ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Habarini Wadau wangu wa nguvu
Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele ingawaje nina kahoma na kifua kuuma [sijui ndo korona hii shindwa} nafurahia kufikia siku hii muhimu ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu
Marafiki, jamaa na wadau wote ungama nami katika kumbukizi hii maalum kwangu, nipeni vikeki basi mm mtoto mchanga hahaaaa mana sijapata hata pampers hahaaaaaaaaa
Ninauza vitenge vya batik, mabegi ya culture, bangili za culture, natengeneza keki, karibuni sana
Wasalaam;
Ladyfurahia mama mjasiriamali😂🤣😅
Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele ingawaje nina kahoma na kifua kuuma [sijui ndo korona hii shindwa} nafurahia kufikia siku hii muhimu ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu
Marafiki, jamaa na wadau wote ungama nami katika kumbukizi hii maalum kwangu, nipeni vikeki basi mm mtoto mchanga hahaaaa mana sijapata hata pampers hahaaaaaaaaa
Ninauza vitenge vya batik, mabegi ya culture, bangili za culture, natengeneza keki, karibuni sana
Wasalaam;
Ladyfurahia mama mjasiriamali😂🤣😅