .
  14. SYLLOGIST!

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Happy Birthday, Mr (Almost President)Lt General Muhozi

    Luteni Jenerali Muhozi asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa nderemo. Kianzio cha taarifa hii kinapatikana hapa Happy Birthday, Mr(almost) President Muhozi Wakati wa sherehe yake Lt. Jenerali alielezea kuwa vijana waliotelekezwa wawezeshwe na yuko tayari kulifanyia kazi suala hilo. Bofya chini...
  15. pingli-nywee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Anniversary (au ukipenda, happy birthday) kwa mahusiano ya Kenya-Tanzania

    Siamini kwamba mwaka mmoja umepita, bila ya hasira, visasi, mivutano, malumbano, majibizano na 'makasiriko', kati ya nchi mbili hizi za Kenya na Tanzania. Sio baada ya yote tuliyoyashuhudia, kwa karibia miaka sita. Yaani tangia mwezi wa nne hivi mwaka uliopita mambo yaligeuka ghafla, yakawa...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to me

    Asante Mwenyezi Mungu, Asante Wazazi wangu, Asante Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wangu, Asante wale Wote mlionilea na Kunijenga Kimaadili na Kinidhamu, Asante wote ambao mlikuwa na mnaendelea kuwa Wema Kwangu kwa hali na mali, Asante Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wale Maadui zangu tukuka...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Taikon

    Kwema Wakuu! Ijumaa Kama ya Leo, Tarehe Kama ya Leo, mwezi Kama WA leo, Taikon niliwasili Duniani Alfajiri kabla ya jua kuchomoza, nikitokea Nyota ya Tibeli yenye mbawa Mbili irukayo tangu ulimwengu huu mpaka mwingine. Inatarajiwa nitaondoka siku kama ya Leo lakini haifahamiki ni mwezi gani...
  18. Jemima Mrembo

    JamiiForums Tanzania Happy birthday kwako mwana JF, Bujibuji na wote mliozaliwa leo

    Bujibuji najua huwa hupendi personal life iwe exposed, lakini kwa umuhimu wako hapa Jukwaani, niona nikutakie heri wee na Wana JF wote mnaoadhimisha siku yenu ya kuzaliwa leo.
  19. Baraka Mina

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Rais Samia! Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu

    Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar. Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Tundu Lissu

    Heri ya kuzaliwa kwako Mh. Tundu Antipas Lissu. (Kawimbo) Happy Birthday to youuu, Happy Birthday to youuu Happy Birthday Deat Lissuuu, Happy Birthday to youuuuuuuuuu! Unapoanza mwaka wako wa 54 Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu. You are the HERO! Ule mkono wa Mungu...
Back
Top Bottom